Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Too low mkuu, unashabikia Timu with facts sio propaganda kama za siasa.

Usishabikie kiasi ukaonekana juha kwenye mpira kuna tricks nyingi sana nyingine hata hazikubaliki ila isipoonekana inasaidia timu. Ticks kama Skertel alipoupangua mpira kwa mkono ndani ya kumi na nane liver vs man city na sio ile ya Ramirez kumpiga mtu usoni ule ni uhuni usio na added value

kwenye 'red' umekusudia kusema nini eti?
 
Naamini kabisa ninyi wanazi ambao amuongelea mpira ki uhalisia ligi ikiisha mkitoka mikono mtupu ndio mtalia sana.
Okay hizo hija zako sasa Waambie FIFA wabadili sheria za soccer iwe mto akinawa makusudi kwenye boksi sio penalt, Hizi ulitazama mpira wa LFC na W.Ham???LFC ali deserve penalt zaidi ya tatu, beki zilikua zinapunguza mashambulizi kwa kunawa, mbaya zaidi wakazawadiwa goli la foul lilozua mjadala. Haya judge kwa kushuhudia na kusoma
Andy Carroll pushed Mignolet Clear Foul But Goal GIven For West Ham Awful Refree 06/04/2014 HD - YouTube
GRAHAM POLL: Referee was wrong to let Andy Carroll's blatant foul on Simon Mignolet ride but Anthony Taylor did get both penalties spot on | Mail Online
Crazy pictures: West Ham big screen shows Carroll foul on Mignolet, ref refuses to look!
Vine: Andy Carroll clearly fouls Mignolet in lead up to West Ham equaliser | JOE.ieView attachment 152806
View attachment 152807View attachment 152809
Nimeona unakomaa kua W.Ham walionewa, hawakuonewa tena ilibidi wabaki 10 game nzima.

we jamaa vidole vitapata sugu kubishana na agost8 mtu umemwekea picha, link na maelezo bado anabisha, amesahau kuwa walishamfunga spurs goli ambalo halikuvuka mstari na refa akaweka kati hao jamaa wamevulugwa achana nao
 
Ha ha ha muulize hizo Hujuma alifunga goli ngapi mwamuzi akazikataa???nilimpa FACT : Chelsea ni team isiyoweza kufunga magoli msimu huu, ilo ndio lina wa cost, Hawana striker ambae ni mechi Winner, we midakika yote unashambulia ufungi kha, kila mechi

kweli lakini ndio timu yenye beki bora epl wakiwa wamefungwa mogori machache kam 26 kama sikosei.....
 
kweli lakini ndio timu yenye beki bora epl wakiwa wamefungwa mogori machache kam 26 kama sikosei.....


kweli kabisa; wewe unafikiria;

ubora si kufunga tu; kutofungwa mengi pia. hilo hawawezi kulisema..
 

Hivi nikuulize Suarez alivyodaka vs Ghana kilitokea kitu gani? Alizuia goli lisiingie akapewa red card kipa akacheza penalty. Hii ilikuwa ni kosa lenye ku add value kwenye timu.

Martin Skertel aliupanch mpira kwa mkono bila ya hivyo ulikuwa uguswe kwa kichwa ndani na Liver wangedroo bahati hakuonekana na akaisave team. Hii pia ni kosa lenye manufaa kwenye timu.

Turudi kwako kile kitendo cha kumpa mtu nakoz katikati ya uwanja kilichofanywa na Ramirez kina faida gani kwa timu?
 
Achana na sisi; wewe umeitwa kwani hapa?

Suarez alipong'ata mchezaji wetu alipewa adhabu gani?
we jamaa vidole vitapata sugu kubishana na agost8 mtu umemwekea picha, link na maelezo bado anabisha, amesahau kuwa walishamfunga spurs goli ambalo halikuvuka mstari na refa akaweka kati hao jamaa wamevulugwa achana nao
 
SUAREZ alipomng'ata IVANOVIC alipewa adhabu gani?
Hivi nikuulize Suarez alivyodaka vs Ghana kilitokea kitu gani? Alizuia goli lisiingie akapewa red card kipa akacheza penalty. Hii ilikuwa ni kosa lenye ku add value kwenye timu.

Martin Skertel aliupanch mpira kwa mkono bila ya hivyo ulikuwa uguswe kwa kichwa ndani na Liver wangedroo bahati hakuonekana na akaisave team. Hii pia ni kosa lenye manufaa kwenye timu.

Turudi kwako kile kitendo cha kumpa mtu nakoz katikati ya uwanja kilichofanywa na Ramirez kina faida gani kwa timu?
 
Umeridhika na #7 huna jipya..😕

Ni kweli Man u wapo 7 lakini ulichokijibu hapa ni zaidi ya unazi mkuu, Belo kaongea hoja ya msingi hapo juu but ulichokifanya hapo ni kuikwepa hoja yake na kukimbilia kuanzisha hoja tofauti kabisa. Jibu hoja mkuu punguza mahaba na timu sehemu yenye uhalisia.
 
Last edited by a moderator:
kushinda kufungwa

1:chelsea 67 26
2:liver pool 96 44
3:man united 56 40
4:arsenal 62 41
5:man city 88 34
 
Umeridhika na #7 huna jipya..😕

Ni kweli Man u wapo 7 lakini ulichokijibu hapa ni zaidi ya unazi mkuu, Belo kaongea hoja ya msingi hapo juu but ulichokifanya hapo ni kuikwepa hoja yake na kukimbilia kuanzisha hoja tofauti kabisa. Jibu hoja mkuu punguza mahaba na timu sehemu yenye uhalisia.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Man u wapo 7 lakini ulichokijibu hapa ni zaidi ya unazi mkuu, Belo kaongea hoja ya msingi hapo juu but ulichokifanya hapo ni kuikwepa hoja yake na kukimbilia kuanzisha hoja tofauti kabisa. Jibu hoja mkuu punguza mahaba na timu sehemu yenye uhalisia.


this is CHELSEA FC thread; for the Chelsea FC fans; unataka niseme nini?

If you come here and post rubbish don't expect me support you.

Otherwise mmepotea njia; ctrl + Z
 
Tungekuwa hatushambuliii tusingewafunga: 3-1 tena magoli yetu yote siku hiyo tulifungia karibu kabisa ya box lenu.

Tungekuwa hatushambuli hatungewafunga Arsenal 6-0.
Tungekuwa hatushambulii tusingewafunga PSG 2-0.
Tungekuwa hatushambulii tusingekuwa na GD = 41.

Kama Mata ni mshambuliji mzuri Man Utd wasingebaki pale pale #7 kama alivyowakuta. Na jana wakachapwa 2-0. Nashangaa watu wa Manure badala ya kujadili namna ya kushiriki UCL msimu ujao mnashangilia CHELSEA FC kufungwa; ama kweli bendera hufuata upepo.:israel:

I know tayari una closed mind,Jose ni defensive minded coach hiyo ni FACT

Nimeshakwambia kudefend ndio kunamfanya Jose anafungwa na timu ndogo kila siku,jiulize kwa nini mmefungwa na Vila,Sunderland,Crystal Palace,Stoke,Newcastle na hamjafungwa na City,United,Arsenal

Jinsi mlivyokuwa mnapiga domo hapa mnajiita mabingwa kabla ya mechi mlipofungwa na vibonde Sunderland ulifikiri tutakaa kimya?
Sahau kabisa otherwise utakuwa mgeni hapa JF
 
this is CHELSEA FC thread; for the Chelsea FC fans; unataka niseme nini?

If you come here and post rubbish don't expect me support you.

Otherwise mmepotea njia; ctrl + Z

punguza povu mzee nani aliyepost rubbish humu ndani mkuu!?
 
this is CHELSEA FC thread; for the Chelsea FC fans; unataka niseme nini?

If you come here and post rubbish don't expect me support you.

Otherwise mmepotea njia; ctrl + Z

Tuko hapa kutoa pole msibani kama mnavyoendaga kutoa pole kwenye misiba ya wenzenu
 
this is CHELSEA FC thread; for the Chelsea FC fans; unataka niseme nini?

If you come here and post rubbish don't expect me support you.

Otherwise mmepotea njia; ctrl + Z

BTW hatujapotea njia!? Ni njia hii hii ambayo huwa tupo pamoja na watu kama akina Ntuzu, Mentor na wengineo wengi tu. Sasa wewe unaposema hii ni threads ya watu wa chelsea tu sijui wewe unapozagaa katika threads za timu tofauti na hii huwa inakuwaje!?
 
Last edited by a moderator:
Sisi tulifungwa 3 tukakubali sababu tulizidiwa sawa penati moja haikuwa sahihi but kuna incident nyingine Carrick alimchezea rafu Sturidge ilikuwa clear penati refa akapeta
Liverpool wanapata penati nyingi sababu wanashambulia kwa kasi nyie mtapataje penati while most of time mnadefend badala ya kushambulia

kifupi timu na penalty za msimu

1:liverpool 13
2:arsenal 16
3;chelsea 13
4:man city 10

sasa sijui nani aliyeenda sana golini......!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom