Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 718
- 1,311
Sio kwa THE BLUES hii iliyojaa Mazagazaga na malapulapu. Hakuna cha come back zaidi tutafungwa tena sio chini ya goli 2Chelsea na Rosenior watawashangaza sana, tusubiri tuone.
Sio kwa THE BLUES hii iliyojaa Mazagazaga na malapulapu. Hakuna cha come back zaidi tutafungwa tena sio chini ya goli 2Chelsea na Rosenior watawashangaza sana, tusubiri tuone.
Chelsea itafunga sio chini ya goli mbili. Najua PSG watakuja kulind hayo magoli na wakiruhusu 2 nma la 3 na 4 litaingia pia. PSG hakuna timu pale ni ubovu wa kipa ndio ulituangusha kwa sehemu kubwa kuliko hata defenceSio kwa THE BLUES hii iliyojaa Mazagazaga na malapulapu. Hakuna cha come back zaidi tutafungwa tena sio chini ya goli 2
Tulishindwa kufanya kwa timu dhaifu kama Arsenal kwnye Carabao tena kwa small margin ya magoli.Chelsea na Rosenior watawashangaza sana, tusubiri tuone.
Ila Mkohoti. Sawa sisi dhaifu kwenuTulishindwa kufanya kwa timu dhaifu kama Arsenal kwnye Carabao tena kwa small margin ya magoli.
Wachambuzi wanasema na Mimi sehemu nyingine nakubaliana nao, Mpira Uingereza kupata magoli umekuwa over reliance on set pieces, sijui Kona au long throw nk ndo wapate magoli, sasa majuzi km uliona mechi arsenal na Leverkusen, ht Newcastle na Barcelona, Liverpool na Galatasaray kdgo pia, mara nyingi marefarii walkuwa wanaingilia kuzuia zile staili za uhuni za kona Uingereza, na ht timu pinzani pia zilijitahd hizo timu za Uingereza zipate Kona chche au zisipate kabisa...Timu za Uingereza Bana, yani timu sita hakuna hata moja iliyoshinda...Timu ambazo unaweza kusema zina nafasi kusonga mbele kwenye makaratasi ni timu mbili Tu ambazo ni Liverpool na Arsenal, nahisi Newcastle, Man City, Chelsea kuna mmoja anaweza kufanya comeback hapa na mechi kuamuliwa na Extra time au matuta....
Wachambuzi wanasema na Mimi sehemu nyingine nakubaliana nao, Mpira Uingereza kupata magoli umekuwa over reliance on set pieces, sijui Kona au long throw nk ndo wapate magoli, sasa majuzi km uliona mechi arsenal na Leverkusen, ht Newcastle na Barcelona, Liverpool na Galatasaray kdgo pia, mara nyingi marefarii walkuwa wanaingilia kuzuia zile staili za uhuni za kona Uingereza, na ht timu pinzani pia zilijitahd hizo timu za Uingereza zipate Kona chche au zisipate kabisa...
Pia Wanadai Ratiba ngumu za Uingereza, physical games za Uingereza nk nk...
Sema hii itakuwa rekodi mpya Kwa Uingereza kwamba timu zote 4-6 za Epl kutokupata Ushindi kwenye hatua 16 Bora ya mtoano first leg, ngoja Tusubiri mechi za marudiano, ila Newcastle Ali deserve Ushindi, mwanzo mwisho aliishika mechi vipindi vichache sana Barca ndo alkuwa tishio, na ht goli lenyewe, refa hakumaliza Mpira Kwa wakati dk94...
Sio poa tulichafanyiwa mpaka nikaogopa kuingia humu leo ndio nimeingia lakini tutapindua meza pale darajani
Game bado ngumu hiyo, anyway unacheki chuma kipi sikuhizi?Sio poa tulichafanyiwa mpaka nikaogopa kuingia humu leo ndio nimeingia lakini tutapindua meza pale darajani
Timu za Uingereza ni nzuri na at this stage wanakamiwa sana, second leg ndio itaonyesha kwa sababu huwezi kukamia mechi zote.Timu za Uingereza Bana, yani timu sita hakuna hata moja iliyoshinda...Timu ambazo unaweza kusema zina nafasi kusonga mbele kwenye makaratasi ni timu mbili Tu ambazo ni Liverpool na Arsenal, nahisi Newcastle, Man City, Chelsea kuna mmoja anaweza kufanya comeback hapa na mechi kuamuliwa na Extra time au matuta....
Ukiondoa Newcastle, timu zote tano zilizheza ugenini na zilikamiwa sana, Naamini ni timu mbili tu zitashindwa kusonga mbeleWachambuzi wanasema na Mimi sehemu nyingine nakubaliana nao, Mpira Uingereza kupata magoli umekuwa over reliance on set pieces, sijui Kona au long throw nk ndo wapate magoli, sasa majuzi km uliona mechi arsenal na Leverkusen, ht Newcastle na Barcelona, Liverpool na Galatasaray kdgo pia, mara nyingi marefarii walkuwa wanaingilia kuzuia zile staili za uhuni za kona Uingereza, na ht timu pinzani pia zilijitahd hizo timu za Uingereza zipate Kona chche au zisipate kabisa...
Pia Wanadai Ratiba ngumu za Uingereza, physical games za Uingereza nk nk...
Sema hii itakuwa rekodi mpya Kwa Uingereza kwamba timu zote 4-6 za Epl kutokupata Ushindi kwenye hatua 16 Bora ya mtoano.
lembu tangu lini Chelsea ikaifunga timu ambayo inapaki bus , tukicheza na wakina Leeds au Burnley wakipaki bus tuuh basi mechi yetu imeishia hapo, ndo tutaweza kumfunga psg akipaki busChelsea itafunga sio chini ya goli mbili. Najua PSG watakuja kulind hayo magoli na wakiruhusu 2 nma la 3 na 4 litaingia pia. PSG hakuna timu pale ni ubovu wa kipa ndio ulituangusha kwa sehemu kubwa kuliko hata defence
Ni kweli PSG mbovu lakini je vipi Chelsea ya Rosenior dhidi ya team kubwa? Hivi niambie mpira gani Arsenal walituzidi kiasi tufungwe tupoteze pale Emirates? Na vipi suala letu la defense PSG wanaweza wakawa wabovu lakini Wana baadhi ya Wachezaji wenye hatari kiasi ambacho wanaweza kuadhibu team yoyote dunianiChelsea itafunga sio chini ya goli mbili. Najua PSG watakuja kulind hayo magoli na wakiruhusu 2 nma la 3 na 4 litaingia pia. PSG hakuna timu pale ni ubovu wa kipa ndio ulituangusha kwa sehemu kubwa kuliko hata defence
Du, ngoja tuone hiyo j nne.Game bado ngumu hiyo, anyway unacheki chuma kipi sikuhizi?
Uta nitag korea threadDu, ngoja tuone hiyo j nne.
Sijapata chuma kikali labda unipe napumzikia "Eternal brotherhood"
Hata katika safari ya kwenda Kanaani, kati ya makabila yote 12 ya Israeli, ni Yoshua wa kabila la Efraimu na Kalebu wa kabila la Yuda pekee ndio waliobaki na imani kwamba wanaweza kuuteka ule mji ikiwa Bwana atapenda.lembu tangu lini Chelsea ikaifunga timu ambayo inapaki bus , tukicheza na wakina Leeds au Burnley wakipaki bus tuuh basi mechi yetu imeishia hapo, ndo tutaweza kumfunga psg akipaki bus
Vs PSG tumeshatolewa unapoteza muda bure kujadili ngamia kupita kwenye tundu la sindano.Ni kweli PSG mbovu lakini je vipi Chelsea ya Rosenior dhidi ya team kubwa? Hivi niambie mpira gani Arsenal walituzidi kiasi tufungwe tupoteze pale Emirates? Na vipi suala letu la defense PSG wanaweza wakawa wabovu lakini Wana baadhi ya Wachezaji wenye hatari kiasi ambacho wanaweza kuadhibu team yoyote duniani