Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,584
- 553
nyepesi nilizopata eti Chelsea wamekata rufaa sababu Borini ni mchezaji wa Liverpool kwahiyo sio rahisi kukosa penalt kutokana eti common intrest Liverpool/Chelsea
Kwa mtu yeyote anaetaka kupata mail yng au no za simu zangu ani pm anipe zake nami ntampa zng ili km misiba ikitokea km sipo on line mnitafute moja kwa moja!
nyepesi nilizopata eti Chelsea wamekata rufaa sababu Borini ni mchezaji wa Liverpool kwahiyo sio rahisi kukosa penalt kutokana eti common intrest Liverpool/Chelsea
haya ya FITINA ZA WAINGEREZA uliyajua tangu lini???jana??? sasa kwanini UNATANGAZA UBINGWA wakati unajua LIVERPOOL timu ya waingereza itabebwa? Ntuzu kumbe wewe ni aina ile ya mashabiki wanaoamini timu fulani zinabebwa,sasa itakuwa ngumu kuongea mpira na wewe,kwasababu mkishinda nyinyi against ten man au kwa penati ni sawa...ila siku mkifungwa nyinyi ni HUJUMA ILI TIMU FULANI IWE BINGWA....so whats the point kujadili ligi iliokwisha pangwa??? wewe sio mwanamichezo ni MSHABIKI TU WA CHELSEA CHELSEA CHELSEA....sio mwanamichezo.
cc: MosDef Mr. Wise AL SHARPTON
Waingereza timu zao zinajulikana km Liverpool, Man Utd na Newcastle na zipo zingine! Wakiona timu Ina nafasi ya kuchikua ubingwa lazima wakunyonge!
Kumbuka goli la utata la Liverpool dhidi ya Chelsea CL alilookoa Galas Mwaka 2005 na mechi ya mwisho ya man Utd aliyopewa penalty msimu Wa 2007 ivi km sijakosea! Hicho ndicho Liverpool atafanyiwa hasa Hizi game zilizobaki! Na ktk michango Yangu hapo nyuma kabla ya hii game nilisahau kabisa kuzungumzia FITINA za waingereza na FA kwa ujumla dhidi ya Chelsea na Jose Mourinho!
Teh Teh Teh Teh
Na uzuri Jose anawachana kweli kuanzia Media waamuzi etc!
Acha kuweweseka timu yako mbovu
Goli la 2005 ilikuwa ni Champions league,how FA waibebe Liverpool kwenye mashindano ya UEFA badala kuibeba kwenye EPL?
Acha kuweweseka timu yako mbovu
Goli la 2005 ilikuwa ni Champions league,how FA waibebe Liverpool kwenye mashindano ya UEFA badala kuibeba kwenye EPL?
Maskini Ntuzu the Champion!!!! Majogoo haao wana goli 3 mpaka sasa.
Norwich City wakanyimwa penati yao. Mamadou Sakho alimuangusha jamaa ndani ya box makusudi..
Mshindwe kuwa mabingwa kweli?
Belo wewe mwenyewe ni muhanga wa haya. kocha wako Moyes alilalamika baada ya LIVERPOOL kupewa penati 3 rahisi rahisi siku ile mlipochapwa 3 na Liver; umesahau kisa na mkasa kwa sababu ni sisi?
Goli la kwanza lilikuwa clear offside; penati ya Sunderland ilikwua fake; kwa sababu video inaonyesha wazi kwamba jamaa hakuguswa hata kidogo; si shangai Uingereza haifiki mbali kombe la Dunia;