Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Screenshot_20251127-200916.jpg
 
Wakati Caicedo amehojiwa Leo kuelekea mechi na Arsenal akaulizwa na daily Mail kwanini aliichagua Chelsea na si Arsenal alivyokuwa anawaniwa vilabu vyote viwili

Caicedo: Niliamua kusubiri offer ya Chelsea japo Arsenal walikuwa wa Kwanza kuonesha wananihitaji sababu iliyomfanya niichague Chelsea kwasababu Wana big ambitious na kuchukua makombe hiyo ilinivutia kujiunga nao
 
Wakati Caicedo amehojiwa Leo kuelekea mechi na Arsenal akaulizwa na daily Mail kwanini aliichagua Chelsea na si Arsenal alivyokuwa anawaniwa vilabu vyote viwili

Caicedo: Niliamua kusubiri offer ya Chelsea japo Arsenal walikuwa wa Kwanza kuonesha wananihitaji sababu iliyomfanya niichague Chelsea kwasababu Wana big ambitious na kuchukua makombe hiyo ilinivutia kujiunga nao
Arsenal katika Dirisha dogo la January 2023 walikutana na Kambi ya caicedo pamoja na caicedo mwenyewe na kumalizana nao kila kitu kuhusu personal term's

Bahati mbaya Brighton wakajua na hawakupendezewa na tabia ya Arsenal kukutana na mchezaji wao, Arsenal wakapeleka dau la kwanza £60 Brighton wakapiga chini, Arsenal wakarudi tena na £70 pia Brighton ikapiga chini hiyo Offa na kusema Rasmi kuwa Caicedo hauzwi na ikawapa onyo Arsenal wakiendelea na huo mchezo hawatafanya tena biashara nao,

Dogo akagoma kuingia kambini na kufanya mazoezi akishinikiza kuuzwa Arsenal, Brighton ikamsimamisha kwa makosa ya Nidhamu hadi 1 February ndio akarudi Tena kuitumikia club yake, mwezi wa 3 akasaini mkataba mpya wenye release clause ya £100

Lilipoingia dirisha kubwa la usajiri July Chelsea na Liverpool ndio wakawa wanamtaka, Arsenal hawakurudi tena kumtaka kwa kuogopa kuharibu mahusiano yao na Brighton lakini muda huo wakiwa washaandaa mazingira ya kumpata Rice

Arsenal July 15 wakamsaini ramsi Decline Mchele na 14 August Chelesea ikamsaini Caicedo, kwahiyo story yako ni either unaipindisha makusudi au hukuelewi kilichokuwa kinaendelea

Dogo Mose aligoma hadi kula ili asainiwe Arsenal ila Brighton wakagoma 😁😁
 
Nyie bado hamna team
Leo mnakong’otwa
Bingwa ni Liverpool
Nani sasa hayaogopi majogoo?
 
Chelsea vs Arsenal
Line up: 4-2-3-1

-----------Joao Pedro------------

Neto --- Enzo -- Estevao

--Caicedo ---James (C)--

Cucurella--Chalobah--Fofana--Gusto

----------Sanchez---------
Bench
  1. Jorgensen
  2. Acheampong
  3. Tosin
  4. Badiashile
  5. Andrey Santos
  6. Palmer
  7. Gittens
  8. Garnacho
  9. Delap
 
Chelsea vs Arsenal
Line up: 4-2-3-1

-----------Joao Pedro------------

Neto --- Enzo -- Estevao

--Caicedo ---James (C)--

Cucurella--Chalobah--Fofana--Gusto

----------Sanchez---------
Bench
  1. Jorgensen
  2. Acheampong
  3. Tosin
  4. Badiashile
  5. Andrey Santos
  6. Palmer
  7. Gittens
  8. Garnacho
  9. Delap
Kikosi kizuri
 
Nyie bado hamna team
Leo mnakong’otwa
Bingwa ni Liverpool
Nani sasa hayaogopi majogoo?
Bro kumbe unaiwazia chelsea? Baada ya kumfunga kilema west ham unaona umeyapatia maisha siyo. Jana tu umepigwa 6 na PSV. Binadamu wanasahau haraka sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom