Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea vs Arsenal
Line up: 4-2-3-1

-----------Joao Pedro------------

Neto --- Enzo -- Estevao

--Caicedo ---James (C)--

Cucurella--Chalobah--Fofana--Gusto

----------Sanchez---------
Bench
  1. Jorgensen
  2. Acheampong
  3. Tosin
  4. Badiashile
  5. Andrey Santos
  6. Palmer
  7. Gittens
  8. Garnacho
  9. Delap
Kikosi kizuri
Hongereni blues.
Leo mmetupa a very competitive game.
Sio competitive game huwa mabingwa wa club Dunia huwa ndio tunafanya hivi uliona masiala PSG kala tatu takatifu
 
Maresca ni masterclass na nilijua Jana hawa jamaa tunawakanda team yako ni nzuri ukiwa haujakutana na Chelsea yaani kwa kweli ile kadi ya Caicedo imenikera mno ndio imefanya hawa jamaa waondoke na point 1.Watu tulikuwa tunamponda Maresca kumchezesha James midfielder nadhani umeona imework hata Thomas Tuchel ataanza kumfikiria James kucheza kazi amewapika vijana Arteta pale Kati Kama watoto nahajarumia sana nguvu akili mtu wangu.
 
Nyie wajinga Hilo timu lenu bovu sana yaani mpo nyumbani mnatoa sare
 
Nyie pimbi naona mnasherehekea draw mkiwa nyumbani.
Mnasema tulishindwa kuwafunga mkiwa pungufu huku mmesahau hata nyingi mlishindwa kutufunga mwaka 2019 tukiwa pungufu baada ya David Liz Kula nyekundu.
Shida yenu nyie mapimbi wa Chelsea huwa mnasahau haraka sana
 

Attachments

  • 1764587403893.jpg
    1764587403893.jpg
    34 KB · Views: 14
Maresca ni masterclass na nilijua Jana hawa jamaa tunawakanda team yako ni nzuri ukiwa haujakutana na Chelsea yaani kwa kweli ile kadi ya Caicedo imenikera mno ndio imefanya hawa jamaa waondoke na point 1.Watu tulikuwa tunamponda Maresca kumchezesha James midfielder nadhani umeona imework hata Thomas Tuchel ataanza kumfikiria James kucheza kazi amewapika vijana Arteta pale Kati Kama watoto nahajarumia sana nguvu akili mtu wangu.
Usisahau tuliwapiga 5 mkiwa na huyo Caicedo wenu
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    59.3 KB · Views: 11
Yaan kona zao zilikuwa chakula kwa sanchez tu maana ilipunguza idadi ya wachezaji wa arsenyeto kwenye boxšŸ˜‚ maresca safi sana
 
Yaan kona zao zilikuwa chakula kwa sanchez tu maana ilipunguza idadi ya wachezaji wa arsenyeto kwenye boxšŸ˜‚ maresca safi sana
Kwa maoni yako tumeona Palmer amerudi swali najiuliza kwenye game kubwa Maresca hupendelea na kuanzia na James na Caicedo pale Kati na Enzo anakaa 10 Je kwa ujio wa Palmer pale itakuaje? Enzo atacheza wapi au atakaa benchi kitu ambacho sioni Nini maoni kwenye hili
 
Wewe ulitakiwa kushukuru kwa red card maana tofauti na hapo ilikuwa unaacha point 3
Hata Sisi kuna kipindi tulikuja Stamford David Luiz akala nyekundu BT tuliondoka na alama
 

Attachments

  • 1764587403893.jpg
    1764587403893.jpg
    34 KB · Views: 10
Waliona ni mtego wa counter attack pindi tukifanikiwa kupata mpira ikabidi wao ndio waje kutukaba dah nilicheka 🤣
Na huo mtego tungekua kamili ungewanasa tu, mana hivyo viberenge vilivyokua vinasubiri huku nyuma sio poa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom