Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,144
- 4,290
Joao pedro sijui kama atachezaSaa 8 na nusu mchana
Joao pedro sijui kama atachezaSaa 8 na nusu mchana
Kaumia auJoao pedro sijui kama atacheza
Mzee wa kujizima data huyoSaa 8 na nusu mchana
Alikuwa na mpenzi mpyaCEO wa Chelsea ametoa sababu ya kwanini hawakumsajili jumla Sancho baada ya mkopo wake kuisha, amesema hivi Sancho alikuwa anachelewa mara kwa mara mazoezini na muda huwa tunawatengea wachezaji wakumzika yeye hutumia kuchat muda wote.
Mbona hii habari todd boehly kakanusha mkuuCEO wa Chelsea ametoa sababu ya kwanini hawakumsajili jumla Sancho baada ya mkopo wake kuisha, amesema hivi Sancho alikuwa anachelewa mara kwa mara mazoezini na muda huwa tunawatengea wachezaji wakumzika yeye hutumia kuchat muda wote.
Lakini aliyesema ni CEO sio Tajiri miluziMbona hii habari todd boehly kakanusha mkuu
Chelsea haikumkataa Jadon Sancho kwa sababu ya kuchelewa mazoezini, bali kwa sababu ya mgogoro wa mishahara.CEO wa Chelsea ametoa sababu ya kwanini hawakumsajili jumla Sancho baada ya mkopo wake kuisha, amesema hivi Sancho alikuwa anachelewa mara kwa mara mazoezini na muda huwa tunawatengea wachezaji wakumzika yeye hutumia kuchat muda wote.
Katapika uwanjani baada ya kugongana na martnelli wa asenoKaumia au
Njia rahisi ya kujua kama dirisha lilikuwa mzuri au mbaya ni hizi hapa:
Chelsea ilimaliza top 4 na ilikuwa ya 3 kwa uimara wa defense. Sasa angalia squad depth yao baada ya dirisha:
Waliokuja kama mbadala:
- Liam Delap ➡️ Mbadala wa Nicolas Jackson
- Estevão Willian ➡️ Mbadala wa Madueke
- João Pedro ➡️ Mbadala wa Nkunku
- Jamie Bynoe-Gittens ➡️ Mbadala wa Jadon Sancho (alikataa kubaki Chelsea kwa sababu ya mshahara)
- Alejandro Garnacho ➡️ Mbadala wa Mudryk (Anakabiliwa na kesi ya madawa yaliyokataliwa na anaweza kupigwa ban ya miaka minne)
Waliokuja kama cover:
- Andrey Santos ➡️ Cover ya Enzo Fernández
- Dário Essugo ➡️ Cover ya Moises Caicedo & Romeo Lavia
- Facundo Buonanotte ➡️ Cover ya Cole Palmer
- Marc Guiu ➡️ Karudishwa kuwa cover ya Delap
- Kendry Páez ➡️ Cover ya kudumu ya Palmer (yuko mkopo Strasbourg)
- Jorrel Hato ➡️ Cover ya Cucurella
- Mamadou Sarr ➡️ Cover ya kudumu ya Levi Colwill (yuko mkopo Strasbourg)
- Mike Penders ➡️ Mbadala wa kudumu wa Robert Sánchez (yuko mkopo Strasbourg)
Wanaokuja 2026 (future flames):
- Dastan Satpaev – Striker machachari kutoka Kazakhstan timu ya airat inayoshiriki UEFA msimu huu
- Geovany Quenda – RW au RWB anachezea timu ya Sporting CP kwa sasa hadi July 2026 atakap[ojiunga na Chelsea
Hitimisho
Chelsea haikufanya tu usajili — walijenga skeleton ya future XI. Kila signing ina logic, depth, na potential ya ku-transform squad. Kama hii si dirisha la maana, basi hatujui maana ya "kujenga timu".
DuhKatapika uwanjani baada ya kugongana na martnelli wa aseno
Sisi ndo tunapendaga hivihivi watu watuunderrate na hao kiutani utani mpk final n kubeba kabisa. UEFA zote 2 na cwc czani km awali uliviona km n vikosi vya kubeba?😂Mh timu ya UEFA HAPA SIONI ILA TUSUBIRI
Jana nilikuwa nzega Leo Niko new yorkKuingia JF mpk VPN dah!
Watuzuie na huko sasa.Jana nilikuwa nzega Leo Niko new york
Mimi niko tu jirani hapo KenyaWatuzuie na huko sasa.