Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tulipoanza usajili mashabiki wengi wa Chelsea walifurahia na hata wengine wakaanza kupandisha hisia kali kuwa dirisha limeenda vizuri hata tusiposajili tena

Dirisha lilipofunguliwa mara ya pili baadhi ya mashabiki walitamani majina haya... 😔
Lakini bahati mbaya, wengine walitua kwa mahasimu.
Hapa ndipo dirisha la usajili lilianza kuonekana bovu:
  1. Xavi Simons – Spurs walichukua
  2. Victor Osimhen – Amesajiliwa na Galatasaray
  3. Alexander Isak – Amesajiliwa na lIverpool
  4. Viktor Gyökeres – Amesajiliwana Arsenal
  5. Fermín López – Barca walikataa kuachia
  6. Alessandro Bastoni – Uongozi hawakumfukuzia
  7. Marc Guéhi – Aliipendelea Liverpool lakini kabakia Crystal Palace
  8. Piero Hincapié – Arsenal walimbeba
  9. Mike Maignan – Milan walimfunga kwa chuma
  10. Gianluigi Donnarumma – Amesajiliwa na Man City
  11. Hugo Ekitike – Amesajiliwa na lIverpool
Dirisha lilianza kama ndoto kubwa ya matumaini, likageuka kuwa kaburi la kuzikia hayo matumaini. 😩💙
for me still tumefanya vizuri sokoni kumchukua yule kiungo mshambuliaji wa Argentina wa Brighton na Garnacho na tutakuwa team nzuri zaidi akirudi Lavia.Kitu ambacho tunatakiwa kuimba ni mabeki wetu wasiumie
 
for me still tumefanya vizuri sokoni kumchukua yule kiungo mshambuliaji wa Argentina wa Brighton na Garnacho na tutakuwa team nzuri zaidi akirudi Lavia.Kitu ambacho tunatakiwa kuimba ni mabeki wetu wasiumie
Njia rahisi ya kujua kama dirisha lilikuwa mzuri au mbaya ni hizi hapa:

Chelsea ilimaliza top 4 na ilikuwa ya 3 kwa uimara wa defense. Sasa angalia squad depth yao baada ya dirisha:

Waliokuja kama mbadala:​

  • Liam Delap ➡️ Mbadala wa Nicolas Jackson
  • Estevão Willian ➡️ Mbadala wa Madueke
  • João Pedro ➡️ Mbadala wa Nkunku
  • Jamie Bynoe-Gittens ➡️ Mbadala wa Jadon Sancho (alikataa kubaki Chelsea kwa sababu ya mshahara)
  • Alejandro Garnacho ➡️ Mbadala wa Mudryk (Anakabiliwa na kesi ya madawa yaliyokataliwa na anaweza kupigwa ban ya miaka minne)

Waliokuja kama cover:​

  • Andrey Santos ➡️ Cover ya Enzo Fernández
  • Dário Essugo ➡️ Cover ya Moises Caicedo & Romeo Lavia
  • Facundo Buonanotte ➡️ Cover ya Cole Palmer
  • Marc Guiu ➡️ Karudishwa kuwa cover ya Delap
  • Kendry Páez ➡️ Cover ya kudumu ya Palmer (yuko mkopo Strasbourg)
  • Jorrel Hato ➡️ Cover ya Cucurella
  • Mamadou Sarr ➡️ Cover ya kudumu ya Levi Colwill (yuko mkopo Strasbourg)
  • Mike Penders ➡️ Mbadala wa kudumu wa Robert Sánchez (yuko mkopo Strasbourg)

Wanaokuja 2026 (future flames):​

  • Dastan Satpaev – Striker machachari kutoka Kazakhstan timu ya airat inayoshiriki UEFA msimu huu
  • Geovany Quenda – RW au RWB anachezea timu ya Sporting CP kwa sasa hadi July 2026 atakap[ojiunga na Chelsea

Hitimisho​

Chelsea haikufanya tu usajili — walijenga skeleton ya future XI. Kila signing ina logic, depth, na potential ya ku-transform squad. Kama hii si dirisha la maana, basi hatujui maana ya "kujenga timu".
 
Njia rahisi ya kujua kama dirisha lilikuwa mzuri au mbaya ni hizi hapa:

Chelsea ilimaliza top 4 na ilikuwa ya 3 kwa uimara wa defense. Sasa angalia squad depth yao baada ya dirisha:

Waliokuja kama mbadala:​

  • Liam Delap ➡️ Mbadala wa Nicolas Jackson
  • Estevão Willian ➡️ Mbadala wa Madueke
  • João Pedro ➡️ Mbadala wa Nkunku
  • Jamie Bynoe-Gittens ➡️ Mbadala wa Jadon Sancho (alikataa kubaki Chelsea kwa sababu ya mshahara)
  • Alejandro Garnacho ➡️ Mbadala wa Mudryk (Anakabiliwa na kesi ya madawa yaliyokataliwa na anaweza kupigwa ban ya miaka minne)

Waliokuja kama cover:​

  • Andrey Santos ➡️ Cover ya Enzo Fernández
  • Dário Essugo ➡️ Cover ya Moises Caicedo & Romeo Lavia
  • Facundo Buonanotte ➡️ Cover ya Cole Palmer
  • Marc Guiu ➡️ Karudishwa kuwa cover ya Delap
  • Kendry Páez ➡️ Cover ya kudumu ya Palmer (yuko mkopo Strasbourg)
  • Jorrel Hato ➡️ Cover ya Cucurella
  • Mamadou Sarr ➡️ Cover ya kudumu ya Levi Colwill (yuko mkopo Strasbourg)
  • Mike Penders ➡️ Mbadala wa kudumu wa Robert Sánchez (yuko mkopo Strasbourg)

Wanaokuja 2026 (future flames):​

  • Dastan Satpaev – Striker machachari kutoka Kazakhstan timu ya airat inayoshiriki UEFA msimu huu
  • Geovany Quenda – RW au RWB anachezea timu ya Sporting CP kwa sasa hadi July 2026 atakap[ojiunga na Chelsea

Hitimisho​

Chelsea haikufanya tu usajili — walijenga skeleton ya future XI. Kila signing ina logic, depth, na potential ya ku-transform squad. Kama hii si dirisha la maana, basi hatujui maana ya "kujenga timu".
Umeanisha vizuri ila lazima tukubali hatuna Upana wa defence kiubora we mwenyewe umeona alivyo umia Tosin ilikuaje? na huyo Tosin sio kwamba ni defender bora ila mfumo wa Maresca anakuwa ndio nguzo yetu kwa maana ana uwezo wa kubreak up opponent line kupitia pass zake na ku offer kucheza mipira ya juu lakini sio mzuri kwe marking. Ukimtoa yeye hakuna defender yoyote ukiachana na Colwin mwenye sifa Kama zake kwenye mifumo wa Enzo Maresca ndio maana tulistruggle tulivyomkosa kwenye game ya Crystal palace.Kwa maana hiyo kwenye hili eneo hawajamtendea haki Enzo Maresca
 
Umeanisha vizuri ila lazima tukubali hatuna Upana wa defence kiubora we mwenyewe umeona alivyo umia Tosin ilikuaje? na huyo Tosin sio kwamba ni defender bora ila mfumo wa Maresca anakuwa ndio nguzo yetu kwa maana ana uwezo wa kubreak up opponent line kupitia pass zake na ku offer kucheza mipira ya juu lakini sio mzuri kwe marking. Ukimtoa yeye hakuna defender yoyote ukiachana na Colwin mwenye sifa Kama zake kwenye mifumo wa Enzo Maresca ndio maana tulistruggle tulivyomkosa kwenye game ya Crystal palace.Kwa maana hiyo kwenye hili eneo hawajamtendea haki Enzo Maresca
  1. Wesley Fofana (Trevoh Chalobah)
  2. Levi Colwill (Benoît Badiashile)
  3. Tosin Adarabioyo
  4. Josh Acheampong
Hwa pia wanaweza kucheza hiyo role vizuri
  1. Reece James
  2. Marc Cucurella
  3. Jorel Hato
Tunao CB sita wanaoweza kuanza na wengine watatu wanaoweza kucheza hizo nafasi japo ni fullbacks
Msimu ujao naamini Aarón Anselmino na Mamadou Sarr watajoin
 
Chelsea UEFA A-List (2025/26)
  1. Robert Sánchez
  2. Filip Jørgensen
  3. Marc Cucurella
  4. Tosin Adarabioyo
  5. Benoît Badiashile
  6. Levi Colwill
  7. Jorrel Hato
  8. Trevoh Chalobah
  9. Reece James
  10. Malo Gusto
  11. Wesley Fofana
  12. Enzo Fernández
  13. Cole Palmer
  14. Jamie Bynoe-Gittens
  15. Dário Essugo
  16. Andrey Santos
  17. Moisés Caicedo
  18. Pedro Neto
  19. Liam Delap
  20. João Pedro
  21. Marc Guiu
  22. Estevão Willian
  23. Alejandro Garnacho
B-List:
  1. Josh Acheampong,
  2. Romeo Lavia
  3. Tyrique George
 
Strasbourg wakubali dili la kumsajili Ben Chilwell kwa kandarasi ya miaka miwili, HERE WE GO!

