Kono la nyani lina kuja 😂😂Subir tukiwalamba arsenal uje tukukaribishe kwa mabingwa wa dunia rasmi 😂
Ah unadhani sisi Chelsea tuna maneno mengi bc 😂 Ah sisi kimya, mtajikataa wnyw hukoKono la nyani lina kuja 😂😂
Arsenal 5-0Chelsea 3 - 0 PSG (France champion)
Chelsea 3 - 0 BARCELONA (Spain Champion)
Chelsea 2 - 1 LIVERPOOL (England champion)
Chelsea 1 - 0 TOTTENHAM (Europa cup champion)
Tukisema, Chelsea ni mabingwa wa dunia, tunamaanisha hvy kweli.
Waje na hao mabingwa wengine waliobakia.
Nazungumzia mabingwa.Arsenal 5-0
Arsenal 1-0 Chelsea
Arsenal 3- Chelsea 0
Woii 😂 😂
Kono la nyani lina kuja 😂 😂Chelsea 3 - 0 PSG (France champion)
Chelsea 3 - 0 BARCELONA (Spain Champion)
Chelsea 2 - 1 LIVERPOOL (England champion)
Chelsea 1 - 0 TOTTENHAM (Europa cup champion)
Tukisema, Chelsea ni mabingwa wa dunia, tunamaanisha hvy kweli.
Waje na hao mabingwa wengine waliobakia.
Uta lifahamu mwaka huuNazungumzia mabingwa.
Baada ya hapo mkabeba kombe gani?
Kumbe ni future tense 😂Uta lifahamu mwaka huu
Nataka mabingwa 😂Kono la nyani lina kuja 😂 😂
View attachment 3507652
Mechi 10 vipigo ka kipofu 😂😂Nataka mabingwa 😂
Kocha pia alikuwa mastermind. Maresca huwa anajua kucheza game kubwa ila ugomvi wangu nae ni moja huwa ana dharau sana hizi team ndogo ndio tunafungwaMimi nna mambo manne leo.
1. Caisedo + Cucurella = 🙌
2. Watu wengi humu mnamponda sana Chalobah, Ila mm narudia kusema, Chalobah ni beki kiwango cha kimataifa.
Chalobah anajua kujituma mno, kumponda Chalobah ni kumkosea adabu na unastahili kuchapwa viboko.
3. Safu ya ulinzi inamfanya Sanchez a-enjoy golini mana hapati changamoto.
4. Estevao ni project iliyohai Kwa miaka 10 ijayo kwa 100%
Uongozi wanapaswa kumpa mkataba wa zaidi ya miaka 10 na masharti magumu ya kuondoka.
All in all, timu yote leo imecheza kibingwa, imecheza kama wapo fainali.
Hapo umemjibu vizuri yule mchambuzi wa liverkuku beki mstaafu aliyekuwa anaongoza kwa kujifungaChelsea 3 - 0 PSG (France champion)
Chelsea 3 - 0 BARCELONA (Spain Champion)
Chelsea 2 - 1 LIVERPOOL (England champion)
Chelsea 1 - 0 TOTTENHAM (Europa cup champion)
Tukisema, Chelsea ni mabingwa wa dunia, tunamaanisha hvy kweli.
Waje na hao mabingwa wengine waliobakia.
Wamecharazwa Bakora za kutosha.Katalunya kumeungua moto
Cucu jana Game ilimkubali. Huyu jamaa nashindwaga kuelewa anachezaga winga au bekiAnastahili
Kamtoa Ronald Araujo nje kwa red card na akamuweka mfukoni kale katotot kasicho na nidhamu eti kanaitwa Lamine Yamal
View attachment 3507634
Kitu ambacho wengi hawaelewi ni kwamba chelsea inawachezaji ambao wana uchu na vikombe pamoja na mafanikio kila mchezaji aliyeoko Chelsea anatamani ashinde na afanikiweTuongee tusiache neno
Wale mashabiki wa Chelsea wanaombonda Maresca na kumwita takataka
Mechi ya PSG tulishinda kabla ya mechi
Mechi na Barcelona tumeshinda kabla ya mechi. Wachezaji wamekopi na kupaste maelekezo ya meneja wao 100% na tukashinda mechi
Tuwape shukrani SD an scouting team waliotusajilia matakata wanaofanya vizuri
Chelsea 3- 0 Barcelona
Arsenal coming soon