Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu agosti 8 kile tunachokiamini Sisi kwenye timu yetu na kocha wetu si sawa na hawa Wa timu zingine! Ndio maana unaona hawataki kutuelewa!

Lkn Ukweli utabaki pale pale Sisi ni timu bora chino ya kocha bora!

timu BORA INAONGOZA LIGI.......mpo mnashiriki premier ligi na ubora unaonyeshwa na league table.
 
Mkuu agosti 8 kile tunachokiamini Sisi kwenye timu yetu na kocha wetu si sawa na hawa Wa timu zingine! Ndio maana unaona hawataki kutuelewa!

Lkn Ukweli utabaki pale pale Sisi ni timu bora chino ya kocha bora!

Timu bora inatakiwa licha ya kuwa na kocha bora iwe na watupia magoli bora. Wenye uwezo wa kufunga 20+ goals per season.

Mna Torress ila hamuwezi kumtumia kutokana na mfomo wenu mnaoutumia, Torress akirudi leo LFC ataweza kutumbukiza goals hata 30 kwa msimu.


Narudia tena mnaweza mkawa na kocha bora lakini msiwe bora kama Man City au Liverpool simply hamna striking force hamna uwezo wa kushinda magoli mengi
 
Last edited by a moderator:
Belo wewe mwenyewe ni muhanga wa haya. kocha wako Moyes alilalamika baada ya LIVERPOOL kupewa penati 3 rahisi rahisi siku ile mlipochapwa 3 na Liver; umesahau kisa na mkasa kwa sababu ni sisi?

Goli la kwanza lilikuwa clear offside; penati ya Sunderland ilikwua fake; kwa sababu video inaonyesha wazi kwamba jamaa hakuguswa hata kidogo; si shangai Uingereza haifiki mbali kombe la Dunia;

Kila siku nasema kila timu inabebwa huo ndio ukweli,Chelsea mlibebwa game dhidi ya WestBrom,Spurs na Liverpool mbona mlikaa kimya
Goli la kwanza Jana yule kipa wenu alicheza fyongo akatema jamaa akamalizia

So England haifiki popote WC sababu Sunderland wamepewa penati?

Nilishasema tatizo la Morinyo siku hizi mechi ndogo haziwezi amezoea mechi kubwa anadefend na kufanya count attack ,ukicheza na timu ndogo unatakiwa uishambulie uifunge magoli mengi mapema umalize game hii imewasaidia sana City na Liverpool

Nilikuwa nawapinga mlivyokuwa mnasema eti Jose alikuwa sahihi kumpiga mechi Mata kisa hakabi why mchezaji arudi kukaba wakati unacheza na Aston Vila au Sunderland timu ambayo unatakiwa ushambulie ili ushinde
 
and all the penalties?

3 against United and 2 against West ham;

u know what you're getting..it's your turn now.

Sisi tulifungwa 3 tukakubali sababu tulizidiwa sawa penati moja haikuwa sahihi but kuna incident nyingine Carrick alimchezea rafu Sturidge ilikuwa clear penati refa akapeta
Liverpool wanapata penati nyingi sababu wanashambulia kwa kasi nyie mtapataje penati while most of time mnadefend badala ya kushambulia
 
Timu bora inatakiwa licha ya kuwa na kocha bora iwe na watupia magoli bora. Wenye uwezo wa kufunga 20+ goals per season.

Mna Torress ila hamuwezi kumtumia kutokana na mfomo wenu mnaoutumia, Torress akirudi leo LFC ataweza kutumbukiza goals hata 30 kwa msimu.


Narudia tena mnaweza mkawa na kocha bora lakini msiwe bora kama Man City au Liverpool simply hamna striking force hamna uwezo wa kushinda magoli mengi


Angalau wewe umezungumza.

Wengine wanaongea uzushi wa kishabiki tu:

Karibu kwenye jukwaa letu ingawa wewe si mwenzetu.:smiling:
 
Sisi tulifungwa 3 tukakubali sababu tulizidiwa sawa penati moja haikuwa sahihi but kuna incident nyingine Carrick alimchezea rafu Sturidge ilikuwa clear penati refa akapeta
Liverpool wanapata penati nyingi sababu wanashambulia kwa kasi nyie mtapataje penati while most of time mnadefend badala ya kushambulia


UNTRUE.
Mechi ile tulipiga mashuti 31.
Huwezi kusema walikuwa wanalinda..:shock:
 
Kila siku nasema kila timu inabebwa huo ndio ukweli,Chelsea mlibebwa game dhidi ya WestBrom,Spurs na Liverpool mbona mlikaa kimya
Goli la kwanza Jana yule kipa wenu alicheza fyongo akatema jamaa akamalizia

So England haifiki popote WC sababu Sunderland wamepewa penati?

Nilishasema tatizo la Morinyo siku hizi mechi ndogo haziwezi amezoea mechi kubwa anadefend na kufanya count attack ,ukicheza na timu ndogo unatakiwa uishambulie uifunge magoli mengi mapema umalize game hii imewasaidia sana City na Liverpool

Nilikuwa nawapinga mlivyokuwa mnasema eti Jose alikuwa sahihi kumpiga mechi Mata kisa hakabi why mchezaji arudi kukaba wakati unacheza na Aston Vila au Sunderland timu ambayo unatakiwa ushambulie ili ushinde


Umeridhika na #7 huna jipya..😕
 
and all the penalties?

3 against United and 2 against West ham;

u know what you're getting..it's your turn now.

Naamini kabisa ninyi wanazi ambao amuongelea mpira ki uhalisia ligi ikiisha mkitoka mikono mtupu ndio mtalia sana.
Okay hizo hija zako sasa Waambie FIFA wabadili sheria za soccer iwe mto akinawa makusudi kwenye boksi sio penalt, Hizi ulitazama mpira wa LFC na W.Ham???LFC ali deserve penalt zaidi ya tatu, beki zilikua zinapunguza mashambulizi kwa kunawa, mbaya zaidi wakazawadiwa goli la foul lilozua mjadala. Haya judge kwa kushuhudia na kusoma
Andy Carroll pushed Mignolet Clear Foul But Goal GIven For West Ham Awful Refree 06/04/2014 HD - YouTube
GRAHAM POLL: Referee was wrong to let Andy Carroll's blatant foul on Simon Mignolet ride but Anthony Taylor did get both penalties spot on | Mail Online
Crazy pictures: West Ham big screen shows Carroll foul on Mignolet, ref refuses to look!
Vine: Andy Carroll clearly fouls Mignolet in lead up to West Ham equaliser | JOE.ie article-0-1CE2C73F00000578-56_634x558.jpg
article-0-1CE298F700000578-217_634x435.jpg original.jpg
Nimeona unakomaa kua W.Ham walionewa, hawakuonewa tena ilibidi wabaki 10 game nzima.
 
Mkuu agosti 8 kile tunachokiamini Sisi kwenye timu yetu na kocha wetu si sawa na hawa Wa timu zingine! Ndio maana unaona hawataki kutuelewa!

Lkn Ukweli utabaki pale pale Sisi ni timu bora chino ya kocha bora!


We' will fight to the end..kesho ni mechi muhimu ili tuweke msingi kwa ajili ya kuingia FINAL - LISBON; tuzingatie yetu kwa sababu wao 'hawana shughuli' za kufanya kwenye UCL let them talk.:smile-big:
 
Kila siku nasema kila timu inabebwa huo ndio ukweli,Chelsea mlibebwa game dhidi ya WestBrom,Spurs na Liverpool mbona mlikaa kimya
Goli la kwanza Jana yule kipa wenu alicheza fyongo akatema jamaa akamalizia

So England haifiki popote WC sababu Sunderland wamepewa penati?

Nilishasema tatizo la Morinyo siku hizi mechi ndogo haziwezi amezoea mechi kubwa anadefend na kufanya count attack ,ukicheza na timu ndogo unatakiwa uishambulie uifunge magoli mengi mapema umalize game hii imewasaidia sana City na Liverpool

Nilikuwa nawapinga mlivyokuwa mnasema eti Jose alikuwa sahihi kumpiga mechi Mata kisa hakabi why mchezaji arudi kukaba wakati unacheza na Aston Vila au Sunderland timu ambayo unatakiwa ushambulie ili ushinde

