Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Maureen haamini! Anaumia nini sasa, wakati alicheza mind games za kusema eti yeye hapiganii kombe mwaka huu, bali anaandaa timu ya ushindi mwakani!!

Sasa atulie, dawa imuingie vizuri...
Ndo hasara za Mind games hizo...anavuliwa nguo hadharani
 
Duh! Mimi uwa siwaelewi wanaosema ligi ya Uingereza ni mbovu; eti La Liga ndiyo bora!

Haya yanayoendelea Darajani; ni nadra kutokea katika ligi zingine za Ulaya. Timu inayoshika mkia katika msimamo wa ligi, inaelekea kuikazia timu iliyo katika mbio za ubingwa. Tena baada ya kuibania timu nyingine iliyo katika mbio za ubingwa juma lililopita!!

Leo utamu tu...!
 
subirini muone jinsi Mourinho atakavyolalama. Huwa mnamsema sana Wenger akilalamika jinsi marefa wanavyoharibu mechi.

Mourihno hana tabia za kiunamichezo...hata Pep ashawahi kulalamika..anageuza Mchezo mzuri wa Soka kuwa ni Vita...
 
article-2608299-1D34C83800000578-637_964x494.jpg


Wanted dead or alive ... .... ... ...
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nguvu unayotumia kubisha ndo nguvu itakayotumika kukusumbua baada ya kukufunga pale kwako tarehe 27.
Jifunze kutoka kwa wenzako kina SIZINGA(arsenal), NDETICHIA(man city), RRONDO(psg)..walibisha kama unavyobisha..


SIMBA WA BLUE akawang'ata wametulia kimyaaa!!
Mkuu Sizinga alikuwa kutwa kucha anashinda kwenye jukwaa letu humu; lakin siku hizi ametulia kwake ARSENAL wazee wa 'kikombe cha chai' na #4.

uwe mwangalifu; jiulize kwa nini miaka 24 mmeishi bila kombe? Ukipata jibu toka tupambane tarehe 27.


Mkuu nikupe pole tu....mi nakuangalia kwa karibu sana mkuu. Pole bado mna nafasi ya BPL kikombe ingawa leo ni maumivu...Jiandae na Anfield mkuu. Mwenzako Ntuzu kakimbia.
 
Last edited by a moderator:
kocha wa chelsea mpaka mashabiki wa chelsea wanaongea vitu vya kusadikika ambavyo sio kweli

kuzifunga top 4 mechi zote sio tiketi ya kuchukua ubingwa

chelsea wacheni kuleta maneno mingi bana mpira unadunda

cc: agosti 8 na ntunzu
 
Kumbuka Liverpool 1 - 4 Chelsea Fc (ANFIELD) 2006. Uwe mwangalifu sana wakati huu ambao tunanusa harufu ya ubingwa;

Wewe cheka tu kesho sasa ndo utajua ugumu wa kuwa bingwa; maana NORWICH CITY watakuumiza vibaya.

Sunderland itakuwa timu ya kwanza kushuka daraja kesho. Subirini uone..Gus Poyet mchezaji wetu wa zamani namhurumia; acha tumshushe daraja alaf tumpe kazi kwenye timu ya wechezaji wa akiba kama tulivyomfunza ukocha BRENDAN RODGERS. 2004.

RED: Nahisi uliandika wakati ukipiga viroba bila kushirikisha ubongo wako kwamba mpira ni 90 min....!!
BLUE: Waliweka bango pale uwanjani likisema: "Miracle happens GUS"......Sasa sijui nani wa kumhurumia hapo, Naomba jibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom