Umesema ukweli uwezo wa beki zetu ni mdogo sana, beki hawezi hata kupga pasi hata moja ya mbele kwa zote dk.90. Beki kichwani inajua back pass tu, beki hawezi hata kujitaftia nafasi ya kupga pasi kwa kusogea na mpira pale anapoishiwa na option. Sasa hii mibeki kama miroboti hapo hapo aliposimama anapga back pass.Rosemary jana UCL imemuexpose uwezo wake kama kocha kaja na mbinu nzuri mwanzoni ila uwezo wa kusoma mchezo ndani ya mchezo ndio umemuexpose
Yule kipara mwenda zake mechi kama hii alikuwa anawabamiza tena
hawa PSG
Game management na playing style inayoendana na resource bado ni mtihani kwa kocha na SD
Playing from back kwa kipa na mabeki wasio na uwezo wa kucarry mpira ni red flag kwa kocha lazima mmoja ampishe mwenzake
Unaweza ukamlaumu kipa ila lawama zirudi kwanza kwa beki kwa kusababisha kipa kuwa kwenye presha mara kwa mara kwa kumrudishia mipira kila mara.
Sina uelewa wa ukocha ila Yaani kocha hakuona kabisa mechi ya jana iliwahitaji zaid Garnacho na Neto, mana beki zao zilikuawa zinakuja juu na kushambulia, mipira mirefu kwa kina Garnacho ingehusika. Cha kushangaza anaingia Delap!!! halafu nje alikua anapasha Mjomba Tosin na shoga ake Badiashile, tungekua bado mbili mbili wangeingia hao wajomba pia. Bora Maresca aisee dah!!