Matibabu tayari na Chilwell anajiunga na mradi mkubwa huko Strasbourg pamoja na Liam Rosenior katika soka la Ulaya.

@FabrizioRomano

View attachment 3461691
Ila Ben Chillwell alikuwa beki kitasa sana aiseee ,ni vile tu baada ya kuondoka kwa Tuchel naye makocha waliofuata mifumo yao ilikuwa haimfevi jamaa ,ila ni moja kati ya mafull back bora Chelsea imewahi iuwa nao
 
for me still tumefanya vizuri sokoni kumchukua yule kiungo mshambuliaji wa Argentina wa Brighton na Garnacho na tutakuwa team nzuri zaidi akirudi Lavia.Kitu ambacho tunatakiwa kuimba ni mabeki wetu wasiumie
Bora mliiwahi mapema hiyo injury prone Lavia, Liverpool tungekula ya kichwa 🤣
 
Mashabiki wa Chelsea, asanteni sana! 🙏💙
Tuliibeba Champions League pamoja, tukajenga udugu wa kweli ndani na nje ya uwanja.
Mmenisaidia kupitia majeraha, changamoto za maisha, na mkanipa kumbukumbu bora kabisa maishani.
Siwezi kulipa fadhila zenu, lakini naahidi kuwaonyesheni ubora wangu.
Tutaonana hivi karibuni. – Chilly 💙
1756938085931.png
 
  1. Wesley Fofana (Trevoh Chalobah)
  2. Levi Colwill (Benoît Badiashile)
  3. Tosin Adarabioyo
  4. Josh Acheampong
Hwa pia wanaweza kucheza hiyo role vizuri
  1. Reece James
  2. Marc Cucurella
  3. Jorel Hato
Tunao CB sita wanaoweza kuanza na wengine watatu wanaoweza kucheza hizo nafasi japo ni fullbacks
Msimu ujao naamini Aarón Anselmino na Mamadou Sarr watajoin
Chalobah na josh hawawezi kupiga pass za kuvunja line ya upinzani Kama tukicheza na team zinazocheza defensive game
 
Chalobah na josh hawawezi kupiga pass za kuvunja line ya upinzani Kama tukicheza na team zinazocheza defensive game
Lakini wana attributes zingine. Defense haitaji tu sifa moja ya kubreak lines. Mimi nadhani defense inahitaji attributes mbalimbali ili iwe kamili
 
Lakini wana attributes zingine. Defense haitaji tu sifa moja ya kubreak lines. Mimi nadhani defense inahitaji attributes mbalimbali ili iwe kamili
Shida tunakutana na team nyingi zinazocheza defensive game ndio maana attribute ya kubreak up lines ya mpinzani ndio muhimu sana na ndio maana kocha aliitaji defender mwenye sifa aina hiyo kwa kujua mahitaji ya ligi
 
Shida tunakutana na team nyingi zinazocheza defensive game ndio maana attribute ya kubreak up lines ya mpinzani ndio muhimu sana na ndio maana kocha aliitaji defender mwenye sifa aina hiyo kwa kujua mahitaji ya ligi
Aaron Anselmino ndiye anaweza vizuri ila sasa kocha ameshindwa kumuamini akampeleka mkopo
 
Ila Ben Chillwell alikuwa beki kitasa sana aiseee ,ni vile tu baada ya kuondoka kwa Tuchel naye makocha waliofuata mifumo yao ilikuwa haimfevi jamaa ,ila ni moja kati ya mafull back bora Chelsea imewahi iuwa nao
Gari la mkaa ndo shida kubwa kocha mpya anakuja jamaa yupo Wodini kocha anaunda mfumo unakaa sawa ndo anarudi akicheza kidgo kaumia tena
 
IMG_20250904_214736.jpg
ili kombe zuri aisee wale ambao wameliona live ni. Mashahid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom