Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa mtu yeyote anaetaka kupata mail yng au no za simu zangu ani pm anipe zake nami ntampa zng ili km misiba ikitokea km sipo on line mnitafute moja kwa moja!
 
Teh Teh Teh Teh Teh

Wakuu nimerudi baada ya Kua na Majukumu ktk ibada ya uzinduzi Wa Morning star Tv!

Sikupata ata ile nafasi ya kuutizama mpira! Ila nimeweza kusoma habari ktk wavuti ya Chelsea na pia hoja mbalimbali za wadau!

Anyway mmenitafuta sn Lkn Mimi nipo na Ndio nimelog in muda so mrefu!

Teh Teh Teh kwakifupi Refa Ndio kaharibu game ya Leo na pia kwa kesho tutegemee Lfc kupewa Penalty ashinde kilaini na hii inaweza ikafanyika ktk game zote za Lfc! Hizi ni hujuma za waingereza ktk timu yetu!

nilikwambia usipende kucheza mechi kwenye keyboard. mpira dk 90 lakini wewe kazi kupiga domo na kujihakikishia ushindi kabla ya mchezo.....kumbe hata vitimu vidogo vinabebwa eeh!!
 
Iko wapi vuvuzela Ntuzu leo? Kuna taarifa kuwa Daraja limebomolewa leo na wafamaji wenye sanda. Moureen ameipokea sanda kwa upole.
Pia ipo taarifa kuwa kuna taji jipya watakabidhiwa Kocha wa Chelsea na washabiki wa timu hii.
Taji hilo limepewa jina la "Mabingwa wa uvuvuzela!"

Kwa hiyo hakuna sababu ya "maBingwa" Ntuzu kupata kigugumizi. Ukikosa Ubingwa wa Ligi, tayari umehakikishiwa ubingwa wa uvuvuzela.

Ni kawaida ya mashabiki Wa Chelsea coz tunashabikia timu imara chini ya kocha bora na tunaweza! Na pia ukianzia kwa kocha mpk mashabiki wote ni waongeaji!

Ongea! Ongea bana!
 
Teh Teh Teh Teh Teh

Wakuu nimerudi baada ya Kua na Majukumu ktk ibada ya uzinduzi Wa Morning star Tv!

Sikupata ata ile nafasi ya kuutizama mpira! Ila nimeweza kusoma habari ktk wavuti ya Chelsea na pia hoja mbalimbali za wadau!

Anyway mmenitafuta sn Lkn Mimi nipo na Ndio nimelog in muda so mrefu!

Teh Teh Teh kwakifupi Refa Ndio kaharibu game ya Leo na pia kwa kesho tutegemee Lfc kupewa Penalty ashinde kilaini na hii inaweza ikafanyika ktk game zote za Lfc! Hizi ni hujuma za waingereza ktk timu yetu!

wajisikiaje lakini???
 
Teh Teh Teh Teh Teh

Wakuu nimerudi baada ya Kua na Majukumu ktk ibada ya uzinduzi Wa Morning star Tv!

Sikupata ata ile nafasi ya kuutizama mpira! Ila nimeweza kusoma habari ktk wavuti ya Chelsea na pia hoja mbalimbali za wadau!

Anyway mmenitafuta sn Lkn Mimi nipo na Ndio nimelog in muda so mrefu!

Teh Teh Teh kwakifupi Refa Ndio kaharibu game ya Leo na pia kwa kesho tutegemee Lfc kupewa Penalty ashinde kilaini na hii inaweza ikafanyika ktk game zote za Lfc! Hizi ni hujuma za waingereza ktk timu yetu!

Kweli mkuu wana hujuma kweli na wewe!!Maana last Week walikufanyia hujuma ukacheza na watu pungufu kwa kadi iliyoombwa na Terry, na WBA walikufanyia hujuma wakakupa penalt dk94 baada ya Ramires ku dive, Yaaani full hujuma dah!!
Mi ngojea nisubiri dk 90 za ksho
FACT : "Chelsea ni team Isiyokua na Uwezo wa kufunga magoli" leo bahati ya Demba Ba imeota mkeka
 
Kwa mtu yeyote anaetaka kupata mail yng au no za simu zangu ani pm anipe zake nami ntampa zng ili km misiba ikitokea km sipo on line mnitafute moja kwa moja!

Leo ulipata msiba?
 
Teh Teh Teh Teh Teh

Wakuu nimerudi baada ya Kua na Majukumu ktk ibada ya uzinduzi Wa Morning star Tv!

Sikupata ata ile nafasi ya kuutizama mpira! Ila nimeweza kusoma habari ktk wavuti ya Chelsea na pia hoja mbalimbali za wadau!

Anyway mmenitafuta sn Lkn Mimi nipo na Ndio nimelog in muda so mrefu!

Teh Teh Teh kwakifupi Refa Ndio kaharibu game ya Leo na pia kwa kesho tutegemee Lfc kupewa Penalty ashinde kilaini na hii inaweza ikafanyika ktk game zote za Lfc! Hizi ni hujuma za waingereza ktk timu yetu!

hatimaze umekurupuka kutoka Darini baada ya kupandisha Nyau wa kutosha. Tehtehtehtehtehteh!
c.c Sizinga
 
Last edited by a moderator:
Kweli mkuu wana hujuma kweli na wewe!!Maana last Week walikufanyia hujuma ukacheza na watu pungufu kwa kadi iliyoombwa na Terry, na WBA walikufanyia hujuma wakakupa penalt dk94 baada ya Ramires ku dive, Yaaani full hujuma dah!!
Mi ngojea nisubiri dk 90 za ksho
FACT : "Chelsea ni team Isiyokua na Uwezo wa kufunga magoli" leo bahati ya Demba Ba imeota mkeka


Teh Teh Teh Teh

Kulikua na kuzomewa kwa Refa kulikosababishwa na kuboronga kwake!

Teh Teh Teh
 
Mkuu Sizinga rudi fastaaa! ndugu yako baada ya kugundua kuwa mmeenda kulala kachoropoka darini fasta.
 
Last edited by a moderator:
Nonda bana! Hata kumpa pole mwenzio hakuna we unafikia kumsulubu na maswali makali namna hiyo. Ntakuchongea Uhamiaji kua wewe ni raia wa nchi mbili, hahaaa (natania)

Mimi menyewe ndio mkuu wa uhamiaji!Kalibu ofisini.
Nilimrudishia Lafiki yangu Ulimwengu uraia wake.

Nimpe pole kwa msiba upi? Hajatangaza msiba bado. Kuna viwanda vya uongo tu vinavyosema 2-1. Mpaka pale Bingwa Ntuzu atakapothibitisha janga lililotokea, hapo pole na rambirambi zitamiminika.
 
Mimi menyewe ndio mkuu wa uhamiaji!Kalibu ofisini.
Nilimrudishia Lafiki yangu Ulimwengu uraia wake.

Nimpe pole kwa msiba upi? Hajatangaza msiba bado. Kuna viwanda vya uongo tu vinavyosema 2-1. Mpaka pale Bingwa Ntuzu atakapothibitisha janga lililotokea, hapo pole na rambirambi zitamiminika.


Dah! Yani mmenitafuta sn Leo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom