Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha huyu hana tofauti na Pochettino kwenye kupanga safu ya ulinzi. Hawa hawa mabeki walimpa Maresca clean sheets nyingi, lakini kwa Rosenior ulinzi umetoboka kila mahali bila kujali ni pair gani anayotumia. Pairing ya Fofana na Chalobah ilikuwa inatupa clean sheet chini ya Maresca, lakini sasa Rosenior ni kama Pochettino v2.0 — tofauti pekee ni kwamba yeye anaongea kupita kiasi.
Hapana pochettino ni better than Rosenior in term of tactical kama unakumbuka mechi 7 za mwisho alipata ile team tunaohitaji tuliruhusu goal chache sana na hata kwenye game kubwa alikuwa anapata matokeo mazuri japo hakuwa na resources kama aliyonayo Rosenior
 
Hapana pochettino ni better than Rosenior in term of tactical kama unakumbuka mechi 7 za mwisho alipata ile team tunaohitaji tuliruhusu goal chache sana na hata kwenye game kubwa alikuwa anapata matokeo mazuri japo hakuwa na resources kama aliyonayo Rosenior
Focus yangu ilikuwa kwenye kuisuka dfence. Maresca pamoaj na kuwa alilalamika kuhusu kupewa defender mbadala wa Colwill lakini aliweza kupata something kutoka kwa Fofana na Chalobah. Huyu Rosenior naona pairing hii iliyokuwa inatupa nafuu ndio sasa imeharibika kabisa
 
Kuna kile kipindi unakua unaamini timu yako ni nzuri ila inakudhalilisha kila ikiwa uwanjani.

Timu iliyotoka kupigwa 5. Inafungwa goli la mapema 1 na hakuna dalili ya goli kurudi.

Hapohapo kocha anaongea kuliko vitendo.

Mashabiki wako deluded. Ni shabiki mmoja tu ameaddress ishu ya ukweli. Lembu anaendelea kuiuliza chatgpt nini cha kuandika.

Dark times ahead
 
Kocha huyu hana tofauti na Pochettino kwenye kupanga safu ya ulinzi. Hawa hawa mabeki walimpa Maresca clean sheets nyingi, lakini kwa Rosenior ulinzi umetoboka kila mahali bila kujali ni pair gani anayotumia. Pairing ya Fofana na Chalobah ilikuwa inatupa clean sheet chini ya Maresca, lakini sasa Rosenior ni kama Pochettino v2.0 — tofauti pekee ni kwamba yeye anaongea kupita kiasi.
Sasa hapo kocha wa Mpira Tactical Rosenyo kosa lake nini?? We humuonagi akiwa anaandikaga vikaratasi anawapa wachezaji?? Kocha Gani mwenye kipaji Cha kuandikaandika, hebu taja mmoja
 
Kuna kile kipindi unakua unaamini timu yako ni nzuri ila inakudhalilisha kila ikiwa uwanjani.

Timu iliyotoka kupigwa 5. Inafungwa goli la mapema 1 na hakuna dalili ya goli kurudi.

Hapohapo kocha anaongea kuliko vitendo.

Mashabiki wako deluded. Ni shabiki mmoja tu ameaddress ishu ya ukweli. Lembu anaendelea kuiuliza chatgpt nini cha kuandika.

Dark times ahead
Lembu n wa kupuuzwa humu, anaongeaga ujinga tuu
 
Chelkenge hapa ni kama mlitaka msaada wa refa ila ikashindikana😅
1773577641337.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom