Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa hivi Mbwana Samata anacheza dhidi ya Strassbourg
Kumbe kapmteni wetu amehamia Ufaransa
1757863675956.png
 
Mambo Huwa yanaonekana mapema sana ndugu yangu....wacha tuupe muda nafasi
Safari ni ndefu sana ndugu yangu wacha mawenge ya ushabiki.
Last season, after the fourth game
Chelsea's Table Position After Matchday 4
  • Position: 4th place
  • Points: 9
  • Record: 3 wins, 1 loss
  • Goals Scored: 8
  • Goals Conceded: 4
  • Goal Difference: +4
This season, after the fourth game
Chelsea's Table Position After Matchday 4
  • Position: 5th place
  • Points: 8
  • Record: 2 wins, 2 draws
  • Goals Scored: 9
  • Goals Conceded: 3
  • Goal Difference: +6
Tumeteremka nafasio moja ila kwenye magoli ya kufunga na kufungwa tumeimprove
Nazani ulitaka takwimu hizi
 
Mambo Huwa yanaonekana mapema sana ndugu yangu....wacha tuupe muda nafasi
Kwa maoni yako haya Bornemouth atacheza UCL msimu ujao na Man City hatakuwepo kwenye mashindano yeyote ya Ulaya. Ungebaki na haya maoni yako geto ingekuwa bora zaidi
 
Timu ya Chelsea FC "The Blues" au "The Pensioners" iliyoenda Munich kwa ajili ya mechi ya kesho na Bayern Munich hii hapa.
1758044791985.png
 
Mechi yangu ya kwanza kuiangalia nikiwa na akili timamu kuhusu mpira.

Sikuwa shabiki wa timu yeyote kabla, ila kwenye hii mechi nilitamani sana Chelsea ashinde, sikuwa na sababu ya msingi, labla kwa sababu ilikuwa na blacks kadhaa 😂

Chelsea alivyoshinda, nadhani rasmi nikaanza kujitambulisha kama shabiki wa Chelsea.

2012 - 2025 🔥

 
Leo wadau kikosi mnataka kiweje? Kwa upande wangu kiwe hivi
1.Sanchez
2.James
3.Cucurella
4.Tosin
5.Chalobah
6.Caicedo
7.Garnacho
8.Santos
9.Joao Pedro
10.Enzo
11.Palmer

NB: Enzo akicheza no 8 anakuwa Kama anatukaba na anampa mzigo mkubwa Caicedo ndio maana nimependekeza hapo awe 10 na Palmer na kwanini Santos no 8? Ni kwasababu ana offer both offensive na defensive mzuri kwenda mbele na kurudi haraka katikakati, work rate yake kubwa na pia atampunguzia Caicedo kwenye kukaba kutokana na mpinzani tunaecheza nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom