Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi ni kwenye mkataba wa mauziano na wamarekani ni lazima kipa asubirie press ndio apige pass kwa central midfielder
 
Kuna comments huwa nazisoma humu nakosa cha kusema. Kuna mtu anakaza msuli wa kidole kuandika kumponda Enzo kisa mechi 1/2

Wazee hivi nyie wachezaji huwa mnawaangaliaje au mnaongozwa na hisia tu
 
Hivi ni kwenye mkataba wa mauziano na wamarekani ni lazima kipa asubirie press ndio apige pass kwa central midfielder
Huyu kipa ni mzenge bora Sanchez aisee, tokea 1st half alishaonyesha atachoma.
 
Sometimes kocha nae ni kiazi unalazimisha kipa awe midifier which is fine kama una goal keeper mwenye skills hizo kama huna ni better utafute system nyingine

Sasa mechi moja mistake zaidi ya tano bado unalazimisha kufanya kitu kile kile mbaya zaidi ni kwenye knockout stage
 
World Champions my foot😏
1773267084031.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom