Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Ntuzu acha Ushabiki...
ule mpira wa alioycheza Suarez ni tofaut kabisa na wa AOX..
Wa AOX ulikuwa haulekei golini!!!!!!, mpira ulikuwa unatoka nje ule..wote tuliona hilo!!!
Muamba ngoma! Alafu sheria hazuruhusu kuzuia mpira au kucheza mpira kwa mikono ata km unaelekea wp!
Punguzeni mahaba! Oax anabahati tu!