ImageUploadedByJamiiForums1398068555.956122.jpg
 
Naamini kabisa ninyi wanazi ambao amuongelea mpira ki uhalisia ligi ikiisha mkitoka mikono mtupu ndio mtalia sana.
Okay hizo hija zako sasa Waambie FIFA wabadili sheria za soccer iwe mto akinawa makusudi kwenye boksi sio penalt, Hizi ulitazama mpira wa LFC na W.Ham???LFC ali deserve penalt zaidi ya tatu, beki zilikua zinapunguza mashambulizi kwa kunawa, mbaya zaidi wakazawadiwa goli la foul lilozua mjadala. Haya judge kwa kushuhudia na kusoma
Andy Carroll pushed Mignolet Clear Foul But Goal GIven For West Ham Awful Refree 06/04/2014 HD - YouTube
GRAHAM POLL: Referee was wrong to let Andy Carroll's blatant foul on Simon Mignolet ride but Anthony Taylor did get both penalties spot on | Mail Online
Crazy pictures: West Ham big screen shows Carroll foul on Mignolet, ref refuses to look!
Vine: Andy Carroll clearly fouls Mignolet in lead up to West Ham equaliser | JOE.ieView attachment 152806
View attachment 152807View attachment 152809
Nimeona unakomaa kua W.Ham walionewa, hawakuonewa tena ilibidi wabaki 10 game nzima.


Mmesahau kipa wenu SUAREZ huwa anadaka na kufunga?
tafuta mapicha ya SUAREZ kudaka utayapata mengi tu; acha kuchafua thread yetu kwa picha za WEST HAM; leta ambazo Chelsea FC anahusika. Hizo weka kwenu au anzisha thread ya Westham:smile-big:
 
Angalau wewe umezungumza.

Wengine wanaongea uzushi wa kishabiki tu:

Karibu kwenye jukwaa letu ingawa wewe si mwenzetu.:smiling:

Naona dawa inaingia taratibu,utakuja gundua ukweli siku moja
 
Sisi tulifungwa 3 tukakubali sababu tulizidiwa sawa penati moja haikuwa sahihi but kuna incident nyingine Carrick alimchezea rafu Sturidge ilikuwa clear penati refa akapeta
Liverpool wanapata penati nyingi sababu wanashambulia kwa kasi nyie mtapataje penati while most of time mnadefend badala ya kushambulia


Tungekuwa hatushambuliii tusingewafunga: 3-1 tena magoli yetu yote siku hiyo tulifungia karibu kabisa ya box lenu.

Tungekuwa hatushambuli hatungewafunga Arsenal 6-0.
Tungekuwa hatushambulii tusingewafunga PSG 2-0.
Tungekuwa hatushambulii tusingekuwa na GD = 41.

Kama Mata ni mshambuliji mzuri Man Utd wasingebaki pale pale #7 kama alivyowakuta. Na jana wakachapwa 2-0. Nashangaa watu wa Manure badala ya kujadili namna ya kushiriki UCL msimu ujao mnashangilia CHELSEA FC kufungwa; ama kweli bendera hufuata upepo.:israel:
 
Mmesahau kipa wenu SUAREZ huwa anadaka na kufunga?
tafuta mapicha ya SUAREZ kudaka utayapata mengi tu; acha kuchafua thread yetu kwa picha za WEST HAM; leta ambazo Chelsea FC anahusika. Hizo weka kwenu au anzisha thread ya Westham:smile-big:

Too low mkuu, unashabikia Timu with facts sio propaganda kama za siasa.

Usishabikie kiasi ukaonekana juha kwenye mpira kuna tricks nyingi sana nyingine hata hazikubaliki ila isipoonekana inasaidia timu. Ticks kama Skertel alipoupangua mpira kwa mkono ndani ya kumi na nane liver vs man city na sio ile ya Ramirez kumpiga mtu usoni ule ni uhuni usio na added value
 
Too low mkuu, unashabikia Timu with facts sio propaganda kama za siasa.

Usishabikie kiasi ukaonekana juha kwenye mpira kuna tricks nyingi sana nyingine hata hazikubaliki ila isipoonekana inasaidia timu. Ticks kama Skertel alipoupangua mpira kwa mkono ndani ya kumi na nane liver vs man city na sio ile ya Ramirez kumpiga mtu usoni ule ni uhuni usio na added value


Mara yako ya mwisho kupost kitu hapa kwetu lini? Ulikuwa wapi mwana siku zote uibuke leo tu? Si bure..

Kushabikia timu ni hiari ya mtu..ndo maana bado MAN UTD ina mashabiki. Ndo maana licha ya LIVERPOOL kukaa miaka 24 bila ubingwa EPL bado ina mashabiki. Respect my freedom to choose what i like.🙂
 
Too low mkuu, unashabikia Timu with facts sio propaganda kama za siasa.

Usishabikie kiasi ukaonekana juha kwenye mpira kuna tricks nyingi sana nyingine hata hazikubaliki ila isipoonekana inasaidia timu. Ticks kama Skertel alipoupangua mpira kwa mkono ndani ya kumi na nane liver vs man city na sio ile ya Ramirez kumpiga mtu usoni ule ni uhuni usio na added value


biased;
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom