Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa namna yoyote ile kama MARESCA akiamua kuanza na DM wawili tutaweza kuumia vibaya sana. Caicedo pekee yake anatosha na kuna uwezekano Delap akaanza halafu pembeni akacheza Neto naa J PEDRO. Midfield wakacheza Palmer na Enzo holding akacheza Caicedo. Hapo tunaweza kuwa na maisha otherwise tuombeane kheri.
 
Kwa namna yoyote ile kama MARESCA akiamua kuanza na DM wawili tutaweza kuumia vibaya sana. Caicedo pekee yake anatosha na kuna uwezekano Delap akaanza halafu pembeni akacheza Neto naa J PEDRO. Midfield wakacheza Palmer na Enzo holding akacheza Caicedo. Hapo tunaweza kuwa na maisha otherwise tuombeane kheri.
Kwanini unaamini tukicheza na midfielder wawili wakabaji tunafungwa?
 
Kwanini unaamini tukicheza na midfielder wawili wakabaji tunafungwa?
Lengo la kwanza ni kutopaki basi maana lazima tuwe tunapishana kama wao wakija sisi tunaenda huo mfumo haukuhitaji uwe na wakabaji wengi unahitaji watu wanaoweza sukuma mpira mbele au wanaoweza kudrible. Kuklsaidia kumiliki mpira na kuongeza ubunifu. Sasa ukiwa na DM wawili hayo hayatawezekana tutawaliwa kimchezo hakuna progress tutaweza fanya kwa nature ya mpira wa PSG.

Mfumo wa 433 ndio utafaa zaidi leo.
 
Lengo la kwanza ni kutopaki basi maana lazima tuwe tunapishana kama wao wakija sisi tunaenda huo mfumo haukuhitaji uwe na wakabaji wengi unahitaji watu wanaoweza sukuma mpira mbele au wanaoweza kudrible. Kuklsaidia kumiliki mpira na kuongeza ubunifu. Sasa ukiwa na DM wawili hayo hayatawezekana tutawaliwa kimchezo hakuna progress tutaweza fanya kwa nature ya mpira wa PSG.

Mfumo wa 433 ndio utafaa zaidi leo.
Kucheza na midfielder wawili wakabaji haimaanishi hatushambuliwi kulingana na natura ya midfielder wetu Santos ukiachana na kuwa anakaba but ni aina ya kiungo ana offer kwenye ushambuliaji na ndio maana amefunga magoal mengi kwenye team yake uliopita, kiungo cha Caicedo na Santos kina offer both defensive na attack hii inamaana gani Enzo atakuwa juu tukishambulia wakati tunashambuliwa anashuka chini tunatengeneza midfielders watatu.Hii inatufanya tuwe na namba kubwa ya Kati kushinda PSG na hapo tunakuwa tumekama dimba la Kati.
 
Kucheza na midfielder wawili wakabaji haimaanishi hatushambuliwi kulingana na natura ya midfielder wetu Santos ukiachana na kuwa anakaba but ni aina ya kiungo ana offer kwenye ushambuliaji na ndio maana amefunga magoal mengi kwenye team yake uliopita, kiungo cha Caicedo na Santos kina offer both defensive na attack hii inamaana gani Enzo atakuwa juu tukishambulia wakati tunashambuliwa anashuka chini tunatengeneza midfielders watatu.Hii inatufanya tuwe na namba kubwa ya Kati kushinda PSG na hapo tunakuwa tumekama dimba la Kati.
Hata caicedo ni dm ila pia kuna kipindi cha mashambulio anatembea mpaka kusahuti mwenyewe kua dm wawili haimanishi tutapaki basi,....hapa mbinu Za mchezo wa leo ziko kwenye nani atatawal midfield ndo hiyu ataweza kua mashindi.....
 
Kucheza na midfielder wawili wakabaji haimaanishi hatushambuliwi kulingana na natura ya midfielder wetu Santos ukiachana na kuwa anakaba but ni aina ya kiungo ana offer kwenye ushambuliaji na ndio maana amefunga magoal mengi kwenye team yake uliopita, kiungo cha Caicedo na Santos kina offer both defensive na attack hii inamaana gani Enzo atakuwa juu tukishambulia wakati tunashambuliwa anashuka chini tunatengeneza midfielders watatu.Hii inatufanya tuwe na namba kubwa ya Kati kushinda PSG na hapo tunakuwa tumekama dimba la Kati.
Uko sawa ila ukijaza viungo hapo katikati tutabatizwa kwa moto kama ilivyo kwa inter milani na RMA ila kwa maoni yangu mfumo tucheze 433 ila cole acheze namba 7 na neto acheze namba 11 Enzo acheze namba 10 nane na sita wachezaji viungo wakabaji huyo delap aanzie benchi tisa asimame JP, nane acheze santos/lavia kama yupo na sita acheze Caicedo
 
Hii game leo tunashinda kirihisi sana, kamata Vitinha basiiii, hakana afya kale kajamaa. Ni mwendo wa mpira kazi tu, Caseido kwa mpira kazi hajawahigi niangusha.
Vitinha akiwekwa chini ya ulinzi PSG hawataweza kucheza
 
Uko sawa ila ukijaza viungo hapo katikati tutabatizwa kwa moto kama ilivyo kwa inter milani na RMA ila kwa maoni yangu mfumo tucheze 433 ila cole acheze namba 7 na neto acheze namba 11 Enzo acheze namba 10 nane na sita wachezaji viungo wakabaji huyo delap aanzie benchi tisa asimame JP, nane acheze santos/lavia kama yupo na sita acheze Caicedo
Mechi kubwa kama hii kuanza kutangatanga na mifumo ni hatari sana. Real Madrid kilichowakuta ndio hio. Mbele ya PSG utabaki unaduwaa badala ya kucheza. Wachezaji watrumie mfum,o ule ule + gameplan ya kocha. Naamini game plan ya leo ni washambuliaji kupress sana ili mabeki wasipate muda wa kukaa na mpira ili kupanga mashambulizi. Pia viungo watakuwa na kazi kubwa ya kuhakikisha ,mipira haiwafikii akina Dembele, Desire na Kvicha
 
Hata caicedo ni dm ila pia kuna kipindi cha mashambulio anatembea mpaka kusahuti mwenyewe kua dm wawili haimanishi tutapaki basi,....hapa mbinu Za mchezo wa leo ziko kwenye nani atatawal midfield ndo hiyu ataweza kua mashindi.....
DM parsee siku hizi kuwapata ni ngumu sana. CM wengi siku hizi ni B23B mbele kwa mbele
DM pekee Chelsea ni huyo Lavia ambaye mechi chache anakwenda majeruhi
 
Mechi kubwa kama hii kuanza kutangatanga na mifumo ni hatari sana. Real Madrid kilichowakuta ndio hio. Mbele ya PSG utabaki unaduwaa badala ya kucheza. Wachezaji watrumie mfum,o ule ule + gameplan ya kocha. Naamini game plan ya leo ni washambuliaji kupress sana ili mabeki wasipate muda wa kukaa na mpira ili kupanga mashambulizi. Pia viungo watakuwa na kazi kubwa ya kuhakikisha ,mipira haiwafikii akina Dembele, Desire na Kvicha
Sawa kuliko delap aanze hapo tisa ni bora 11 acheze nkunku alafu tisa acheze JP na saba acheze neto 10 acheze Palmer 8 acheze enzo na sita Caicedo
 
Kucheza na midfielder wawili wakabaji haimaanishi hatushambuliwi kulingana na natura ya midfielder wetu Santos ukiachana na kuwa anakaba but ni aina ya kiungo ana offer kwenye ushambuliaji na ndio maana amefunga magoal mengi kwenye team yake uliopita, kiungo cha Caicedo na Santos kina offer both defensive na attack hii inamaana gani Enzo atakuwa juu tukishambulia wakati tunashambuliwa anashuka chini tunatengeneza midfielders watatu.Hii inatufanya tuwe na namba kubwa ya Kati kushinda PSG na hapo tunakuwa tumekama dimba la Kati.
Caicedo na Santos ni B2B, huwezi kuwakuta wakikaa kusubiri kukaba, wanafuata mpira huko huko ulipo. Kiungo mkabaji pekee ni Romeo Lavia. Hata Esugo kwa uchezaqji wake ni B2B, ENZO ni B2B
 
Sawa kuliko delap aanze hapo tisa ni bora 11 acheze nkunku alafu tisa acheze JP na saba acheze neto 10 acheze Palmer 8 acheze enzo na sita Caicedo
Dlap au Nkunku wakicheza Santos hatapata nafasi na mimi namuona Santos ni wa muhimu kuliko Nkunku na Delap

----------Joao Pedro---------

Palmer -------Enzo -------Neto

----Santos ---------Caicedo----
 
Dlap au Nkunku wakicheza Santos hatapata nafasi na mimi namuona Santos ni wa muhimu kuliko Nkunku na Delap

----------Joao Pedro---------

Palmer -------Enzo -------Neto

----Santos ---------Caicedo----
Naona kama kocha hamuamini huyo Santos, simuoni akianza.
 
Hatoshi mkuu. Tunatakiwa tuongeze kiungo mmoja pale kati anayekichafua kwelikweli!
Essugo ni mchezaji mzuri sema ni vile tupo kwenye michuano ndio maana hajapewa nafasi same to Santos mkuu kwenye viungo hatuna shida kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom