Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Haya hii ni meseji fupi

Liverpool is the next Man United, weka kumbukumbu hii messeji
Endelea kuota na wivu zidi ya timu kubwa Liverpool hawaongei Sanaa wao ni kazi tu we endelea kupiga ramli
 
Hapa wanamwambia Bwana mdogo njoo London unenepe.
 

Attachments

  • Screenshot_20250725-175351_Chrome.jpg
    Screenshot_20250725-175351_Chrome.jpg
    205 KB · Views: 10
Angekuwa takataka uongozi usingemrudisha.

Chalobah si beki wa kiwango cha juu, lakini pia si wa kupuuzwa. Akiwa ndani ya mfumo sahihi, Chelsea bado inaweza kutwaa ubingwa yeye akiwa mlinzi wetu.

Nguvu ya timu ipo kwenye kiungo. Kuanzia Machi 2025, tumeshuhudia Chelsea ikijijenga imara kwenye safu ya ulinzi—si kwa mabadiliko ya mabeki pekee, bali kwa stability ya viungo wetu na inverted role ya Cucurella. Hata ukiwachezesha Tosin, Chalobah, na Sanchez golini, timu inaweza kuhimili presha ikiwa kiungo kipo sawa.

Mfano mzuri ni kwenye Club World Cup, ambako Reece James alionyesha uimara mkubwa akiwa kwenye kiungo. Hii ndiyo sababu uongozi umetumia muda na fedha nyingi kuimarisha kiungo—hapo ndiko uhai wa timu ulipo.

Mungu akitujalia tukapata mabeki bora zaidi ya Chalobah na Tosin, itakuwa ni faida kubwa zaidi
 
Chalobah si beki wa kiwango cha juu, lakini pia si wa kupuuzwa. Akiwa ndani ya mfumo sahihi, Chelsea bado inaweza kutwaa ubingwa yeye akiwa mlinzi wetu.

Nguvu ya timu ipo kwenye kiungo. Kuanzia Machi 2025, tumeshuhudia Chelsea ikijijenga imara kwenye safu ya ulinzi—si kwa mabadiliko ya mabeki pekee, bali kwa stability ya viungo wetu na inverted role ya Cucurella. Hata ukiwachezesha Tosin, Chalobah, na Sanchez golini, timu inaweza kuhimili presha ikiwa kiungo kipo sawa.

Mfano mzuri ni kwenye Club World Cup, ambako Reece James alionyesha uimara mkubwa akiwa kwenye kiungo. Hii ndiyo sababu uongozi umetumia muda na fedha nyingi kuimarisha kiungo—hapo ndiko uhai wa timu ulipo.

Mungu akitujalia tukapata mabeki bora zaidi ya Chalobah na Tosin, itakuwa ni faida kubwa zaidi
Kwa upande wangu chalobah ni mchezaji mzuri ni vile tu mna muunderrate ni mzuri kwenye kukaba, anajua kupiga pass vizuri na pia sio mchezaji mwenye individual errors. Chalobah ni mtu haswa nitakubaliana na wewe labda kwa Tosin ila sio chalobah we si umeona alikuwa atakiwi angalia alivyorudi ndio akawa muokozi wetu kiwango chake ndio kimefanya iwe regular player
 
Kwa upande wangu chalobah ni mchezaji mzuri ni vile tu mna muunderrate ni mzuri kwenye kukaba, anajua kupiga pass vizuri na pia sio mchezaji mwenye individual errors. Chalobah ni mtu haswa nitakubaliana na wewe labda kwa Tosin ila sio chalobah we si umeona alikuwa atakiwi angalia alivyorudi ndio akawa muokozi wetu kiwango chake ndio kimefanya iwe regular player
Wawauze badiashile na disasi kwanza.
 
Kwa upande wangu chalobah ni mchezaji mzuri ni vile tu mna muunderrate ni mzuri kwenye kukaba, anajua kupiga pass vizuri na pia sio mchezaji mwenye individual errors. Chalobah ni mtu haswa nitakubaliana na wewe labda kwa Tosin ila sio chalobah we si umeona alikuwa atakiwi angalia alivyorudi ndio akawa muokozi wetu kiwango chake ndio kimefanya iwe regular player
Huwezi kumlinganisha Chalobah na top defenders la sivyo timu kubwa kubwa zingemfukuzia hasa wakati na wakati huu Chelsea ina mpango wa kumuuza tena wangekuwa Tayari kumnunua kwa zaidi ya pauni milioni 60 au 70.

Chalobah hawezi kuwania mipira ya juu kwenye presha kubwa kama Colwill anavyofanya
Chalobah anakuwa na maamuzi hatarishi wakati wa presha kubwa
Chalobah sio mzuri sana kwenye kufanya interceptions
Pia sio mzuri kwenye kuusoma mchezo kama mabekli wakubwa wanavyofanya
Chalobah hawezi kucheza vizuri kwa kutumia mguu wake wa kushoto
Hivi vitu ndivyo vinamuangusha na kocha asimuweke kwenye mahesabu yake
Japokuwa hauzwi kwa kutupa ila kwenye peking order Chalobah yuko nyuma ya Fofana na Tosin na ndio sababu kubwa ya kuuzwa. Maresca anapenda kuwatumia zaidi Fofana na Tosin zaidi yake
 
Chelsea FC imeripotiwa kuamua kuwaita baadhi ya wachezaji wake kutoka likizo kutokana na wasiwasi unaoongezeka kuhusu hali yao ya akili baada ya msimu mkali. Uamuzi huu unakuja kufuatia picha na taarifa za kushangaza zinazoonyesha wachezaji wakijihusisha na tabia za ajabu na hatarishi wakati wa mapumziko yao.

Kuanzia kuruka angani na ndege, kuingiliana na simba na chatu, hadi kushindana na pomboo na kufanya mizunguko angani, tabia hizi zimezusha taharuki ndani ya klabu. Vyanzo vinasema baadhi ya mashabiki na hata viongozi wa juu wa klabu walilazwa hospitalini baada ya kushuhudia matukio hayo ya kushtua.
1753516495186.png
1753516533916.png
1753516558739.png
 
Chelsea FC imeripotiwa kuamua kuwaita baadhi ya wachezaji wake kutoka likizo kutokana na wasiwasi unaoongezeka kuhusu hali yao ya akili baada ya msimu mkali. Uamuzi huu unakuja kufuatia picha na taarifa za kushangaza zinazoonyesha wachezaji wakijihusisha na tabia za ajabu na hatarishi wakati wa mapumziko yao.

Kuanzia kuruka angani na ndege, kuingiliana na simba na chatu, hadi kushindana na pomboo na kufanya mizunguko angani, tabia hizi zimezusha taharuki ndani ya klabu. Vyanzo vinasema baadhi ya mashabiki na hata viongozi wa juu wa klabu walilazwa hospitalini baada ya kushuhudia matukio hayo ya kushtua.
View attachment 3419025View attachment 3419028View attachment 3419029
kwani ukiwa likizo kuna shughuli hutakiwi kuyafanya kama hayavunji sheria? japo sijaelewa hapo uliposema viongozi na mashabiki kulazwa hospitali, ni baada ya kushudia yanayotendwa na wachezaji wa Chelsea wakiwa mapumzikoni?
 
kwani ukiwa likizo kuna shughuli hutakiwi kuyafanya kama hayavunji sheria? japo sijaelewa hapo uliposema viongozi na mashabiki kulazwa hospitali, ni baada ya kushudia yanayotendwa na wachezaji wa Chelsea wakiwa mapumzikoni?
Starehe hatarishi kama hiyo ya Caicedo ni hasara kwa timu. Akipata ajali naweza asicheze msimu mzima. Kwa kawaid mwajiri anayo haki juu ya where abouts za wachezaji hata wakati wa likizo
 
Wawauze badiashile na disasi kwanza.
hata hivyo mpango uko hivyo, Chalobah atauzwa bei nzuri ikija. Disasi yuko out of the squad. Badiashile anapendwa sana kwa sababu ni mchanga na ni ball playing CB. Chelsea inampango na Badiashile kwa muda mrefu kwenye mradi. Mzoee tu hiyo hali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom