Usiseme hivyo mkuu. Msimu huu ni surprises week in week out.
Naamini LFC hawezi kushinda mechi zote zilizobaki.
Ngoma bado hii
Mkuu mimi siamini kama LFC atashinda mechi zote 4.Maskini leo ndiyo mbio zao za ubingwa wa EPL zimezimwa kwa style ya aibu sana!Mechi 77 za kutopoteza mechezo Darajani zimeisha leo!
Liverpool ni mabingwa wajao
Hata hivyo sisi farasi mdogo, bado tunajifunza kukimbia!!!!
Mpira wa uingereza hautakaa ukue kwa ajili ya maamuzi mabovu na,ya kisemge ya marefa
Nadhani Chelsea watabeba UCL msimu huu.
Mkuu mimi siamini kama LFC atashinda mechi zote 4.
Lolote laweza kutokea. Akitoa draw kesho basi City ni bingwa
Mkuu mimi siamini kama LFC atashinda mechi zote 4.
Lolote laweza kutokea. Akitoa draw kesho basi City ni bingwa
Kumbuka Liverpool 1 - 4 Chelsea Fc (ANFIELD) 2006. Uwe mwangalifu sana wakati huu ambao tunanusa harufu ya ubingwa;
Wewe cheka tu kesho sasa ndo utajua ugumu wa kuwa bingwa; maana NORWICH CITY watakuumiza vibaya.
Sunderland itakuwa timu ya kwanza kushuka daraja kesho. Subirini uone..Gus Poyet mchezaji wetu wa zamani namhurumia; acha tumshushe daraja alaf tumpe kazi kwenye timu ya wechezaji wa akiba kama tulivyomfunza ukocha BRENDAN RODGERS. 2004.
Mpira wa uingereza hautakaa ukue kwa ajili ya maamuzi mabovu na,ya kisemge ya marefa
Mwenzio akinyolewa......................
kama vile Chelsea vs WBA darajani refa aliharibu mechi.Nakubaliana na wewe kwa hili