Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Maureen haamini! Anaumia nini sasa, wakati alicheza mind games za kusema eti yeye hapiganii kombe mwaka huu, bali anaandaa timu ya ushindi mwakani!!

Sasa atulie, dawa imuingie vizuri...
 
watani msife moyo. Bado ligi ngumu. Huwezijua labda mzee mzima nae kesha atavuliwa chupi kule Norwich.
Hold your breath. Not over yet
 
Duh kweli Miracles happen...yaani mnapotea kwenu Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
Dah! Hapo hali siyo hali tena... Yaani hawa madogo ndio wakuvunja daraja kweli? Daaah!! Hapa tayari Pasaka imeingia shubiri
 
subirini muone jinsi Mourinho atakavyolalama. Huwa mnamsema sana Wenger akilalamika jinsi marefa wanavyoharibu mechi.
 
Teh teh teh! Daraja limevunjika. TMA walitabiri kuwa tutarajie mafuriko!! Teh teh teh!
 
Na hata psychology ya wachezaji wenu iko hivyohivyo, mnakamia match kubwa halafu mtafungwa na Cardiff City?

Nahisi bado kuna twist and turns kwenye kinyang'anyiro hiki, subirieni mpaka mechi mbili za mwisho kujua hatma yenu.
Kumbuka Man City are not out yet
Mentor upo?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom