Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mazungumzo chanya kati ya Chelsea na Bayern kuhusu uhamisho wa Nico Jackson. Chelsea wanataka makubaliano ya lazima na kuna matumaini kwamba dili linakaribia kukamilika

@Matt_Law_DT
 
Fulham wamekubaliana na Chelsea kumsajili Tyrique George. Ofa ya thamani ya £22m kifurushi + kifungu cha kuuza.
@David_Ornstein
 
🚨🔴⚪️ BREAKING: HERE WE GO
Bayern Munich na Chelsea watia saini makubaliano mapya ya mkataba wa Nicolas Jackson, umekamilika!

Kipengee cha Mkopo + cha kununua chenye kipengele kipya cha wajibu wa kununua kilichojumuishwa katika mkataba wa 2026, kama Chelsea walivyotaka.

Jackson tayari amekubali mkataba wa miaka 5 Bayern. Ada ya mkopo ya €16.5m.

1756736714915.png
 
🚨🔴⚪️ BREAKING: HERE WE GO
Bayern Munich na Chelsea watia saini makubaliano mapya ya mkataba wa Nicolas Jackson, umekamilika!

Kipengee cha Mkopo + cha kununua chenye kipengele kipya cha wajibu wa kununua kilichojumuishwa katika mkataba wa 2026, kama Chelsea walivyotaka.

Jackson tayari amekubali mkataba wa miaka 5 Bayern. Ada ya mkopo ya €16.5m.

View attachment 3461377
Maelezo zaidi

Ada ya mkopo €16.6m + wajibu wa €65.7m kwa Jackson = €82.3m zote ndani.😭🔥
Takataka hiyo inauzwa ghali
Mko wale wa takataka
 
Na George akiuzwa Fulham; Chelsea wakapindue meza Newcastle
 
Kuwa nae tu huyo kijana wa hovyo hamna shida, ale bench mpk price tag ibaki 0 manina. Analetaje kiburi kwa mtu aliemuajiri.
Hata kama wamemuajiri ndo wakae wanamhangaisha muda mwingine muajiri naye anaweza tu kuwa mpumbavu tu
 
nadhan uongoz umeenda kuharibu ili dirisha mwishon kabisa, now tunamtegeme Joao Pedro tu akiumia Pedro kwisha habar yetu
 
Strasbourg wakubali dili la kumsajili Ben Chilwell kwa kandarasi ya miaka miwili, HERE WE GO!

Matibabu tayari na Chilwell anajiunga na mradi mkubwa huko Strasbourg pamoja na Liam Rosenior katika soka la Ulaya.

@FabrizioRomano

1756750443185.png
 
nadhan uongoz umeenda kuharibu ili dirisha mwishon kabisa, now tunamtegeme Joao Pedro tu akiumia Pedro kwisha habar yetu
Watakuwepo watu wa kucover tu hata km akiumia...Sasa man city ambaye ana one established striker halaand naye asemaje? Au arsenal ambaye gyokeres ndo huyo na havertz kaumia n hawatafuti hata striker....
 
Dili la Jackson kwenda Bayern Munich kwa mkopo sasa ni 100% off
Bodi ya Chelsea imeamua hivyo na Bayern Munich wamejitoa
Sasa ile ndege ya Jackson itabidi irudi kinyume nyume hadi London
SIKUPENDA IWE HIVI
Ila hawa Bayern Munich hawakumpenda JAckson. Wao walitaka kumtumia tu kama dodoki au puto, wakishapita kipindi cha mpito na kumpata striker wao. Huyu wangemuacha solemba
View attachment 3460673
Napenda unavyoleta habari humu, ila kwenye hii ishu ya Jackson em acha kuandika kifala.
 
Tulipoanza usajili mashabiki wengi wa Chelsea walifurahia na hata wengine wakaanza kupandisha hisia kali kuwa dirisha limeenda vizuri hata tusiposajili tena

Dirisha lilipofunguliwa mara ya pili baadhi ya mashabiki walitamani majina haya... 😔
Lakini bahati mbaya, wengine walitua kwa mahasimu.
Hapa ndipo dirisha la usajili lilianza kuonekana bovu:
  1. Xavi Simons – Spurs walichukua
  2. Victor Osimhen – Amesajiliwa na Galatasaray
  3. Alexander Isak – Amesajiliwa na lIverpool
  4. Viktor Gyökeres – Amesajiliwana Arsenal
  5. Fermín López – Barca walikataa kuachia
  6. Alessandro Bastoni – Uongozi hawakumfukuzia
  7. Marc Guéhi – Aliipendelea Liverpool lakini kabakia Crystal Palace
  8. Piero Hincapié – Arsenal walimbeba
  9. Mike Maignan – Milan walimfunga kwa chuma
  10. Gianluigi Donnarumma – Amesajiliwa na Man City
  11. Hugo Ekitike – Amesajiliwa na lIverpool
Dirisha lilianza kama ndoto kubwa ya matumaini, likageuka kuwa kaburi la kuzikia hayo matumaini. 😩💙
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom