Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,199
- 18,918
Kweli kabisa huyu jamaa hafai kucheza kabisaTosin ni wa kuwekwa kapu moja na Disasi, hawana tofauti. Hao sio calibrfe ya Chelsea, usajili wao ulikosewa kabisa
Estevao hakuanza ndipo ulipokoseaKumbe nilitabiri vizuri, nipeni maua yangu
Nilimaanisha matokeo, nilitabiri 2-0Estevao hakuanza ndipo ulipokosea
Haya basi hapo Cucurela alikua nanyoosha makwapa, au sio?Kwamba kunyoosha mikono juu ndo ana uhakika hilo litakuwa goli?
Wabongo bhana 😂
Kitu kama hiki niliwahi kuona kwenye Uzi fulani, refa amenyoosha mikono juu bc mtu akasema refa ameshangilia pasi iliyokwenda kuzaa goli wakati kiuhalisia ni kuna rafu ilichezwa Ila ilikuwa advantage Kwa upande wa waliofanyiwa rafu hvy refa akanyanyua mikono kumaanisha Mpira uendelee.
Humu ndani kuna wapingaji tu kwa maana ya kupinga. Cucurella kashangilia goli muda mfupi kabla Palmer hajafunga, hii unaweza ona kwenye replay clipHaya basi hapo Cucurela alikua nanyoosha makwapa, au sio?
Kama nyinyi mnavyosubiri kwa miongo miwili sasaNaam subirini baada ya hiyo miaka minne ndo mtapata kombe lingine
Mtu anapinga kitu hajafanyia uchunguzi! Halafu anakwambia wabongo!! sijui nini sijui!!Humu ndani kuna wapingaji tu kwa maana ya kupinga. Cucurella kashangilia goli muda mfupi kabla Palmer hajafunga, hii unaweza ona kwenye replay clip
View attachment 3515834
Acha kupiga ramli, kama unahisi ni hivyo kaweke bet upate hela.Hapa Chelsea watashinda mechi moja Tu ambayo ni ya Bournemouth
Hatuchezi vizuri kabisaChelsea VS Cardiff (Hakuna Estevao Willian, Maresca ana nini lakini))
4-2-3-1
-----------Guiu------------
Gittens --- Buonanotte -- George
--Santos ---Caicedo--
Hato--Badiashile--Tosin--Acheampong
----------Jorgensen---------
Subs:
Sanchez
Chalobah
Fofana
Gusto
James
Fernandez
Garnacho
Neto
Joao Pedro
Mechi kama hizi zinakuwaga hivi kwa timu kubwa zinazoshiriki ligi nyingi kwa sababu lazima matakata ndio yanapewa nafasi ya kumfurahisha kocha. Mimi naona wamecheza vizuri zaidi bya nilivyotarajiak Kwenda HT ukiwa 1-0 ni ushindi mzuri japo walikuwa very sloppyHatuchezi vizuri kabisa
Kipindi cha pili team ilibadilika sana baada ya zile sub Leo Focundo kacheza vizuri sana Kama akiendelea hivyo atapata nafasi nyingi za kucheza, kacheza kwa namna Maresca anavyotaka kwa mchezaji anayecheza no 10Mechi kama hizi zinakuwaga hivi kwa timu kubwa zinazoshiriki ligi nyingi kwa sababu lazima matakata ndio yanapewa nafasi ya kumfurahisha kocha. Mimi naona wamecheza vizuri zaidi bya nilivyotarajiak Kwenda HT ukiwa 1-0 ni ushindi mzuri japo walikuwa very sloppy
Mbn magoli yote tumepata second halfMechi kama hizi zinakuwaga hivi kwa timu kubwa zinazoshiriki ligi nyingi kwa sababu lazima matakata ndio yanapewa nafasi ya kumfurahisha kocha. Mimi naona wamecheza vizuri zaidi bya nilivyotarajiak Kwenda HT ukiwa 1-0 ni ushindi mzuri japo walikuwa very sloppy
Anajituma sanaGranacho tume pata winga mzuri, akizoea system ya Chelsea tutamfurahia sana. Upande wake uko active sana
Key players walioingia ndio wameleta mabadilikoMbn magoli yote tumepata second half