lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Katika misimu yake miwili Chelsea ana G/A ya 42Nani wa kutoa million 80 kwa hilo takataka. Huoni amekosa timu mpaka ameamua kutolewa kwa mkopo.
Kwenye career yake yote na kule Laliga ana G/A ya 78 na bado unamuita takataka
Pamoja na madhaifu yake SD wamemuwekea ada ya mil 80 ni ishara kuwa sio takataka. Wale ni wataalamu, wamesomea, wana uzoefu, wewe unawaita wote takataka?