MrKanteChelsea
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 655
- 823
Inatokea pale atakapofanya vizuri zaidi ya hapoJe Chelsea watakuja kujuta kuuza dgo?
Inatokea pale atakapofanya vizuri zaidi ya hapoJe Chelsea watakuja kujuta kuuza dgo?
Mkuu nakuwaga nyuma nyuma ila ngoja nitaanza kufuatilia mechi, unajua mimi nachekigi laivu skoo tuuu nikikuta tumeshinda basic hapo nazama you tube chap kucheki magolii halafu sasa baadae naanza kutambaa hahaha ...Sema nini nalipenda sana hili Chamaa oyooooooMwanablues mwenzetu huwa unajitoa ufahamu au unamaanisha kweli!!?
Chelsea haijamuuza Rio bali Rio aliichagua Liverpool kuanza safari yake ya Kandanda. Chelsea ndio walikuwa wanaandaa kumpa mkataba wake wa kwanza (Professional contract akakataa). Liverpool wataifidia Chelsea kiasi kama walivyoifidia Fulham walipomchukua Harvey Elliott. Kwa sasa kesi iko mahakamani kuilazimisha Liverpool waifidie Chelsea kwa gharama za kumkuza nk. Gharama inaweza kuwa kati ya pauni mil 2 hadi 4Je Chelsea watakuja kujuta kuuza dgo?
Kwa hiyo ameshakua supastaa kwa kufunga tugoli watu wapo pungufu!.Chelsea haijamuuza Rio bali Rio aliichagua Liverpool kuanza safari yake ya Kandanda. Chelsea ndio walikuwa wanaandaa kumpa mkataba wake wa kwanza (Professional contract akakataa). Liverpool wataifidia Chelsea kiasi kama walivyoifidia Fulham walipomchukua Harvey Elliott. Kwa sasa kesi iko mahakamani kuilazimisha Liverpool waifidie Chelsea kwa gharama za kumkuza nk. Gharama inaweza kuwa kati ya pauni mil 2 hadi 4
Nicolas Jackson angekosa hilo goli,Kwa hiyo ameshakua supastaa kwa kufunga tugoli watu wapo pungufu!.
Yeah fatilia bhn ujue garu ishawaka utaachwa shauri yakoMkuu nakuwaga nyuma nyuma ila ngoja nitaanza kufuatilia mechi, unajua mimi nachekigi laivu skoo tuuu nikikuta tumeshinda basic hapo nazama you tube chap kucheki magolii halafu sasa baadae naanza kutambaa hahaha ...Sema nini nalipenda sana hili Chamaa oyoooooo
Huyo mchezaji hatunae Tena sioni haja yakumzungumzia mwisho wa siku haibadilishi chochote. Tuna madogo pia wapo wanafanya vizuri Kama yule Moreno n.kNicolas Jackson angekosa hilo goli,
Huyo Ngum oha ni mchezaji mzuri, haitaji hata kubishania hapo sio type ya akina Jackson ambaye anawapasua mashabiki katikati
Mada yake itakufa natural death tu but not guaranted. Huyo Rio Ngumoha mada yake itaendelea kujitokeza tu mara kwa mara kwa sababu amekuwa na connection na Chelsea. Hapa tunawazungumzia wachezaji hata ambao hawakuwahi kuwa Chelsea sembuse huyo dogo. Mfano watu wanakuja kuleta false info zake lazima ivutie mjadalaHuyo mchezaji hatunae Tena sioni haja yakumzungumzia mwisho wa siku haibadilishi chochote. Tuna madogo pia wapo wanafanya vizuri Kama yule Moreno n.k
Mkuu nakuwaga nyuma nyuma ila ngoja nitaanza kufuatilia mechi, unajua mimi nachekigi laivu skoo tuuu nikikuta tumeshinda basic hapo nazama you tube chap kucheki magolii halafu sasa baadae naanza kutambaa hahaha ...Sema nini nalipenda sana hili Chamaa oyoooooo
Kwa namna navyoona usajili unavyoenda tunaweza tusiwapate Garnacho na Xavi SimonsMada yake itakufa natural death tu but not guaranted. Huyo Rio Ngumoha mada yake itaendelea kujitokeza tu mara kwa mara kwa sababu amekuwa na connection na Chelsea. Hapa tunawazungumzia wachezaji hata ambao hawakuwahi kuwa Chelsea sembuse huyo dogo. Mfano watu wanakuja kuleta false info zake lazima ivutie mjadala
YES, nadhani usajili wa Fermin Lopez kama utafanyika utakuwa wa kufidia usajili uliofeli wa Julio Enciso, haya ni mawazo yangu. Kama itakuwa hivyo basi atapelekwa Strasbourg msimu mmoja halafu baadaye atarudishwa Chelsea ila kama uamuzi ni wa kumsajili Chelsea moja kwa moja basi usajili wa Simon unaweza ukawa mashakaniKwa namna navyoona usajili unavyoenda tunaweza tusiwapate Garnacho na Xavi Simons
Ni Bora tumsajili Xavi Simons zaidi Kama tunataka kupata signing moja sio tu atasaidiana na Palmer Bali pia anaweza kucheza left wing ambapo hatuna option.kwa maana hiyo tutakuwa tumepiga ndege wa wawili kwa jiwe mojaYES, nadhani usajili wa Fermin Lopez kama utafanyika utakuwa wa kufidia usajili uliofeli wa Julio Enciso, haya ni mawazo yangu. Kama itakuwa hivyo basi atapelekwa Strasbourg msimu mmoja halafu baadaye atarudishwa Chelsea ila kama uamuzi ni wa kumsajili Chelsea moja kwa moja basi usajili wa Simon unaweza ukawa mashakani
Mimi namuona Xavi Simons kama no. 10 halisi wa kushirikiana na Cole Palmer kwa sababu Simons ni mbunifu, anaweza kucheza pasi za hatari kwenye nafasi finyu na kazi hiyo Lopez hawezi. Yeye ni ushambuliaji zaidi kama akina Joao Pedro
kama ni Left Fermin Lopez ndio mzuri kwa sababu yeye ni threat kubwa kwenye ufungajiNi Bora tumsajili Xavi Simons zaidi Kama tunataka kupata signing moja sio tu atasaidiana na Palmer Bali pia anaweza kucheza left wing ambapo hatuna option.kwa maana hiyo tutakuwa tumepiga ndege wa wawili kwa jiwe moja
Lopez hatuwezi kumpata Barca ni wagumu sana wakufanya biashara kwa mchezaji ambaye wanamuhitaji. Sijui tunafeli vipi kwa mchezaji Kama Xavi wakati yeye ndio anatuhitaji sanakama ni Left Fermin Lopez ndio mzuri kwa sababu yeye ni threat kubwa kwenye ufungaji
Lopez hatuwezi kumpata Barca ni wagumu sana wakufanya biashara kwa mchezaji ambaye wanamuhitaji. Sijui tunafeli vipi kwa mchezaji Kama Xavi wakati yeye ndio anatuhitaji sana
Barca wamesema Lopez akitaka kuhamia Chelsea hawatamzuiaLopez hatuwezi kumpata Barca ni wagumu sana wakufanya biashara kwa mchezaji ambaye wanamuhitaji. Sijui tunafeli vipi kwa mchezaji Kama Xavi wakati yeye ndio anatuhitaji sana
Hivi najiuliza kwanini tusingeanza na Xavi Simons Kwanza badala ya Garnacho au kwasababu ya bei ya mchezajiBarca wamesema Lopez akitaka kuhamia Chelsea hawatamzuia