Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ntuzu
Kwanza ligi ya safari hii ni ngumu, pili refa hakuwa mbaya kama unavyotaka kusema kwani alikuwa na uwezo wa kumtowa Ramires lakini aliminya na sijuwi ataandika nini kwenye repoti yake vyenginevyo akisema hakuiona basi FA watamfungia Ramires,
Tatu na muhimu unasema hukuiona gemu ya leo vipi unafanya conclusion ya refa wakati hukuiona gemu au ulisikilza radio?
NNe Jose anaweza kufungiwa kutokana na matamshi aliyotowa baada ya gemu
Muhimu wewe kubali gemu haikuwa yenu kubali kushindwa ingawa hutokosa sababu


Mkuu ni kweli game sikuiona Lkn nimesoma habari na match report baada ya game na maelezo ya Jose baada ya game na vyanzo vingine Ndio maana nasema hivyo!

Vilevile Jose ata km akifungiwa au kupewa adhabu watakua wanamuonea kwani amekosea kitu gani kwa kumshukuru Mike Dean na kumpongeza kwa kuiset ligi vizuri?

Mi nazifahamu hujuma za waingereza dhidi ya Jose tangu alipokuawepo Mara ya kwanza na mpk sasa!

Wewe huoni siku Hizi Fc Barcelona inavyopigwa? Inapigwa kwasababu hawaibebi km zamani! Lkn Enzi Hizo ilikuaje? Ata kwa LFC ilikua hivyo na sasa Ndio dhamira Yao ilivyo!
 
umeyajuaje haya? Si umesema hukuangalia mpira? Ntuzu bhana!



Wavuti ya Chelsea imeandika Haya yote!

Na pia kabla sijaingia hapa JF Jana! Nilipitia habari kwanza na kusoma machi ripoti ili niweze kujibu hoja zeno humu wadau!

Kwahiyo hayo ya kuzomewa refa yameandikwa tena yamendikwa Vzr tu tangu alipokua anachezesha!

Na pia picha za bench la ufundi la Chelsea zinaonesha kutokulizishwa na maamuzi ya Refa!

Kwahiyo Mimi siongei tu ili mradi naongea! Naongea vitu vya uhakika!
 
mimi nilijua ni man utd tu ndio huwa 'inabebwa' kumbe hata liverpool...kazi ipo!!! like father like son...like Ntuzu like Mourinho



Waingereza timu zao zinajulikana km Liverpool, Man Utd na Newcastle na zipo zingine! Wakiona timu Ina nafasi ya kuchikua ubingwa lazima wakunyonge!

Kumbuka goli la utata la Liverpool dhidi ya Chelsea CL alilookoa Galas Mwaka 2005 na mechi ya mwisho ya man Utd aliyopewa penalty msimu Wa 2007 ivi km sijakosea! Hicho ndicho Liverpool atafanyiwa hasa Hizi game zilizobaki! Na ktk michango Yangu hapo nyuma kabla ya hii game nilisahau kabisa kuzungumzia FITINA za waingereza na FA kwa ujumla dhidi ya Chelsea na Jose Mourinho!

Teh Teh Teh Teh

Na uzuri Jose anawachana kweli kuanzia Media waamuzi etc!
 
Last edited by a moderator:
Mlicheza na Arsenal na Swansea na wachezaji wa timu hizo walipewa kadi nyekundu. Chelsea 11 walicheza na na mutu 10.Je waamuzi wa mechi hizi walikuwa pouwa? Ulifurahia matokeo ya mechi hizi au ulizima vuvuzela baada ya mechi hizi?

Kwa hiyo tayari una matokeo ya mechi baina ya Chelsea na Liverpool tayari? Liverpool watashinda kwa mabao ngapi?
Redcards ngapi zitatoka siku hiyo?

Unaelewa kuwa Liverpool haikutegemewa kabisa kuwa anaweza kutwaa ubingwa mwaka huu?. LP ilikuwa inapigania kucheza EU Champions legue tu, walikuwa wanapigania kumaliza top 4. Sasa wanaamini wanaweza kuukwaa ubingwa.


Nasema hivi, km Kutakua na timu itakayoelekea kuidhibiti Liverpool au kuifunga, basi tegemea Kadi nyekundu au penalty Liverpool kupewa!

Tuko hapa na utakuja kuona!
 
Waingereza timu zao zinajulikana km Liverpool, Man Utd na Newcastle na zipo zingine! Wakiona timu Ina nafasi ya kuchikua ubingwa lazima wakunyonge!

Kumbuka goli la utata la Liverpool dhidi ya Chelsea CL alilookoa Galas Mwaka 2005 na mechi ya mwisho ya man Utd aliyopewa penalty msimu Wa 2007 ivi km sijakosea! Hicho ndicho Liverpool atafanyiwa hasa Hizi game zilizobaki! Na ktk michango Yangu hapo nyuma kabla ya hii game nilisahau kabisa kuzungumzia FITINA za waingereza na FA kwa ujumla dhidi ya Chelsea na Jose Mourinho!

Teh Teh Teh Teh

Na uzuri Jose anawachana kweli kuanzia Media waamuzi etc!

siku zote MFA maji haachi kutapatapa .hayo unayoongea ni maneno ya MFA maji bana.

utaongea kila aina ya neno Ila ukweli utabakia pale pale kwamba Jana mmegongwa na sio Jana tu hata game iliyopita mlishinda kwangekewa sana.
sasa HIV komaeni na uefa japo mfike final tu
 
Acha kuwa kama kocha wako wewe....katika mzunguko wa kwanza Liverpool alilalamika sana kuhusu marefa ila watu wakasema liverpool wanalia sana....kama unakumbukumbu nzuri Man City vs Liverpool pale ETIHAD Steling alifunga goli safi sana lakini ref. Alikataa na kudai ni Offside. Na tulipokwenda Bridge mambo nayo yakawa vilevile eto alimpiga rafu ya makusudi kabisa Suarez ndani ya box ila ref. Akavunga...Kwa hiyo tulieni kimya na mcheze mpira acheni excuses za marefa.



Teh Teh Teh Teh

Kuongea au kujibu hoja zenu lazima nijibu na Ndio uzuri Wa kusapoti Chelsea! Ata km nafungwa lazima kuwe na sababu ! Sisi ni timu bora na Ndio maana tunaiamini timu yetu sn!
 
siku zote MFA maji haachi kutapatapa .hayo unayoongea ni maneno ya MFA maji bana.

utaongea kila aina ya neno Ila ukweli utabakia pale pale kwamba Jana mmegongwa na sio Jana tu hata game iliyopita mlishinda kwangekewa sana.
sasa HIV komaeni na uefa japo mfike final tu

Kwakua waamuzi wanawaandalieni ubingwa basi mtakua bingwa! Lkn km FA haiku nyuma yenu basi kombe hamchukui!
 
Teh Teh Teh Teh Teh Teh!!!!!

Ntuzu hayo ni maneno yako kweli????

Na kuhusu RAMIREZ vipi??, mbona Refa aliuchuna Tu..???

Teh Teh Teh Teh Teh!!!!!

unalalamika nn wakat team yako week iliyopita tu ilipata matokeo kwa tabu dhidi ya 10 men wa Swansea, na mlicheza mpira M-bovu...!!!!!?

Dah!!!!!

Mkuu nazifahamu FITINA dhidi ya Jose Vzr sn! Na hii inatokana na umahiri wake mzuri!
 
Waingereza timu zao zinajulikana km Liverpool, Man Utd na Newcastle na zipo zingine! Wakiona timu Ina nafasi ya kuchikua ubingwa lazima wakunyonge!

Kumbuka goli la utata la Liverpool dhidi ya Chelsea CL alilookoa Galas Mwaka 2005 na mechi ya mwisho ya man Utd aliyopewa penalty msimu Wa 2007 ivi km sijakosea! Hicho ndicho Liverpool atafanyiwa hasa Hizi game zilizobaki! Na ktk michango Yangu hapo nyuma kabla ya hii game nilisahau kabisa kuzungumzia FITINA za waingereza na FA kwa ujumla dhidi ya Chelsea na Jose Mourinho!

Teh Teh Teh Teh

Na uzuri Jose anawachana kweli kuanzia Media waamuzi etc!

crystal palace walibebwa?? stoke city walibebwa?? acha maneno ya mfa maji wewe kubali matokeo nyinyi ni wakamiaji hamna kiwango. ni rahisi kukamia champions league na baadhi ya mechi za premier hasa against top four! mkicheza na timu ndogo mnarelax na kuambulia vichap......sikutegemea kwa maneno yako ungekuja na lame excuses kama hizi
 
crystal palace walibebwa?? stoke city walibebwa?? acha maneno ya mfa maji wewe kubali matokeo nyinyi ni wakamiaji hamna kiwango. ni rahisi kukamia champions league na baadhi ya mechi za premier hasa against top four! mkicheza na timu ndogo mnarelax na kuambulia vichap......sikutegemea kwa maneno yako ungekuja na lame excuses kama hizi

This is not excuses as you say! Huu Ndio ukweli wenyewe!

Tena ktk hili lazima niseme! Ligi ingekua katikati ningesema right! Lkn ligi iliposasaiv na msimamo ulivyo lazima FITINA ifanyike!
 
Kwani Chelsea alikua anacheza na liverpool?

Kwanini usiseme Sunderland anaandaliwa mazingira ya kubaki ligi kuu?

Tufanye ile sio penati sasa matokeo itakua 1-1 ndo mnalilia droo?

Arsenal mlifunga magoli mengi sana punguzeni muongezee hapo:-D


Game ya Jana iko na sura mbili! Kuisaidia Sunderland na kuiandalia mazingira ya ubingwa Liverpool!
 
This is not excuses as you say! Huu Ndio ukweli wenyewe!

Tena ktk hili lazima niseme! Ligi ingekua katikati ningesema right! Lkn ligi iliposasaiv na msimamo ulivyo lazima FITINA ifanyike!

haya ya FITINA ZA WAINGEREZA uliyajua tangu lini???jana??? sasa kwanini UNATANGAZA UBINGWA wakati unajua LIVERPOOL timu ya waingereza itabebwa? Ntuzu kumbe wewe ni aina ile ya mashabiki wanaoamini timu fulani zinabebwa,sasa itakuwa ngumu kuongea mpira na wewe,kwasababu mkishinda nyinyi against ten man au kwa penati ni sawa...ila siku mkifungwa nyinyi ni HUJUMA ILI TIMU FULANI IWE BINGWA....so whats the point kujadili ligi iliokwisha pangwa??? wewe sio mwanamichezo ni MSHABIKI TU WA CHELSEA CHELSEA CHELSEA....sio mwanamichezo.

cc: MosDef Mr. Wise AL SHARPTON
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu

Beware Black Cats crossing your path. That would have been sage advice to the trio of Premier League title contenders in the last week of March as Liverpool, Manchester City and Chelsea all prepared to face Sunderland at home in the run-in.

Only the Reds survived the test, and even then it was a nervy ending in a tight 2-1 victory. City and Chelsea have only themselves to blame. Champions are meant to get better at this stage of the season, not drop points at home to the team rooted to the bottom of the league.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu

This wasn't the first time Chelsea have struggled in recent weeks. Defeats to Aston Villa and Crystal Palace suggested Jose Mourinho may have a point about his team not being 'ready' to mount a convincing title challenge, but perhaps a persistent negative outlook has become a self-fulfilling prophecy. Against Sunderland, the Blues certainly lacked conviction. This wasn't another example of Chelsea failing to find openings against an opponent defending deep - they created enough chances but lacked a finishing touch.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu

It was further evidence to support Mourinho's well-publicised concerns about his strikers. Fifteen of Chelsea's 31 efforts hit the target on Saturday, but Samuel Eto'o, Demba Ba and Fernando Torres all wasted good opportunities to score. This has been a recurring theme throughout the campaign and one Mourinho has failed to adequately address, eventually resulting in the end of his 77-game unbeaten record at Stamford Bridge. However, instead of focusing on the issue in his post-match interview, the Portuguese preferred to sarcastically praise the officials for awarding Sunderland their decisive penalty.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu

In truth, it was a weak reaction to what looks like the end of Chelsea's title challenge. In most matches, there would have been few complaints about Dean's decision to penalise Cesar Azpilicueta for catching Jozy Altidore's ankle, but on this occasion Mourinho was looking to save face by fudging his analysis. If you can't beat Sunderland at home, it's difficult to argue that you deserve to be in the title race, and Chelsea's failure in this regard runs much deeper than the incident which led to Fabio Borini's winning goal.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu

The result sees the momentum grow in Liverpool's favour. In terms of what the Reds now have to do, little has changed; they must still ensure they don't lose to Chelsea on April 27 to avoid allowing City the chance to snatch the championship on goal difference. And they must win the rest of their remaining games, of course. However, they[LIVERPOOL] will know they are the toughest team still standing - the one whose manager[BRENDAN RODGERS] is saying all the right things, and whose players are running on incredible belief. These are factors that Mourinho should have mastered in his first season back at the Bridge, but he was too preoccupied with his 'little horse' - a metaphor that has been cut down to size by Liverpool's success.

angalia neutrals wanachosema sio habari za Chelsea unasoma kwenye mtandao wa chelsea peke yake unafikiri wataanika uozo wa mourinho??
 
Last edited by a moderator:
haya ya FITINA ZA WAINGEREZA uliyajua tangu lini???jana??? sasa kwanini UNATANGAZA UBINGWA wakati unajua LIVERPOOL timu ya waingereza itabebwa? Ntuzu kumbe wewe ni aina ile ya mashabiki wanaoamini timu fulani zinabebwa,sasa itakuwa ngumu kuongea mpira na wewe,kwasababu mkishinda nyinyi against ten man au kwa penati ni sawa...ila siku mkifungwa nyinyi ni HUJUMA ILI TIMU FULANI IWE BINGWA....so whats the point kujadili ligi iliokwisha pangwa??? wewe sio mwanamichezo ni MSHABIKI TU WA CHELSEA CHELSEA CHELSEA....sio mwanamichezo.

cc: MosDef Mr. Wise AL SHARPTON


Nasema hivi na lishasema tangu hapo nyuma Kua mkitaka tuchambue mpira ktk uhalisia wake hasa ligi ya epl na CL anzisheni thread yake! Lkn ktk Hizi thread mtapiga kelele Lkn sihami ktk msimamo wangu au msimamo Wa timu au kocha wetu! Hii Ndio falisafa yetu!

Na Ndio maana Jose amezungumzia juu ya Refa Na kuwapongeza! Kwasababu ukweli Ndio huo!

Mbona Wewe tukisema mumfukuze DM hamtaki ingawa amewapa hasara kubwa? Na hana uwezo?
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu

The result sees the momentum grow in Liverpool's favour. In terms of what the Reds now have to do, little has changed; they must still ensure they don't lose to Chelsea on April 27 to avoid allowing City the chance to snatch the championship on goal difference. And they must win the rest of their remaining games, of course. However, they[LIVERPOOL] will know they are the toughest team still standing - the one whose manager[BRENDAN RODGERS] is saying all the right things, and whose players are running on incredible belief. These are factors that Mourinho should have mastered in his first season back at the Bridge, but he was too preoccupied with his 'little horse' - a metaphor that has been cut down to size by Liverpool's success.

angalia neutrals wanachosema sio habari za Chelsea unasoma kwenye mtandao wa chelsea peke yake unafikiri wataanika uozo wa mourinho??


Wewe kijana nasoma habari za michezo Zaidi unavyoweza kufikiria! Hayo ni maoni Yao km Wewe unavyotoa moani hapa!
 
Last edited by a moderator:
Chelsea mkiruhusu kufangwa game ya liverpool mjue mnaweza maliza wanne kwenye ligi kuu kuweni makini maana inaokana mnajua kukamia bigi mechi tu na kufungwa na ndogo! Tunza maneno haya


Na huyo moureen wenu anayemdharau mr bean(wenger) asipoangalia huyo mr bean ataonekana mwenye mafanikio msimu huu kuliko moureen endapo arsenal atachukua FA cup.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom