Uzuri furaha yenu ni kuwa second runner kwa hiyo malengo yenu ni rahisi kutimizaMmerudi nafasi ya 5 huko😀😀😀....hii timu mpk ikifika December tutajua uelekeo wao msimu huu....
Uzuri furaha yenu ni kuwa second runner kwa hiyo malengo yenu ni rahisi kutimizaMmerudi nafasi ya 5 huko😀😀😀....hii timu mpk ikifika December tutajua uelekeo wao msimu huu....
Hatujawahi kuwa na furaha kuwa second runner...inatokea tu mkuu...ila hawa Livakuku tusipopata majeraha makubwa kwa wachezaji muhimu msimu huu....tutalala nao mbele....mtamkumbuka Jackson sana msimu huu🤠🤠ðŸ¤Uzuri furaha yenu ni kuwa second runner kwa hiyo malengo yenu ni rahisi kutimiza
Wewe ndie mjuaji sana peke yako. Kocha anaingiaje hapaKocha anafanana na mashabiki wa humu ujuaji sana alafu ukisema unaonekana sio the blues
Ligi bado mbichi hii ndugu yangu, wacha kutukana Mmaba wakati bado hata hujavuka mtoMmerudi nafasi ya 5 huko😀😀😀....hii timu mpk ikifika December tutajua uelekeo wao msimu huu....
Angeweza kuanza na full mkoko mapema. Piga mbili then second half anza kufanya sub kidogo kidogo wakati huo ushamsoma mpinzani wako.Wewe ndie mjuaji sana peke yako. Kocha anaingiaje hapa
Beki anayemtegemea kaumia. Amewaeleza wamiliki kuwa anataka beki wakamkatalia
Maresca ninamtetea sana kwa sababu anajitahidi kutumia chenji aliyonayo. Chelsea inasura ya kuwa deep squad lakini kumbe nio fake deep. Kuna wachezaji wakiumia tu, hata Champiomship hatuwezi shindana
Tosin very poor kwenye 1v1
Fofana very poor kwenye kumark man to mana na teritorial marking
Maresca hana shida, hajapewa wachezaji, Gittens ndio huyo bora hata academy, amewahishwa kwenye firstv team
Facundo Buonanotte ndio huyo aliletwa badala ya Xavi Simons.
Gamu ya Bayern Jtano pia ilichangia sana akina Buonanotte kuianza jana
Hayaa mjaze hiyo fomu ya kuomba msamaha kwa maduekeGittens asipojichunga atatoka nje ya reli completely, kwanza yupo under pressure ya kudeliver pili ni kama week in week out kutakuwa na comparison na Madueke,
Sasa hiyo vita ya Arsenal na Chelsea itabebwa personal kati ya hao wawili
Hivyo yule shabiki yake humu nampa pole maana ana mlima mrefu wa kupanda
Tunakipiga na nani broooSaa 8 na nusu mchana
Kwani Gittens kafanyaje mkuu ..mbona anakipiga fresh tuuGittens asipojichunga atatoka nje ya reli completely, kwanza yupo under pressure ya kudeliver pili ni kama week in week out kutakuwa na comparison na Madueke,
Sasa hiyo vita ya Arsenal na Chelsea itabebwa personal kati ya hao wawili
Hivyo yule shabiki yake humu nampa pole maana ana mlima mrefu wa kupanda
Facundo ni mzuri yaani unaona kabisa Kuna mchezaji shida ya first half tulikuwa ovyo ndio maana ukaona hivyo hata Gittens kidogo alianza kuchangamka baada ya zile substitution.Ninachokiona Facundo inabidi acheze kwenye team inayojielewa utamuona ni mzuri, Gittens huyu anahitaji muda kutokana na aina ya ligi EPL inatumia nguvu na aina ya team zinavyodefend sio Kama bundesliga ndio maana unaona hata florian wirtz ana struggle pale Liverpool. Kocha namlaumu sio kwasababu ya kuingiza wachezaji wapya la hasha alichokosea ni kufanya changes kwa kiwango kikubwaWewe ndie mjuaji sana peke yako. Kocha anaingiaje hapa
Beki anayemtegemea kaumia. Amewaeleza wamiliki kuwa anataka beki wakamkatalia
Maresca ninamtetea sana kwa sababu anajitahidi kutumia chenji aliyonayo. Chelsea inasura ya kuwa deep squad lakini kumbe nio fake deep. Kuna wachezaji wakiumia tu, hata Champiomship hatuwezi shindana
Tosin very poor kwenye 1v1
Fofana very poor kwenye kumark man to mana na teritorial marking
Maresca hana shida, hajapewa wachezaji, Gittens ndio huyo bora hata academy, amewahishwa kwenye firstv team
Facundo Buonanotte ndio huyo aliletwa badala ya Xavi Simons.
Gamu ya Bayern Jtano pia ilichangia sana akina Buonanotte kuianza jana
Kwani nyie huko bongo mumefungiwa jeyiefu???Kuingia JF mpk VPN dah!
Tunacheza na bayern jumatano?? Kwani uefa imekwishaa anzaaa????Wewe ndie mjuaji sana peke yako. Kocha anaingiaje hapa
Beki anayemtegemea kaumia. Amewaeleza wamiliki kuwa anataka beki wakamkatalia
Maresca ninamtetea sana kwa sababu anajitahidi kutumia chenji aliyonayo. Chelsea inasura ya kuwa deep squad lakini kumbe nio fake deep. Kuna wachezaji wakiumia tu, hata Champiomship hatuwezi shindana
Tosin very poor kwenye 1v1
Fofana very poor kwenye kumark man to mana na teritorial marking
Maresca hana shida, hajapewa wachezaji, Gittens ndio huyo bora hata academy, amewahishwa kwenye firstv team
Facundo Buonanotte ndio huyo aliletwa badala ya Xavi Simons.
Gamu ya Bayern Jtano pia ilichangia sana akina Buonanotte kuianza jana
Unajua kwanini tulimuuza Madueke Kwanza? Madueke shida yake yote ni end product yake na inconsistency performance so mkuu tunamjua vizuri huyo jamaa hajawahi kuwa na shida kwenye speed au dribbling shida zake nimeshakuambia ndio maana unaona sisi hatumiki kumuuza zaidi ya kusema tumetua mzigo ni suala la muda mtaanza kumtukanaHayaa mjaze hiyo fomu ya kuomba msamaha kwa madueke
View attachment 3472004
Inaanza MwakaniTunacheza na bayern jumatano?? Kwani uefa imekwishaa anzaaa????
Umeona lakini mtandaoni anavyoshambuliwa?Kwani Gittens kafanyaje mkuu ..mbona anakipiga fresh tuu
Gittens asipojichunga atatoka nje ya reli completely, kwanza yupo under pressure ya kudeliver pili ni kama week in week out kutakuwa na comparison na Madueke,
Sasa hiyo vita ya Arsenal na Chelsea itabebwa personal kati ya hao wawili
Hivyo yule shabiki yake humu nampa pole maana ana mlima mrefu wa kupanda
| Kipengele | Noni Madueke | Estevão Willian | Pedro Neto |
|---|---|---|---|
| Umri | 23 | 18 | 25 |
| Kasi & Dribbling | High (flashes) | Very High (natural) | High (direct) |
| Crossing & Final Ball | Inconsistent | Improving | Reliable |
| Work Rate | Medium | High | Very High |
| Defensive Effort | Low | Medium | High |
| Potential | Uncertain | Sky-high | Peaking |
Mama mwenyewe yupo bongo lakini anapostigi X (tweter) sijui huwa anaingiaje.Kwani nyie huko bongo mumefungiwa jeyiefu???
Mambo Huwa yanaonekana mapema sana ndugu yangu....wacha tuupe muda nafasiLigi bado mbichi hii ndugu yangu, wacha kutukana Mmaba wakati bado hata hujavuka mto