Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna kile kipindi unakua unaamini timu yako ni nzuri ila inakudhalilisha kila ikiwa uwanjani.

Timu iliyotoka kupigwa 5. Inafungwa goli la mapema 1 na hakuna dalili ya goli kurudi.

Hapohapo kocha anaongea kuliko vitendo.

Mashabiki wako deluded. Ni shabiki mmoja tu ameaddress ishu ya ukweli. Lembu anaendelea kuiuliza chatgpt nini cha kuandika.

Dark times ahead
 
Kocha huyu hana tofauti na Pochettino kwenye kupanga safu ya ulinzi. Hawa hawa mabeki walimpa Maresca clean sheets nyingi, lakini kwa Rosenior ulinzi umetoboka kila mahali bila kujali ni pair gani anayotumia. Pairing ya Fofana na Chalobah ilikuwa inatupa clean sheet chini ya Maresca, lakini sasa Rosenior ni kama Pochettino v2.0 — tofauti pekee ni kwamba yeye anaongea kupita kiasi.
Sasa hapo kocha wa Mpira Tactical Rosenyo kosa lake nini?? We humuonagi akiwa anaandikaga vikaratasi anawapa wachezaji?? Kocha Gani mwenye kipaji Cha kuandikaandika, hebu taja mmoja
 
Kuna kile kipindi unakua unaamini timu yako ni nzuri ila inakudhalilisha kila ikiwa uwanjani.

Timu iliyotoka kupigwa 5. Inafungwa goli la mapema 1 na hakuna dalili ya goli kurudi.

Hapohapo kocha anaongea kuliko vitendo.

Mashabiki wako deluded. Ni shabiki mmoja tu ameaddress ishu ya ukweli. Lembu anaendelea kuiuliza chatgpt nini cha kuandika.

Dark times ahead
Lembu n wa kupuuzwa humu, anaongeaga ujinga tuu
 
Chelkenge hapa ni kama mlitaka msaada wa refa ila ikashindikana😅
1773577641337.jpg
 
Kuna kile kipindi unakua unaamini timu yako ni nzuri ila inakudhalilisha kila ikiwa uwanjani.

Timu iliyotoka kupigwa 5. Inafungwa goli la mapema 1 na hakuna dalili ya goli kurudi.

Hapohapo kocha anaongea kuliko vitendo.

Mashabiki wako deluded. Ni shabiki mmoja tu ameaddress ishu ya ukweli. Lembu anaendelea kuiuliza chatgpt nini cha kuandika.

Dark times ahead
Hakuna mtu aliyewahi kudai kwamba Chelsea ni timu nzuri. Matatizo ya hii timu tunayajua, na tumekuwa tukiyasema kila siku. Kuwa na imani na timu yako haimaanishi kujifanya kwamba ni timu bora. Msimu huu karibu kila timu iliyo juu ya table ina mapungufu, lakini Chelsea ina matatizo makubwa zaidi — na tunajua sababu. Wamiliki hawataki kusajili wachezaji wenye ushindani wa kweli.

Arsenal wamesajili Gyökeres, sisi tukaleta Delap mchezaji wa kiwango cha Championship kama mshambuliaji.
Manchester City wamemsajili Marc Guehi, sisi tukachukua Mamadou Sarr na Tosin bure.
Manchester United wamemsajili Cunha na Mbeumo, sisi tukaleta Gittens na Garnacho.

Hii ndiyo hatima tuliyolazimishwa kuikubali chini ya hawa Wamarekani wasio na akili ya uongozi. Hata huo utajiri wanaodaiwa kuwa nao sijui wamaupataje? labda wameiba, maana uwezo wa kufanya maamuzi ya maana kwenye soka hauonekani kabisa.
 
Ukisikia lose lose deal ndio hii yaani Chelsea na Strasbourg zote zimerudi nyuma ni bora wangewaachia kocha wao wafukuzie hata Europa
Sasa mwisho wa msimu timu mama conference timu mtoto hakuna mashindano ya kimataifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom