Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hii timu mbona haina namba 8 watu wanakimbia kimbia au mwalimu hajui anafanya nn
 
Leo tusipokula tano sijui

Maresca angeshinda hii mechi kama angekuja na game plan sahihi mapema. WHY?

Newcastle walipiga pressing ya kubwa first half, lakini ukiwajua vizuri unajua hiyo ni battery ya dakika 45 tu. Second half huwa wanadondoka kama network ya kijijini.

Ndiyo maana wako juu kwenye ligi ya kupoteza mechi wakiwa mbele. Wanafunga mapema halafu wanatoa sadaka ya magoli second half.

Lakini credit kwa Maresca:
  • Alisoma mchezo second half jinsi Chelsea ilivyolemewa kwa second balls na presisng.
  • Akamtoa Gusto ambaye Newcastle walimlenga kama uchochoro kwa kumtumia Gordon ili kumgeuza geuza kama mandazi na chapati.
  • Akamrudisha James RB na mara moja ukuta ukawa stable.
  • Enzo akaingia na kuweza kuwin zile second balls ambayo Chelsea walikuwa wanakosa kabisa first half.
HONGERA Sanchez kwa kupata assist yake ya kwanza
1766241935202.png
 
Newcastle vs Chelsea
4-2-3-1
-----------Joao Pedrou------------

Garnacho --- Palmer -- Neto

--Caicedo ---James--

Cucurella--Chalobah--Fofana--Gusto

----------Sanchez---------
Subs:
Jourgensen
Acheampong
Badiashile
Tosin
Hato
Fernandez
Santos
Buonanotte
Guiu
Mpira tunaocheza Siku hizi ni wa kiseng€ , hivi ni nini kilimfanya Maresca kubadilisha style ya kucheza ile tuliyokuwa tunatumia miezi mitatu ya kwanza alipoingia Chelsea ? ,ile style ndio inatufaa .Kucheza kwa kasi pasi fupi na ndefu na kumkimbiza adui mwanzo mwisho huku tukimiliki mpira bila kupoza mashambulizi ...........ile style nakumbuka tulizitandika Timu zote tulizokutana nazo na walipata shida hata kujua wamkabe nani ,hasa viungo na mabeki wa timu pinzani tulizocheza nazo .......Wadau naomba mnipe majibu .........Huyu kichwa andazi maresca ananitia kinyaa Sana sasa hivi
 
Yani kipindi cha kwanza tungecheza kama tulivyocheza kipindi cha pili game ilikuwa yetu kabisa,

Shida Maresca huwa anasubiri afungwe kwanza ndo aanze kuhangaika kusawazisha
 
Kuna mashabiki wa Arsenal walikua wanapiga hesabu Chelsea eti imzuie City 😅😅😅

Mkifa chini ya tano nitafuteni
 
Kuna mashabiki wa Arsenal walikua wanapiga hesabu Chelsea eti imzuie City 😅😅😅

Mkifa chini ya tano nitafuteni
The blues sio ya kupigwa tano ww ndg uwa mnasema hivi hivi kila tukikaribia kucheza na timu kubwa alafu tunazifunga tu
 
Yani kipindi cha kwanza tungecheza kama tulivyocheza kipindi cha pili game ilikuwa yetu kabisa,

Shida Maresca huwa anasubiri afungwe kwanza ndo aanze kuhangaika kusawazisha
Kwenye hili siwezi kumlaumu kocha wachezaji ndio wamezingua walikuwa wanacheza kivivu, Kasi ndogo, hawakabi na second balls zilikuwa zinawashinda kipindi cha Kwanza tulizidiwa sio kwasababu ya kimbinu wachezaji wenyewe walisinzia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom