Hapana pochettino ni better than Rosenior in term of tactical kama unakumbuka mechi 7 za mwisho alipata ile team tunaohitaji tuliruhusu goal chache sana na hata kwenye game kubwa alikuwa anapata matokeo mazuri japo hakuwa na resources kama aliyonayo RoseniorKocha huyu hana tofauti na Pochettino kwenye kupanga safu ya ulinzi. Hawa hawa mabeki walimpa Maresca clean sheets nyingi, lakini kwa Rosenior ulinzi umetoboka kila mahali bila kujali ni pair gani anayotumia. Pairing ya Fofana na Chalobah ilikuwa inatupa clean sheet chini ya Maresca, lakini sasa Rosenior ni kama Pochettino v2.0 — tofauti pekee ni kwamba yeye anaongea kupita kiasi.
Focus yangu ilikuwa kwenye kuisuka dfence. Maresca pamoaj na kuwa alilalamika kuhusu kupewa defender mbadala wa Colwill lakini aliweza kupata something kutoka kwa Fofana na Chalobah. Huyu Rosenior naona pairing hii iliyokuwa inatupa nafuu ndio sasa imeharibika kabisaHapana pochettino ni better than Rosenior in term of tactical kama unakumbuka mechi 7 za mwisho alipata ile team tunaohitaji tuliruhusu goal chache sana na hata kwenye game kubwa alikuwa anapata matokeo mazuri japo hakuwa na resources kama aliyonayo Rosenior
Sasa hapo kocha wa Mpira Tactical Rosenyo kosa lake nini?? We humuonagi akiwa anaandikaga vikaratasi anawapa wachezaji?? Kocha Gani mwenye kipaji Cha kuandikaandika, hebu taja mmojaKocha huyu hana tofauti na Pochettino kwenye kupanga safu ya ulinzi. Hawa hawa mabeki walimpa Maresca clean sheets nyingi, lakini kwa Rosenior ulinzi umetoboka kila mahali bila kujali ni pair gani anayotumia. Pairing ya Fofana na Chalobah ilikuwa inatupa clean sheet chini ya Maresca, lakini sasa Rosenior ni kama Pochettino v2.0 — tofauti pekee ni kwamba yeye anaongea kupita kiasi.
Hyu Kocha mawani naye mtamfukuza tu🤠🤠🤠...tupo hapaH2h kwa timu inayofungwa hata na Leeds haiondoi udhaifu wenu. Endeleeni kujifariji na hizo set piece kuwa mna timu.
Lembu n wa kupuuzwa humu, anaongeaga ujinga tuuKuna kile kipindi unakua unaamini timu yako ni nzuri ila inakudhalilisha kila ikiwa uwanjani.
Timu iliyotoka kupigwa 5. Inafungwa goli la mapema 1 na hakuna dalili ya goli kurudi.
Hapohapo kocha anaongea kuliko vitendo.
Mashabiki wako deluded. Ni shabiki mmoja tu ameaddress ishu ya ukweli. Lembu anaendelea kuiuliza chatgpt nini cha kuandika.
Dark times ahead
Usihamishie hasira zako kwa Arsenal.Hii ni hali ya mpito tu, Chelsea itarudi kuwa imara. Tuwe wavumilivu mbona Asenyeto wamevumilia Karne na Karne bila kombe la Ulaya?!
"Chelsea will come back strong "
Kabisa 😂Chelsea ilipata mkosi siku ilipouzwa na kununuliwa na Wamarekani.
Tunapata udhoefu kutoka AsenyetoUsihamishie hasira zako kwa Arsenal.
Pambaneni tu na Hali yenu