Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Valentín Barco ndiye mchezaji anayelengwa na Chelsea, akitokea klabu ya Strasbourg.
Anacheza nafasi ya Left Back (LB) na pia Central Midfielder (CM).

Kiwango chake cha kujituma (workrate) hakina tofauti kubwa na kile cha Moisés Caicedo, jambo linalomfanya kuwa chaguo lenye thamani kwa kikosi.

Barco anatoka Argentina na kwa sasa ana umri wa miaka 21 pekee, akionekana kama nyota chipukizi mwenye mustakabali mkubwa.

Strasbourg walimsajili kutoka Brighton & Hove Albion, na sasa jina lake linatajwa sana katika mipango ya Chelsea.

1765389502147.png
 
Yani timu inafanya vibaya wote tunaona ni mistake anazofanya kocha lakini bado kuna watu wanatetea anafanya majaribio kila mechi kama tupo preseason kikosi kila siku kipya wachezaji anachezesha out of position
Serious kuna watu wa ajabu!! Aisee huyu kocha kama havuti bange basi kichwani hazipo sawa. Yaani timu inaweza ikacheza vizuri leo, badala ya kustick kwenye winning team kesho anaivurugua yote, wachezaji wakicheza vizuri leo kesho lazima ahakikishe wanaanzia benchi.

Wale wanaovuruga na kuchomesha akina Tosin, Delap ndio rafiki zake kila mechi wamo, wakina Josh, Estevao, Santos wanaocheza vizuri hana habari nao. Yaani sijui anafanya kusudi ili afungwe??!! Afukuzwe apewe fidia!!!
 
Serious kuna watu wa ajabu!! Aisee huyu kocha kama havuti bange basi kichwani hazipo sawa. Yaani timu inaweza ikacheza vizuri leo, badala ya kustick kwenye winning team kesho anaivurugua yote, wachezaji wakicheza vizuri leo kesho lazima ahakikishe wanaanzia benchi.

Wale wanaovuruga na kuchomesha akina Tosin, Delap ndio rafiki zake kila mechi wamo, wakina Josh, Estevao, Santos wanaocheza vizuri hana habari nao. Yaani sijui anafanya kusudi ili afungwe??!! Afukuzwe apewe fidia!!!
Haya sasa, kwa hiyo inabidi wacheze vibaya ili wapangwe
Kwenye nafasi zingine hana option ila kumuweka Santos benchi huku Gusto akicheza CM ni utani na uendawazimu. Bado kocha anajifunza kwa makosa. Akiamua kustick na Santos na Josh badala ya Tosin au Gusto kwenye CM.
Ila najua tu Chelsea itafanya vizuri tena zaidi ya msimu uliopita
 
Haya sasa, kwa hiyo inabidi wacheze vibaya ili wapangwe
Kwenye nafasi zingine hana option ila kumuweka Santos benchi huku Gusto akicheza CM ni utani na uendawazimu. Bado kocha anajifunza kwa makosa. Akiamua kustick na Santos na Josh badala ya Tosin au Gusto kwenye CM.
Ila najua tu Chelsea itafanya vizuri tena zaidi ya msimu uliopita
We kila kitu unatetea? Nafasi gani ambayo hana option?? Yes! Cheza vibaya upewe nafasi, kuna Tosin kila siku yeye ni mzee wa kuchoma ila ndio kama anamshawishi kocha azidi kumpa nafasi, kuna Josh akipewa chance anakupa 99% perfomance ila ndio next hapewi nafasi hata kidogo, kuna Delap mzee wakuwapga wachezaji wenzie vipepsi ila ndio panga pangua anae.

kwani we ukipewa Guiu na Delap unachukua yupi?
 
We kila kitu unatetea? Nafasi gani ambayo hana option?? Yes! Cheza vibaya upewe nafasi, kuna Tosin kila siku yeye ni mzee wa kuchoma ila ndio kama anamshawishi kocha azidi kumpa nafasi, kuna Josh akipewa chance anakupa 99% perfomance ila ndio next hapewi nafasi hata kidogo, kuna Delap mzee wakuwapga wachezaji wenzie vipepsi ila ndio panga pangua anae.

kwani we ukipewa Guiu na Delap unachukua yupi?
Wewe klila kitu unapinga
Ikifika treshold mbaya ya kumpinga Maresca au mwingine yeyote nitafanya hivyo
Kwa sasa ni mapoema mno na itakuwa ulimbukeni nkukimbilia tu kupinga kwa sababu wachache wanafanya hivyo. Naheshimu msimamo wa mtu mwingine ila mimi nina viwango vyangu. Almost 70% ya mashabiki hata kama hawafurahishwi na baadhi ya maamuzi ya kocha ila bado wana imani naye. Timu lazima ipitie kwenye ups and downs hadi hapo wachezaji wakomae na au wasajiliwe wachezaji wenye viwango vya juu na uzoefu kwenye kila position.
1765435522845.png
 
Wewe klila kitu unapinga
Ikifika treshold mbaya ya kumpinga Maresca au mwingine yeyote nitafanya hivyo
Kwa sasa ni mapoema mno na itakuwa ulimbukeni nkukimbilia tu kupinga kwa sababu wachache wanafanya hivyo. Naheshimu msimamo wa mtu mwingine ila mimi nina viwango vyangu. Almost 70% ya mashabiki hata kama hawafurahishwi na baadhi ya maamuzi ya kocha ila bado wana imani naye. Timu lazima ipitie kwenye ups and downs hadi hapo wachezaji wakomae na au wasajiliwe wachezaji wenye viwango vya juu na uzoefu kwenye kila position.
View attachment 3514171
Tulipofika sasa hatupo ile nafasi ya kusema tumtimue kocha. Ila kiukweli mechi nyingi tunazoangusha point ni kutokana na maamuzi mabovu ya kocha. Kinachotokea anajisahau mechi tatu au nne anakuja kujirudi mechi tano zinazofuata. Sasa unafukuziaje ubingwa kwa style hii?

Ukisema asajiliwe wachezaji wengine unataka mchezaji gani zaidi ya Cucurrela, Sanchez, Neto, Gusto, Enzo, Caicedo, Garnacho au Palmer? Nadhani kuhusu wachezaji tusiwasingizie kocha aweke wazi lini bipolar inashika asiingize timu mkenge.
 
Tulipofika sasa hatupo ile nafasi ya kusema tumtimue kocha. Ila kiukweli mechi nyingi tunazoangusha point ni kutokana na maamuzi mabovu ya kocha. Kinachotokea anajisahau mechi tatu au nne anakuja kujirudi mechi tano zinazofuata. Sasa unafukuxoaje ubingwa kwa style hii?

Ukisema asajiliwe wachezaji wengine unataka mchezaji gani zaidi ya Cucurrela, Sanchez, Neto, Gusto, Enzo, Caicedo, Garnacho au Palmer? Nadhani kuhusu wachezaji tusiwasingizie kocha aweke wazi lini bipolar inashika asiingize timu mkenge.
Kuna maeneo yako wazi yanahitaji wachezaji wa kiwango cha juu. Beki kiongozi wa aina ya Thiago Silva—iwe ni mdogo kiumri au mkubwa—ni lazima awepo. Sidhani kama Mamadou Sarr akiletwa ataweza kuhimili majukumu hayo, japo ni beki mwenye vipaji.

Kwa upande wa winga wa kushoto, tutahitaji subira. Wapo lakini bado hawajafikia kiwango cha kuleta impact ya haraka. Akipatikana winga mwenye uwezo wa kubadilisha mchezo instantly, itakuwa faida kubwa. Sina uhakika kama ujio wa Giovani Quenda utaleta mabadiliko upande huo, kwa sababu mara nyingi yeye hucheza kama RW. Garnacho na Gittens wanahitaji muda wa uvumilivu ili wakue. Wanahitaji game time ndogo ili wakue taratibu.

Kocha pia anatakiwa awe na uzoefu wa kufanya mabadiliko ya wachezaji kwa wakati sahihi. Kuna wakati anafanya sub hadi tunafurahi, lakini kuna wakati mwingine unajiuliza kama akili yake imehakiwa. Mfano mzuri ni Enzo Fernandez anahitaji kufanyiwa sub mara kwa mara au aanzie benchi, akibadilishana na Andrey Santos. Hii itamsaidia kupumzika na pia kuchaji betri zake, maana kuna mechi anaonekana betri zimeisha chaji.
 
HIi ni ishara kocha hana first eleven maalumu.
Sio hana first XI, kwa taarifa nilizozisikia kutoka jikoni kama ni za kweli, uongozi wanamtaka kocha afanye rotation wachezaji wote wapewe dakika ili dhamani yao iboreke. Wamekaa kibiashara zaidi
 
Sio hana first XI, kwa taarifa nilizozisikia kutoka jikoni kama ni za kweli, uongozi wanamtaka kocha afanye rotation wachezaji wote wapewe dakika ili dhamani yao iboreke. Wamekaa kibiashara zaidi
Mkuu kwa heshima naa taadhima nathibitisha hii sio kweli. Achana na hizo taarifa, kila kinachofanyika ueanjani ni kwa utashi na maono ya kocha mwenyewe.
 
Kesho Maresca hachomoki wa Everton. Tujiandae kisaikolojia.
-------------Joao Pedro------------

Pedro Neto ---Palmer -------Estevao Willian

----------Enzo ------------James-------

Cucurella ---Chalobah ----Fofana-----Gusto

---------------Sanchez -------------------

Wataponaje hapo hao Everton?
Matokeo 2-0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom