Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu Viol ni mdau wa Chelsea Fc, ..ila tu wakati mwingine anateleza na kujisahau..hasa anapotaka sisi tuige Arsenal Fc na Man utd hapo ndo mie nashangaa..

sisi tuige watu ambao malengo yao na yetu hayalingani?

CHELSEA FC - BLUE FOREVER.

Halafu badala ya kukaa hapa ajibu hoja anakimbia anavyofanya sio vizur
 
Mkuu agosti kuna tetesi kwamba legend drogba mourinhyo anamtaka,hivi anamhitaji kama mchezaji au kocha na kama anamhitaji kama mchezaji mbona uwezo wake wa chini ukicompare na wachezaji tulionao.
 
je, Ujerumani imeingia fainali kwa kumtegemea nani?
kama wewe ni mtu wa Chelsea FC, unapaswa kuwa mwelewa kwamba hapa CHELSEA FC hatujawahi kumtegemea mchezaji mmoja tu, au kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja.

MIFANO:

Chelsea 2- 0 PSG. hii mechi Hazard alianza, lakini kocha alipoona kwamba kijana hayupo fiti kwa mapambano, alimtoa hata kabla ya dakika 20, akaingia Andre Schurrle..ambaye alifunga goli la kwanza. Kipindi cha pili akamtoa kipenzi cha mashabiki, one of the Chelsea legends, Frank Lampard na kumwingiza uwanjani..Demba Ba..dakika ya 87 tukapata ushindi..kupitia goli alilofunga Ba.


MFANO #2, Chelsea FC vs Barcelona 2012. Tulikuwa tumefungwa goli 1, na ndipo JT akatolewa kwa kadi nyekundu, tukafungwa goli la 2...lakini kabla ya mapumziko Ramires akafunga goli 1, kipindi cha pili dakika za mwisho mwisho..Fernando Torres akasawazisha na kuisaidia Chelsea Fc kuingia fainali na hatimaye kuchukua ubingwa..


NB: Chelsea Fc ina wachezaji 3 kwenye timu ya taifa ya Brazil, lakini hiyo haina uhusiano wowote na kiwango cha Chelsea..:cool2:
mpira wa Ujerumani ni tofauti na wa England mkuu agosti 8,wale jamaa wote wanacheza si timu ya taifa tu hadi vilabu vyao,ila kwa sisi wa England ipo tofauti kidogo
 
Last edited by a moderator:
kivipi wakati hawachezi nafasi moja? utafananishaje popo (sanchez) na njiwa (diego)?

jiulize kwanini mchezaji bora wa dunia anaweza kuwa cannavaro,zidane,messi au george weah?kwani wote wanacheza nafasi tofauti lakini wanashndanishwa kumpata bora kuliko mwengine!
habari zenu the blues
 
jiulize kwanini mchezaji bora wa dunia anaweza kuwa cannavaro,zidane,messi au george weah?kwani wote wanacheza nafasi tofauti lakini wanashndanishwa kumpata bora kuliko mwengine!
habari zenu the blues

samahani mkuu naomba unifahamishe ubora wa sanchez umepimwa kwa vigezo vipi ambavyo diego hajafikia
 
Sanchez ni bora kuliko Diego

Halafu mkuu viol utakuwa unakosea kabisa kumfananisha diego na sanchez ambaye ametoka lig moja na mwenzake diego,ambapo diego amescore zaidi ya goli 24 tofauti na sanchez ambaye sidhani kama amescore zaidi ya goli 10
 
samahani mkuu naomba unifahamishe ubora wa sanchez umepimwa kwa vigezo vipi ambavyo diego hajafikia

mimi nafikiri tusubiri msimu uanze hiyo august ili tujiridhishe maana nikianza kutoa vigezo hapa na wewe ukatoa vya kwako tutakesha ingawa wc imetoa some points,ila cha msingi tuwasubiri uwanjani na vizuri wote wapo ligi moja kwa sasa
 
Halafu mkuu viol utakuwa unakosea kabisa kumfananisha diego na sanchez ambaye ametoka lig moja na mwenzake diego,ambapo diego amescore zaidi ya goli 24 tofauti na sanchez ambaye sidhani kama amescore zaidi ya goli 10

kwenye worldcup costa kascore goli ngapi?tofautisha barca na atletico hata costa angekuwa barca asingescore kwa idadi hiyo kwani asingepewa uzito kama alivyopewa atletico pale pagumu
 
mimi nafikiri tusubiri msimu uanze hiyo august ili tujiridhishe maana nikianza kutoa vigezo hapa na wewe ukatoa vya kwako tutakesha ingawa wc imetoa some points,ila cha msingi tuwasubiri uwanjani na vizuri wote wapo ligi moja kwa sasa

Nadhani ulichosema hakina tofauti na mtazamo wangu,kuhusu wc huwezi kumpima diego kwa mechi 2 alizocheza sidhani kama wenger amemsajiri sanchez kwa perfomance ya wc bali uwezo wake alionesha kwenye raliga.
lakin yote kwa yote tusubili filimbi ilie
 
Maoni ya mkuu Viol huwa yananisikitisha sana wakati mwingine..
Mkuu Viol nadhani yeye ni mshabiki wa wachezaji fulani tu, hajui tofauti ya kupenda timu na kumpenda mchezaji au wachezaji..:A S-eek:
mkuu mi timu naipenda na pia nawakubali wachezaji wake,isitoshe mi morinho ndo best Coach.
Ila swala la msingi ni kwamba wenzetu wanasajili kina nani na sisi tunawasajili kina nani na viwango vyao vipoje
 
ImageUploadedByJamiiForums1405170208.579173.jpg
agosti 8 kuna ukweli wowote hapo?
 
Last edited by a moderator:
diego costa = kafunga magoli mangapi la liga?
diego costa kaisaidia timu yake ATM KWENYE CHAMPIONS LEAGUE tena kwa kuitoa timu ya Sanchez...

Diego huyu huyu unamlinganisha na ordinary sanchez?:angry:




mimi nafikiri tusubiri msimu uanze hiyo august ili tujiridhishe maana nikianza kutoa vigezo hapa na wewe ukatoa vya kwako tutakesha ingawa wc imetoa some points,ila cha msingi tuwasubiri uwanjani na vizuri wote wapo ligi moja kwa sasa
 
kwanza niambie unajua CHELSEA FC imesajili wangapi hadi sasa..maana unalalamika tu.:A S-eek:



mkuu mi timu naipenda na pia nawakubali wachezaji wake,isitoshe mi morinho ndo best Coach.
Ila swala la msingi ni kwamba wenzetu wanasajili kina nani na sisi tunawasajili kina nani na viwango vyao vipoje
 
Mkuu acha utani: kombe la dunia ukifaulu kufika fainali unakuwa umecheza mechi 7 tu.
Ligi ina mechi 38, + Champions League + jumlisha kombe la mfalme..


Diego ni bora kuliko ki-Sanchez nakuambia..:wacko:




kwenye worldcup costa kascore goli ngapi?tofautisha barca na atletico hata costa angekuwa barca asingescore kwa idadi hiyo kwani asingepewa uzito kama alivyopewa atletico pale pagumu
 
SOMENI KWANZA KABLA YA KUJA KUBISHANA HAPA CHELSEA FC THREAD.

KAMATA DATA SASA.


Alexis Sanchez:

all games = 382.
total number of goals = 93.



DIEGO COSTA;

All games played = 278.
Goals scored = 104.



Sasa kwa akili zako hapo nani mkali?:couch2:




Sanchez ni bora kuliko Diego
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom