Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Estevao has a small muscular problem, a light injury," Maresca said, as quoted by Chelsea's official website.

"He won’t be available for Newcastle but we will see for the next one. I think he can be available for the next game [against Aston Villa on December 27]."
 
Estevao has a small muscular problem, a light injury," Maresca said, as quoted by Chelsea's official website.

"He won’t be available for Newcastle but we will see for the next one. I think he can be available for the next game [against Aston Villa on December 27]."
Asante sana, maelezo yamejitosheleza kabisa
 
Screenshot_20251218_003018_Firefox.jpg


Ila Dortimund ni matapeli wallah!
 
Man City wamemweka kwenye orodha ya juu kabisa Enzo Maresca koach aw sasa wa Chelsea endapo kama PEP Guardiola hataendelea kuifundisha timu hiyo ya jiji la Manchester kuanzia msimu ujao wa 2026/2027
1766064599192.png
 
Hawa wachezaji hawakununuliwa ready-made materials. Mna kazi kubwa ya kuuelewa mradi. Hawa wamenunuliwa wakiwa na talents. Kocha ndio kazi yake kuihakikisha anakuja kuwa mchezaji mzuri. Mchezaji yeyeyote aliye chini ya 23 bado ni raw player
Pound mil 50 kwa raw player ni matumizi mabaya ya fedha
 
Man City wamemweka kwenye orodha ya juu kabisa Enzo Maresca koach aw sasa wa Chelsea endapo kama PEP Guardiola hataendelea kuifundisha timu hiyo ya jiji la Manchester kuanzia msimu ujao wa 2026/2027
View attachment 3517150
Kuna mtu kauliza hivi:
Lakini kwanini Man City na Pep Guardiola hawamfuata Mike Arteta❓🤔
 
Hawa wachezaji hawakununuliwa ready-made materials. Mna kazi kubwa ya kuuelewa mradi. Hawa wamenunuliwa wakiwa na talents. Kocha ndio kazi yake kuihakikisha anakuja kuwa mchezaji mzuri. Mchezaji yeyeyote aliye chini ya 23 bado ni raw player
Hamna talent humo, kama huyo ni talented na Estevao atakua nini?
 
Kumng'oa Arteta Arsenal ngumu sana kwa sasa
Sababu inayotolewa wala sio hiyo
Enzo Maresca alikuwa ndie Assistant wa karibu wa PEP Guardiola wakati Man City ipo kwenye kilele cha utukufu wa soka la Uingereza. Maresca anajua mbinu zote za in and out za PEP Guardiola kwa hiyo wanamuona wakimchukua yeye kutakuwepo na uendelevu mzuri tofauti na wakimchukua kocha mwingine akiwemo Mikel Arteta
 
Sababu inayotolewa wala sio hiyo
Enzo Maresca alikuwa ndie Assistant wa karibu wa PEP Guardiola wakati Man Cityu ipo kwenye kilele cha utukufu wa soka la Uingereza. Maresca anajua in and out ya mbinu zote za PEP Guardiola kwa hiyo wanaona wakimchukua yeye kutakuwepo na uendlevu mzuri tofauti na wakimchukua kocha mwingine akiwemo Mikel Arteta
Aisee ngoja tuone
 
Enzo on the bench
Newcastle vs Chelsea
4-2-3-1
-----------Joao Pedrou------------

Garnacho --- Palmer -- Neto

--Caicedo ---James--

Cucurella--Chalobah--Fofana--Gusto

----------Sanchez---------
Subs:
Jourgensen
Acheampong
Badiashile
Tosin
Hato
Fernandez
Santos
Buonanotte
Guiu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom