Vs PSG tumeshatolewa unapoteza muda bure kujadili ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Hata katika safari ya kwenda Kanaani, kati ya makabila yote 12 ya Israeli, ni Yoshua wa kabila la Efraimu na Kalebu wa kabila la Yuda pekee ndio waliobaki na imani kwamba wanaweza kuuteka ule mji ikiwa Bwana atapenda.
Wapelelezi wengine 10 kutoka makabila mengine walipoteza imani kabisa, wakarudi na visingizio—wakisema nchi ile ‘hula watu wake,’ na kwamba wenyeji ni majitu, na wao kwao ni kama sisimizi.
Sisi sio sisimizi kwa PSG, tutawapiga 3 au 4 na watarudi kusimulia. James kasema yale matokeo ni ya Half time tu
H2h kwa timu inayofungwa hata na Leeds haiondoi udhaifu wenu. Endeleeni kujifariji na hizo set piece kuwa mna timu.Ila Mkohoti. Sawa sisi dhaifu kwenu
Walk the talk sasa, leta h2h mechi 10 za mwisho sisi vs ninyi
EPLChelsea vs Newcastle
Predicted lineup
3-4-2-1
--Joao Pedro--
Garnacho --- Enzo----- Palmer
--Caicedo ----Santos---
Cucurella--Chalobah--Fofana — Gusto
--Sánchez--
Bench
1. Jorgensen
2. Josh Acheampong
3. Tosin Adarabioyo
4. Benoît Badiashile
4. Mamadou Sarr
5. Jorrel Hato
7. Roméo Lavia
8. Pedro Neto
9. Liam Delap
#PSG | #CFCNEW
Huyo Leed anashika nafasi ya ngapiHamna timu inayoweza kusimama mbele ya Leeds United,achilia mbali PSG
Tayari, hebu cheki Korean threadUta nitag korea thread