Too low mkuu, unashabikia Timu with facts sio propaganda kama za siasa.
Usishabikie kiasi ukaonekana juha kwenye mpira kuna tricks nyingi sana nyingine hata hazikubaliki ila isipoonekana inasaidia timu. Ticks kama Skertel alipoupangua mpira kwa mkono ndani ya kumi na nane liver vs man city na sio ile ya Ramirez kumpiga mtu usoni ule ni uhuni usio na added value
kwenye 'red' umekusudia kusema nini eti?