Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hua mnaoverestimate uwezo wa timu kiasi kwamba hua mnaandika kwa kuzingatia overestimation. Katika mashabiki wote ni mmoja tu niliona ameaddress ishu ya kweli juu ya mabeki.

Alikua Kimbukiko wengine wote ilikua ni kuishi historia.
 
Kenge kama kenge .... mmmbanduliwe tu mtolewe, goli 5 nyingi sana kuchomoa ngumu sana, washambuliaji wenyewe ndio kina Delap ? Hata ukimpa pasi nzuri hawezi kupokea mali ikakaa mguuni vizuri !!!

J Pedro nae takataka....ana upepo tu, sio mchezaji wa level ya Timu kubwa ya champions league. .....
Msisahau kwenye ligi big 4 mmpambane, vinginevyo mwakani mtashiriki conference league
 
Huyu kipa kiazi alichofanya leo n Sawa na alichofanya Loris Karius akiwa Liverpool Kwenye fainali ya uefa dhidi ya Madrid
Wewe uliona alichokifanya kipa wa Tottenham juzi wakicheza dhidi ya Atletico Madrid?
Bora hata huyu wenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom