Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ndg acha mhemko
Fofana, Lavia na Jackson ni wachezaji wazuri sana
Jackson kama atauzwa ni kwa sababu ya sajili mpya ya Delap na Pedro ila hatauzwa bei chee, hii nakuhakikishia
Jackson akiunlock clinbicality kwenye neti atakuwa ni striker wa 100+ fee
Lavia na Fofana wanapatiwa dawa ya majeruhi msimu ujao kama ilivyokuwa kwa James
Hall ni squad playuer mzuri, karidhika kuwa backup na akiingizwa anacheza vizuri na kwa kujitoa
Jackson no ng'ombe
 
ndg acha mhemko
Fofana, Lavia na Jackson ni wachezaji wazuri sana
Jackson kama atauzwa ni kwa sababu ya sajili mpya ya Delap na Pedro ila hatauzwa bei chee, hii nakuhakikishia
Jackson akiunlock clinbicality kwenye neti atakuwa ni striker wa 100+ fee
Lavia na Fofana wanapatiwa dawa ya majeruhi msimu ujao kama ilivyokuwa kwa James
Hall ni squad playuer mzuri, karidhika kuwa backup na akiingizwa anacheza vizuri na kwa kujitoa
We kuna muda akaunti yako inadukuliwa sio siri.
 
Uzuri wake upo wapi? wakati muda mwingi yupo kitandani, hata Lavia anatukaba sana. James nae ni swala la muda tu atarudi Mloganzila.
Hawa hawana tofauti na Wanawake wazuri wasiozaa.
Kwani ujui ubora wa Lavia na Fofana basi utakuwa huujui mpira vizuri hata hao wakiwa injury still tunawachezaji wanaocover nafasi zao Sasa hiyo pressure unataka wauzwe unaitoa wapi kwani wewe ndio unaowalipa mishahara yao
 
Kwani ujui ubora wa Lavia na Fofana basi utakuwa huujui mpira vizuri hata hao wakiwa injury still tunawachezaji wanaocover nafasi zao Sasa hiyo pressure unataka wauzwe unaitoa wapi kwani wewe ndio unaowalipa mishahara yao
Wapi nimeandika kuhusu mishahara?! Sisi kama mashabiki tunataka tuwaone uwanjani sio wodini, huo uwezo wa Fofana umeuona wapi? Wakat muda wote yupo wodini.

Kuna haja gani kuwa na mchezaji muda wote yupo wodini. Wanajaza tu nafasi, wanazuia wengine kununuliwa ambao wangetumia muda mwingi uwanjani.
 
Kwani ujui ubora wa Lavia na Fofana basi utakuwa huujui mpira vizuri hata hao wakiwa injury still tunawachezaji wanaocover nafasi zao Sasa hiyo pressure unataka wauzwe unaitoa wapi kwani wewe ndio unaowalipa mishahara yao
Ubora wake upo wapi? Kitandani? Fofana ni mchezaji mzuri ila majeruhi yake ni sababu tosha kabisa hatufai tangu asajiliwe hajawahi maliza msimu kwa thamani ya pesa alosajilia fofana ni hasara
 
Ubora wake upo wapi? Kitandani? Fofana ni mchezaji mzuri ila majeruhi yake ni sababu tosha kabisa hatufai tangu asajiliwe hajawahi malixa msimu
Sio msimu sema mechi tatu, na akicheza anakimbia tu hovyo uwanjani kama mwehu na kusimama juu ya mpira. Leo tunaambiwa ana kiwasha eti!! Labda anakiwasha wodini.

Huyu Fofana tulipgwa mchana kweupe, sema hakuna kulalamika mana hata sisi huwa tunawabamiza sana Arsenal. Mbwa kala mbwa
 
Bora ligi ianze ili tuanze kukimbiza watu...hivi majeruhi ya Lavia na Fofona ni ugonjwa gani usiyopona?
Captain Pulisic alikuwa majeruhi wa kudumu ndani ya Chelsea FC ila tangu ahamie AC Milan FC anaupiga mwingi hadi unatoka nnje bila ya kuwa chronic injury player kama alivyokuwa Chelsea FC.

Kibongo Bongo ungesikia Wachezaji wa Chelsea FC walikuwa wanamroga ila Ulaya hawana hizi -perceptions.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Unajaribi kuchezea kende za simba dume mwenye njaa?? Chelsea hatushindwi kuja kumsajili yoeyote hapo emirates ni vile hamna wachezaji wa kiwango
 
First 30 yenu yote hakuna hata mmoja anayeingia first 15 ya Ze Ganaz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom