Duh! Mimi uwa siwaelewi wanaosema ligi ya Uingereza ni mbovu; eti La Liga ndiyo bora!
Haya yanayoendelea Darajani; ni nadra kutokea katika ligi zingine za Ulaya. Timu inayoshika mkia katika msimamo wa ligi, inaelekea kuikazia timu iliyo katika mbio za ubingwa. Tena baada ya kuibania timu nyingine iliyo katika mbio za ubingwa juma lililopita!!
goaaaaaaaaaalllllllllllllllllllllllllll
Duh! Mimi uwa siwaelewi wanaosema ligi ya Uingereza ni mbovu; eti La Liga ndiyo bora!
Haya yanayoendelea Darajani; ni nadra kutokea katika ligi zingine za Ulaya. Timu inayoshika mkia katika msimamo wa ligi, inaelekea kuikazia timu iliyo katika mbio za ubingwa. Tena baada ya kuibania timu nyingine iliyo katika mbio za ubingwa juma lililopita!!
Uwanja unateleza sana...
Daraja linabomoka hilo