Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

We kuna muda akaunti yako inadukuliwa sio siri.
Ninyi hamjui kumtambua mchezaji mzuri. Mnampima Jackson kwa makosa yake ila uzuri wake mnaweka kapuni
Didier Drogba kafunga magoli 10 msimu wake wa kwanza akiwa na miaka 25
Msimu wake wa pili kafunga goli 12 akiwa na miaka 26
Jackson msimu wake wa kwanza akiwa na miaka 22 kafunga goli 15 Na kafunga goli 10 msimu wake wa pili akiwa na miaka 23
Huyu bado anakuwa na bado anajifunza vitu vingi kwan i yeye hakuhuidhuria academy kama walivyo wengine, katolewa tu kwenye mipira ya matambara Afrika akapelekwa ulaya kuchjeza soka
Namuona Jackson kama mchezaji amabaye soka l;ake litalipuka ndani ya miaka michache ijayo na akifikia hapo atakuwa hotcase

Jackson anazo sifa ambazo ni nadra kukuta kwa washambuliaji wengine
  1. Uwezo wa kukaa kwenye nafasi muhimu za kushambulia
  2. Uwezo wa kuserereka na mpira na ball control ya hali ya njuu
  3. Uwezo wa kuwapita mabeki kirahisi na kuwafanya wawe busy na hivyo kuweka spaces kwa wenzake
  4. Uwezo wa kuwapita mabeki kwenye 1V1
  5. Uwezo wa kukaa na mpira, ksuubiri wenzake kuaka vizuri na kupasi hata kama ni kwenye presh akubwa
  6. Uwezo wa kuwachezesha wenzake
  7. Uwezo wa kupress na kusaidia kukaba, hakai tu uwanjani kuzubaa kama akina mAdueke
  8. Uwezo wa kucheza wide, kwenye kiungo
  9. Kufit kwenye mfumo wa posseional football na counter attack kwa urahisi
  10. Ana maiak 23 tu bado anao mmuda wa kurekebisha hayo madhaifu ya kwenye kulenga shabaha golini
  11. Ameoneysha dalili nzuri ya kufanya maamuzi sahihi uwanjuani
  12. Jackson ni mmoja wa washambuliaji waliotengeneza nafasi nyingi msimu uliopita
  13. Ndio maana Chelsea hawako tayari kumtoa kwa pesa ndogo na hawana presha ya kumuuza kwa sababu wanajua alichonacho Jackson ni kikubwa kuliko madhaifu yake
 
Badala ya kusajili takataka Jorrel Hato kutoka Ajax twende pale Inter Milan tuchukue chuma Alessandro Bastoni. Huwa napendekeza wachezaji wazuri wa kuwa sajili ila bahati mbaya siko kwenye hizo nguvu za kufanya maamuzi.

Niliwahi kuandika hapa mimi niko vizuri kwenye skauti ya kuona wachezaji wazuri, laiti ningekuwa kwenye skauti ya Chelsea basi timu ingekuwa na wachezaji wazuri sana.
 
Badala ya kusajili takataka Jorrel Hato kutoka Ajax twende pale Inter Milan tuchukue chuma Alessandro Bastoni. Huwa napendekeza wachezaji wazuri wa kuwa sajili ila bahati mbaya siko kwenye hizo nguvu za kufanya maamuzi.

Niliwahi kuandika hapa mimi niko vizuri kwenye skauti ya kuona wachezaji wazuri, laiti ningekuwa kwenye skauti ya Chelsea basi timu ingekuwa na wachezaji wazuri sana.
Kuona mchezaji mzuri ni moja ila bei yake sokoni na ukubwa wa timu anayotoka ni suala lingine

Unafikiri utawafuata Inter Milani na €60m muelewane utapigwa bei ya sitaki kuuza

Pili kwa age yake mshahara atahitaji mkubwa na kudisturb wage structure ya timu

Tatu na wasiwasi hawezi ifanya vizuri role ya kuinvert na kufanya quick recovery, ni mzuri kama CB zaidi sio mambo ya kuwa midfielder wakati wa kushambulia na kugeuka beki wa kushoto kwenye defensive shape

Mfano wako ni kama vile tulivyoulizia kuhusu Yildiz kutoka Juventus na majibu ikawa hauzwi
 
Isak huyo anakuja anfield endeleeni kusajili vituko awapime umri tena maana huwa anawagaragaza vibaya sana
 
Badala ya kusajili takataka Jorrel Hato kutoka Ajax twende pale Inter Milan tuchukue chuma Alessandro Bastoni. Huwa napendekeza wachezaji wazuri wa kuwa sajili ila bahati mbaya siko kwenye hizo nguvu za kufanya maamuzi.

Niliwahi kuandika hapa mimi niko vizuri kwenye skauti ya kuona wachezaji wazuri, laiti ningekuwa kwenye skauti ya Chelsea basi timu ingekuwa na wachezaji wazuri sana.
Kila shabiki wa mpira ni scout , swali ni je huyo mchezaji unayemtaka wewe anafiti kwenye mfumo wa Chelsea
 
Isak huyo anakuja anfield endeleeni kusajili vituko awapime umri tena maana huwa anawagaragaza vibaya sana
Hwa wachezaji mnaowasifia kwenye dirish mtakuja kuwajutia kwenye ligi
Mchezaji wa umri mkubwa, ada kubwa na mshahara mkubwa ni wa kuwaogopa kama ukoma
Sisi tumejifunza kwa
Raheem Sterling
Romelu Lukaku
Kalidou Koulibaly
Na wengineo
Hao wachezaji wengi wao wanaflop kwa sababu wamefika mwishoi wa ndoto zao na wakiflop labda mjue negotiation na Saudi Pro League vinginevyo itabidi muwagaramie hadi mikataba yao iishe au mufidie sehemu ya mshahara wakati wa mauzo kama Man U walivyofanya kwa Sacho
 
Hwa wachezaji mnaowasifia kwenye dirish mtakuja kuwajutia kwenye ligi
Mchezaji wa umri mkubwa, ada kubwa na mshahara mkubwa ni wa kuwaogopa kama ukoma
Sisi tumejifunza kwa
Raheem Sterling
Romelu Lukaku
Kalidou Koulibaly
Na wengineo
Hao wachezaji wengi wao wanaflop kwa sababu wamefika mwishoi wa ndoto zao na wakiflop labda mjue negotiation na Saudi Pro League vinginevyo itabidi muwagaramie hadi mikataba yao iishe au mufidie sehemu ya mshahara wakati wa mauzo kama Man U walivyofanya kwa Sacho
Naona umepagawa wewe akili zimekuruka maana unaandika vituko yaani isak anaumri mkubwa hao uliowataja nani alikuja Chelsea na miaka 25 maana wote umenitajia wamekuja hapo wakiwa wazee hivi unaakili timamu kweli wewe upo huko porini unajiona una akili kuliko uongozi wa Liverpool aisee hahahaha humu Kuna vituko h 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naona umepagawa wewe akili zimekuruka maana unaandika vituko yaani isak anaumri mkubwa hao uliowataja nani alikuja Chelsea na miaka 25 maana wote umenitajia wamekuja hapo wakiwa wazee hivi unaakili timamu kweli wewe upo huko porini unajiona una akili kuliko uongozi wa Liverpool aisee hahahaha humu Kuna vituko h 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ndio naona umepagawa zaidi kwa sababu kwa nilichoandiak wewe umeona umri tu
Narudia kusema
Mchezaji akisha kuwa na factors hizi nilizozitaja, omba Mungu asiflop
Isaka akishindwa kudeliver na mkitaka kumuuza lazima mfanye vitu viwili
Muuze kwa bei chee
Mufidie mshara wake kwa miaka ya mkataba iliyobaki
Tusiandikie mata tusubiri iligi ianze tuone nani alisajili vizuri
 
Wewe ndio naona umepagawa zaidi kwa sababu kwa nilichoandiak wewe umeona umri tu
Narudia kusema
Mchezaji akisha kuwa na factors hizi nilizozitaja, omba Mungu asiflop
Isaka akishindwa kudeliver na mkitaka kumuuza lazima mfanye vitu viwili
Muuze kwa bei chee
Mufidie mshara wake kwa miaka ya mkataba iliyobaki
Tusiandikie mata tusubiri iligi ianze tuone nani alisajili vizuri
Kwani we pesa isiyo Yako inakuuma nini si ndio vizuri Ili nyie mbebe makombe yote au umepagawa hutaki timu Yako ibebe makombe acha Liverpool wasajili vibaya ilo mbebe makombe shida Iko wapi kwani🤣🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom