Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vs PSG tumeshatolewa unapoteza muda bure kujadili ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Hata katika safari ya kwenda Kanaani, kati ya makabila yote 12 ya Israeli, ni Yoshua wa kabila la Efraimu na Kalebu wa kabila la Yuda pekee ndio waliobaki na imani kwamba wanaweza kuuteka ule mji ikiwa Bwana atapenda.

Wapelelezi wengine 10 kutoka makabila mengine walipoteza imani kabisa, wakarudi na visingizio—wakisema nchi ile ‘hula watu wake,’ na kwamba wenyeji ni majitu, na wao kwao ni kama sisimizi.

Sisi sio sisimizi kwa PSG, tutawapiga 3 au 4 na watarudi kusimulia. James kasema yale matokeo ni ya Half time tu
 
Kenge vipi mpo?

Juzi mmekula mkono
20260303_173720.jpg
 
Watu wamekula mkono na wamejikausha kama sio wao. ..

Eti second leg comeback.... kwa ile forward yenu ya kina delap ? Mna beki ya kuwazuia kina Dembele na kvara?
 
Chelsea vs Newcastle
Predicted lineup
3-4-2-1

--Joao Pedro--

Garnacho --- Enzo----- Palmer

--Caicedo ----Santos---

Cucurella--Chalobah--Fofana — Gusto

--Sánchez--

Bench
1. Jorgensen
2. Josh Acheampong
3. Tosin Adarabioyo
4. Benoît Badiashile
4. Mamadou Sarr
5. Jorrel Hato
7. Roméo Lavia
8. Pedro Neto
9. Liam Delap

#PSG | #CFCNEW
 
Ila Mkohoti. Sawa sisi dhaifu kwenu

Walk the talk sasa, leta h2h mechi 10 za mwisho sisi vs ninyi
H2h kwa timu inayofungwa hata na Leeds haiondoi udhaifu wenu. Endeleeni kujifariji na hizo set piece kuwa mna timu.
 
Chelsea vs Newcastle
Predicted lineup
3-4-2-1

--Joao Pedro--

Garnacho --- Enzo----- Palmer

--Caicedo ----Santos---

Cucurella--Chalobah--Fofana — Gusto

--Sánchez--

Bench
1. Jorgensen
2. Josh Acheampong
3. Tosin Adarabioyo
4. Benoît Badiashile
4. Mamadou Sarr
5. Jorrel Hato
7. Roméo Lavia
8. Pedro Neto
9. Liam Delap

#PSG | #CFCNEW
EPL
Chelsea vs Newcastle
3-4-2-1

--Joao Pedro--

Garnacho --- Enzo----- Palmer

--Caicedo ----James (C)---

Cucurella--Chalobah--Fofana — Gusto

--Sánchez--

Bench
1. Sharman-Lowe
2. Benoît Badiashile
3. Tosin Adarabioyo
4. Mamadou Sarr
5. Jorrel Hato
6. Roméo Lavia
7. Andrey Santos
8. Liam Delap
9. Marc Guiu

#PSG | #CFCNEW
#ChelseaFC
 
Nadhani Trevoh Chalobah ndiye aliyemfanya Willock aonekane yuko onside. Wesley Fofana hakuwa na haraka yoyote hadi James alipokimbia kujaribu kuokoa lile bao la aibu kutokea kwenye kiungo. Hii inaonyesha kabisa tuna mabeki average Chelsea.
 
Kocha huyu hana tofauti na Pochettino kwenye kupanga safu ya ulinzi. Hawa hawa mabeki walimpa Maresca clean sheets nyingi, lakini kwa Rosenior ulinzi umetoboka kila mahali bila kujali ni pair gani anayotumia. Pairing ya Fofana na Chalobah ilikuwa inatupa clean sheet chini ya Maresca, lakini sasa Rosenior ni kama Pochettino v2.0 — tofauti pekee ni kwamba yeye anaongea kupita kiasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom