OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Daaah ni magoli tuu bado nacheki na highlights lakini nitaanza kucheki siku siyo nyingi 😁😁😁Dingilai umeanza kucheki bolu?
Daaah ni magoli tuu bado nacheki na highlights lakini nitaanza kucheki siku siyo nyingi 😁😁😁Dingilai umeanza kucheki bolu?
Tukutane saa 7 usiku.Mmeshakubaliana barca wawachenyete ngapi?
Huko mbali sana, hadi saa 6 kila rangi mtakua mmeionaTukutane saa 7 usiku.
Poa.Huko mbali sana, hadi saa 6 kila rangi mtakua mmeiona
Iron man movieView attachment 3506175
Kuna hii celebration, ina maana gani? Nakumbuka Cucu alishafanya once.
leo natulia maana siwezi mshabikia chelkenge au yamal bichwa.Tukutane saa 7 usiku.
Pamoja na yote tunaongoza mpaka halftimeUbutu wa mastriker wetu naona leo wote watatu wamekula benchi.😂
HTHuko mbali sana, hadi saa 6 kila rangi mtakua mmeiona
Leo hawa wetu tatu zinawatosha gusto ana game nzuri naomba ssipewe red cardHT
Chelsea 1
Barca 0
Ronald Araujo Red Card
Cucurella MOTM
Tuwabanage ngapi wazee
Malo Gusto anatoka na kuingia Andrey SantosLeo hawa wetu tatu zinawatosha gusto ana game nzuri naomba ssipewe red card
Sio kweli tunawashambuliaji butu ila kocha kapanga hivyo kwasababu ya aina ya uchezaji wa Barca. Barca wanacheza high line na kocha anataka kuivunja anaivunjaje? Ni kuwa na wachezaji watatu mbele wenye Kasi ili iwe rahisi kwenye kupiga counter attack lakini pia iwe rahisi mtu kama Enzo kupata space ya kuingia ndaniUbutu wa mastriker wetu naona leo wote watatu wamekula benchi.😂