Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Haya Isak ameomba kuondoka kama kweli tunataka kushindana makombe tukamchukue huyo jamaa, sio hawa matakataka.
Kwa usajili Chelsea waliokwisha fanya na kwa usajili wa Xavi Simon na Jorrel Hato unaotarajiwa na kwa kuzingatia shinikizo na vikwazo vya UEFA kuhusu uuzwaji kwanza wa wachezaji na kwa bei ambayo Newcastle watahitaji kutoka kwa Isak na kwa mshahara ambao Isak anataka sidhani kama Matajiri wa Chelsea wataweza kumnunua kwa sasa
Labda Chelsea tuuze wachezaji kwa zaidi ya mil 200
Isak akubali mshahara usiozidi pauni 200,000/wiki na Newcastle wakubali kupunguza bei na kupokea pesa kwa installment may be Chelsea watafikiri kumnunua japo Liverpool wako obsessed na ISAK
 
Kwa usajili Chelsea waliokwisha fanya na kwa usajili wa Xavi Simon na Jorrel Hato unaotarajiwa na kwa kuzingatia shinikizo na vikwazo vya UEFA kuhusu uuzwaji kwanza wa wachezaji na kwa bei ambayo Newcastle watahitaji kutoka kwa Isak na kwa mshahara ambao Isak anataka sidhani kama Matajiri wa Chelsea wataweza kumnunua kwa sasa
Labda Chelsea tuuze wachezaji kwa zaidi ya mil 200
Isak akubali mshahara usiozidi pauni 200,000/wiki na Newcastle wakubali kupunguza bei na kupokea pesa kwa installment may be Chelsea watafikiri kumnunua japo Liverpool wako obsessed na ISAK
1753368186819.png
 
Wewe unaangalia bei ya mchezaji badala ya quality yake unakumbuka bei aliyosajiliwa Darwin Nunez alafu angalia alichoenda kudeliver hata huyu striker walimsajili ni wa kawaida ni Bora wangemsajili isak huyu ndio striker sasa
Sio tu quality ya kwenye takwimu na jinsi anavyofit kwenye mfumo
 
Kwamba sifahamu bei na ubora wa mchezaji? Yaani ata kwa akili mgando umlinganishe Florian Wirtz na Liam Delap kweli, acheni kutetea upuuzi.
Wirtz na Liam Delap wanacheza nafasi mbili tofauti Mimi namzungumzia Hugo Ekitike sio striker wa maana ila wametoa hela nyingi
 
Wirtz na Liam Delap wanacheza nafasi mbili tofauti Mimi namzungumzia Hugo Ekitike sio striker wa maana ila wametoa hela nyingi
100% nakubaliana na ww, Wirtz liva wamepata mtu hasaa. Ila huyo Ebitoke wamepgwa mchana kweupee!! EPL naona ikiwa ngumu kwake.
 
100% nakubaliana na ww, Wirtz liva wamepata mtu hasaa. Ila huyo Ebitoke wamepgwa mchana kweupee!! EPL naona ikiwa ngumu kwake.
⚽ Hugo Ekitike, 23.
23 G/A katika mechi 33!
💰 Ada ya uhamisho: £79m.
💸 £250,000/wiki
Mchezaji wa tatu anayelipwa pesa nyingi zaidi kwenye kikosi cha Liverpool. Hii inaweza kuzua kutoridhika kwa wachezaji wengine kwenye dressing room na kupunguza ari, kama ilivyoonekana katika Manchester United miaka iliyopita.
Chelsea lazima iepuke mambo haya kwa gharama yoyote.
Wamepigwa hao
 
⚽ Hugo Ekitike, 23.
23 G/A katika mechi 33!
💰 Ada ya uhamisho: £79m.
💸 £250,000/wiki
Mchezaji wa tatu anayelipwa pesa nyingi zaidi kwenye kikosi cha Liverpool. Hii inaweza kuzua kutoridhika kwa wachezaji wengine kwenye dressing room na kupunguza ari, kama ilivyoonekana katika Manchester United miaka iliyopita.
Chelsea lazima iepuke mambo haya kwa gharama yoyote.
Wamepigwa hao
Jadilini timu lenu ya Liverpool hayawahusu
 
Chelsea wamemsajil kinda wa crystal palace ambaye anacheza winga wa kushoto ambaye alikuwa anawaniwa na vilabu 8 vya ulaya kinda huyo anaitwa Jesse Derry anayetajwa kuwa na kipaji kikubwa
 
Povu Gani isak anatua mda wowote msimu ujao nakusanya makombe yote
Kuwa na masupa star kwenye timu haina maana mtabeba makombe. Wasopijenga chemistry mmeliwa.
Jifunzeni kwa PSG walikuwa na Neyma, Messi na Mbape, walivyotoka ndipo PSG ikawa ya moto
Isak atakuja hiyo haina ubishi ila mtamlipa pauni 300,000/week
Hugo pauni 250,000/week
Salah pauni 400,000/week
VVD pauni 350,000/week
Florian Wirtz pauni 200,000/week
Mtakuja kuwa kama Man Un ited
Wachezaji watahafukwa pale dressing room
Mtaanza kupoteza mechi kiuwenda wazimu
Mtataka kuwauza baadhi ya wachezaji mtagota mwamba
Subiri muone
 
Chelsea wamemsajil kinda wa crystal palace ambaye anacheza winga wa kushoto ambaye alikuwa anawaniwa na vilabu 8 vya ulaya kinda huyo anaitwa Jesse Derry anayetajwa kuwa na kipaji kikubwa
The way anavyocheza Jesse Derry asipobadilika atatkuwa the next Zizou
 
Kuwa na masupa star kwenye timu haina maana mtabeba makombe. Wasopijenga chemistry mmeliwa.
Jifunzeni kwa PSG walikuwa na Neyma, Messi na Mbape, walivyotoka ndipo PSG ikawa ya moto
Isak atakuja hiyo haina ubishi ila mtamlipa pauni 300,000/week
Hugo pauni 250,000/week
Salah pauni 400,000/week
VVD pauni 350,000/week
Florian Wirtz pauni 200,000/week
Mtakuja kuwa kama Man Un ited
Wachezaji watahafukwa pale dressing room
Mtaanza kupoteza mechi kiuwenda wazimu
Mtataka kuwauza baadhi ya wachezaji mtagota mwamba
Subiri muone
Meseji ndefu yote ni wivu wewe subiri aje ukione Cha moto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom