Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Estevao ameingia wakati ambao timu inakaa nyuma sana. Yan imesharidhika na uongozi wa goli mbili bila. Hivyo huwezi kuona uwezo wake sana
 
Kitu kilichotusaidia leo tulikua vizuri sana kwenye transition, kutoka kushambuliwa na namna timu ina react kwenda kushambulia. Tuna watu wana kasi sana na nadhani ndio sababu Maresca amempa dakika nyingi Garnacho kutokana na kasi yake japokua alikua keshaonesha mapema game imemuelemea.
 
Kitu kilichotusaidia leo tulikua vizuri sana kwenye transition, kutoka kushambuliwa na namna timu ina react kwenda kushambulia. Tuna watu wana kasi sana na nadhani ndio sababu Maresca amempa dakika nyingi Garnacho kutokana na kasi yake japokua alikua keshaobesha mapema game imemuelemea.
Palmer effect
 
Tushukuru Everton leo hawakuwa clinical
Joao Pedro anafanya makosa yaleyale ya kuhold mpira sijui kocha hawezi muelekeza au kocha ndio haoni tatizo
 
Chelsea walitawala umiliki wa mpira na pasi, wakionyesha udhibiti na usahihi mkubwa.
Everton walikimbia zaidi, wakifunika umbali wa kilomita 101.5.
Chelsea walitengeneza nafasi bora zaidi za kufunga (xG 2.07 dhidi ya 1.03).
Malo Gusto aling’ara kwa bao na pasi ya msaada, akichangia moja kwa moja kwenye mabao yote kabla ya mapumziko.
1765645548899.png
 
lembu CB wameendeleza record yako ya clear sheet wakiwepo hao wawili
Chelsea wameweka clean sheets katika mechi 8 kati ya 16 walizocheza, hakuna timu iliyofanya hivi zaidi kwenye Premier League msimu huu. » @BBCSport
Robert Sanchez sasa amefungana na David Raya wa Arsenal kwa kuweka cleansheet 8 kila mmoja
1765646675886.png
 
Muone cucurela, yupo na uhakika hilo litakua goli.
20251213_203447.jpg


Ila tushukuru mungu leo Evarton hawakua clinical.
 
Bado udhaifu wa kuruhusu mashambulizi ni mkubwa kama tungekutana na timu inayotumia nafasi vzr tungekuwa tunaongea mengine .

Umaliziaji wetu bado sio mzuri sana tunakosa sana magoli kocha aangalie eneo hilo
 
Palmer kacheza leo akiwa bado anaumwa na akabadislisha jinsi Chelsea inavyoshambulia. Je akipona kabisaitakuwaje?

1765647791162.png
 
Enzo Maresca kasema Palmer hatacheza kwenye mchezo wa Cardiff Jumanne hii ya tar 16 Disemba
 
Sasa imagine na Colwill arudi wa combine aidha Fofana na Trevoh au Fofana na Colwill au Trevoh na Colwill
Bado na yule dogo Amcheapong ni vile tu kocha huwa ni mweu wakati mwingine Kama unampumzisha Fofana, combination ya Amcheapong na Chalobah ndio inafaa yeye anaenda kuwapa Tosin na Badiashile ila angalau kidogo Badiashile ana unafuu akicheza na beki mzuri. Enzo Fernandez inabidi apuumzishwe kwa kweli huwa anapoteza sana pass Enzo kwenye ubora wake uwezi kukuta hivyo
 
Bado na yule dogo Amcheapong ni vile tu kocha huwa ni mweu wakati mwingine Kama unampumzisha Fofana, combination ya Amcheapong na Chalobah ndio inafaa yeye anaenda kuwapa Tosin na Badiashile ila angalau kidogo Badiashile ana unafuu akicheza na beki mzuri. Enzo Fernandez inabidi apuumzishwe kwa kweli huwa anapoteza sana pass Enzo kwenye ubora wake uwezi kukuta hivyo
Tosin ni wa kuwekwa kapu moja na Disasi, hawana tofauti. Hao sio calibrfe ya Chelsea, usajili wao ulikosewa kabisa
 
-------------Joao Pedro------------

Pedro Neto ---Palmer -------Estevao Willian

----------Enzo ------------James-------

Cucurella ---Chalobah ----Fofana-----Gusto

---------------Sanchez -------------------

Wataponaje hapo hao Everton?
Matokeo 2-0
Kumbe nilitabiri vizuri, nipeni maua yangu
 
Muone cucurela, yupo na uhakika hilo litakua goli.
Kwamba kunyoosha mikono juu ndo ana uhakika hilo litakuwa goli?

Wabongo bhana 😂

Kitu kama hiki niliwahi kuona kwenye Uzi fulani, refa amenyoosha mikono juu bc mtu akasema refa ameshangilia pasi iliyokwenda kuzaa goli wakati kiuhalisia ni kuna rafu ilichezwa Ila ilikuwa advantage Kwa upande wa waliofanyiwa rafu hvy refa akanyanyua mikono kumaanisha Mpira uendelee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom