Anzeni tu mapema kumwita takataka. Kwani alikuwa majeruhi huyo??Fitness
Oya mkuu we akili unazoGittens ni takataka
Hili goli hakuna faulu yeyote iliyochezwa. Ile ya Fulham, Chalobah alisiginiwa chini msilete ushamba hapaGoli la Fulham lililokataliwa na hili ni the same script, kucheza high line na beki mzito nani alaumiwe kocha au mchezaji?
Umeelewa nilichoandika au ni kiherere tu cha kujibu kila kitu humuHili goli hakuna faulu yeyote iliyochezwa. Ile ya Fulham, Chalobah alisiginiwa chini msilete ushamba hapa
Sorry, niliskip hiyo high line. Nilifikiri unakandia lile faul aliyofanyiwa ChalobahUmeelewa nilichoandika au ni kiherere tu cha kujibu kila kitu humu
AmaniSorry, niliskip hiyo high line. Nilifikiri unakandia lile faul aliyofanyiwa Chalobah
🤣🤣🤣 comeback ya dakika za jioni hua ina maumivu makali sana.Kicho ni kiazi mbatata
Mmerudi nafasi ya 5 huko😀😀😀....hii timu mpk ikifika December tutajua uelekeo wao msimu huu....Kocha anafanana na mashabiki wa humu ujuaji sana alafu ukisema unaonekana sio the blues