Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,147
- 4,296
😁😁😁😁 dah mganga wa wako jaco ni noma 😁😁😁
Hii barca lazima wakatae sema chelsea kama wachaga vile 😂😂🚨💣 EXCLUSIVE: Chelsea send official written proposal to Barcelona for Fermín López!
Initial proposal worth €40m has been submitted this afternoon right after the game.
#CFC awaiting answer from Barça after sending a proposal today.
Ingekuwa mm ndo Jackson aisee sirudi 😂🚨 EXCLUSIVE: Chelsea inform Bayern Munich they will not be proceeding with proposed loan of Nicolas Jackson after injury to Liam Delap. 24yo striker travelled to Germany for #FCBayern move but #CFC requested Senegal int’l returns to London @TheAthleticFC
Tukiacha ushabiki huyu ni mchezaji wa kawaida, sio mbaya wala mzuri sana ana on off nyingi, angalia jitu Caseido kati ya mechi 10 9-8 anakuwa kwenye ubora usiotia mashakaJapo Enzo Fernandez kafunga lakini hajacheza vizuri sio tu hii game tangu game ya kwanza
Hii hela lazima ikataliwe🚨💣 EXCLUSIVE: Chelsea send official written proposal to Barcelona for Fermín López!
Initial proposal worth €40m has been submitted this afternoon right after the game.
#CFC awaiting answer from Barça after sending a proposal today.
Nilibashiri kitu kama hiki kitatokea. Pole yao Bayern kwa sababu walishamkaribisha na kumpasha moto za huko munich. Mungu anao mpango juu ya Jackson na Chelsea. Maybe hii itakuwa breakthrough ya Jackson kwenye ushindani na Pedro🚨 EXCLUSIVE: Chelsea inform Bayern Munich they will not be proceeding with proposed loan of Nicolas Jackson after injury to Liam Delap. 24yo striker travelled to Germany for #FCBayern move but #CFC requested Senegal int’l returns to London @TheAthleticFC
KAMBI YA JACKSON WAMEGOMA KUMLUDISHA MCHEZAJINilibashiri kitu kama hiki kitatokea. Pole yao Bayern kwa sababu walishamkaribisha na kumpasha moto za huko munich. Mungu anao mpango juu ya Jackson na Chelsea. Maybe hii itakuwa breakthrough ya Jackson kwenye ushindani na Pedro
Kinachmfanya Maresca ampende Sanchez ni footwork yake. Wewe katika occasion 20 hadi 30 anazofanya vizuri unamuhesabia makosa kosa moja. Makipa wengine hawawezi kabis akufanya anayofanya Sanchez. Katika EPL Sachez ni mmoja wa makipa wenye footwork nzuri. Kaangalie kwenye dataBado footwork yake sio nzuri hapigi pass za kufika na Leo nusu atoe boko kwenda kwa Tosin
Pia leo Chelsea wamepeleka posa ya kumsajili Fermin Lopez ya euro mil 40, Barceloan wamesema wataruhusu dili kufanyika tu kama Fermin atataka iwe hivyo.KAMBI YA JACKSON WAMEGOMA KUMLUDISHA MCHEZAJI
Jackson arudi ,apewe chance .Atafaa pale Tu ,hamna shida .As long as kuna supply kubwa ya mipira .Atafunga tu na ukizingatia tuna Pedro ,Estevao .Neto , Fernandez wote hao ni wafungaji .Haina haja ya kukimbizana kusaka striker sasa hivi .Ni uselessPia leo Chelsea wamepeleka posa ya kumsajili Fermin Lopez ya euro mil 40, Barceloan wamesema wataruhusu dili kufanyika tu kama Fermin atataka iwe hivyo.
-Fabrizio Romano
Naona sasa uongozi wa Chelsea wamechanganyikiwa, Leo Georgew ndie alicheza kama Striker
Amekataa, akilazimishwa anaweza kuja kuharibu kambi na kucheza vibaya na bei yake kushuka. Wacha abaki huko acheze vizuri ili Bayern watupe mil 80Jackson arudi ,apewe chance .Atafaa pale Tu ,hamna shida .As long as kuna supply kubwa ya mipira .Atafunga tu na ukizingatia tuna Pedro ,Estevao .Neto , Fernandez wote hao ni wafungaji .Haina haja ya kukimbizana kusaka striker sasa hivi .Ni useless
Hiyo mil 80 kumbuka ni option Kama watamuhitaji BayernAmekataa, akilazimishwa anaweza kuja kuharibu kambi na kucheza vibaya na bei yake kushuka. Wacha abaki huko acheze vizuri ili Bayern watupe mil 80
Matarajio kule atacheza vizuri kwa sababu hatakuwa na manunguniko kuliko akilazimishwa kurudi sehemu ambayo hataki. Point ya msingi ni hiyo. akicheza vizuri wanaweza kumchukua au tukauza kwa wengine. Kumbuka wka sasa soko la striker ni gumu sana, wako wachache. Utashanga kama akicheza vizuri na Bayern wasipomtaka tunaweza muuza hata mil 100Hiyo mil 80 kumbuka ni option Kama watamuhitaji Bayern