MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Mkuu nazifahamu FITINA dhidi ya Jose Vzr sn! Na hii inatokana na umahiri wake mzuri!
Unakumbuka ile game yenu na WBA pale Darajan??
Ile penalty mliyopewa baada ya Ramirez kudive!!!
kadi nyekundu ya kipuuzi aliyopewa Chico flores wa swansea na Phil dowd baada ya kushinikizwa na JT..
Game ya Chelsea Vs liverpool, mbona Refa aliwabeba???
Man city alitoa draw na sunderland pale ETIHAD, kwahyo nae kafanyiwa FITNA??
Afu ni kama kwako tu, sunderland walifunga goal ya pili dk ya 83 pale Etihad, lakin dk 6 au 7 bdae Man city wakasawazisha..we ulishndwa nn??, tatizo lako ninakwambia kila siku, team yako inacheza mpira m-bovu sana..misese yako pale mbele, Etoo, Ba na Torres haikusaidii chochote..
Acha visingizio Aisee!!!