lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,360
- 25,456
Bodi ya Chelsea iko sahihi hadi sasa kwa sababu baada ya kumuita Marc Guiu sasa wameamua kuendelea na majadiliano na Bayern Munich ili Jackson aende mkopo. Natarajia mkopo utakuwa na kipengele cha lazima kumnunua mwakani baada ya mkopo wake kuisha muda wake.Bodi wako sahihi na pia hawako sahihi
Wako sahihi kwa sababu Jackson ni mwajiri na Chelsea imepata shida
Hawako sahihi kwa sababu baada ya ile reaction, Chelsea wangeachanan naye na kumuita Guiu tu basi