Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelshit mmerukaruka kupitia njia za panya leo mmeingia kwenye mfumo mnaenda kutia aibu
Screenshot_20250712_004042_Instagram.jpg
 
Chelsea vs PSG
4-2-3-1
Lineup

Formation: 4-2-3-1

--------------Joao Pedro--------------

Palmer -----------Enzo----------Neto

-----Caicedo -------------James-----

Cucurella --Cowill-----Chalobah --Gusto

---------------Sanchez-----------------

Bench
1) Penders
2) Jorgensen
3) Slonina
4) Acheampong
5) Tosin
6) Nkunku
7) Anselmino
8) Sarr
9) Santos
10) Dewsbury-Hall
11) Lavia
12) George
13) Jackson
14) Guiu
 
Naona kama kocha hamuamini huyo Santos, simuoni akianza.
Kumchezesha James kiungo wakati Santos yuko bana. Yaani ukishakuw akocha lazima uwe na tatizo la akili naona
Gusto simuamini sana. James angecgheza nafasi yake na Santos angewekwa hiyo nafasi ya James
 
Kucheza na midfielder wawili wakabaji haimaanishi hatushambuliwi kulingana na natura ya midfielder wetu Santos ukiachana na kuwa anakaba but ni aina ya kiungo ana offer kwenye ushambuliaji na ndio maana amefunga magoal mengi kwenye team yake uliopita, kiungo cha Caicedo na Santos kina offer both defensive na attack hii inamaana gani Enzo atakuwa juu tukishambulia wakati tunashambuliwa anashuka chini tunatengeneza midfielders watatu.Hii inatufanya tuwe na namba kubwa ya Kati kushinda PSG na hapo tunakuwa tumekama dimba la Kati.
Kwanza unatakiwa kujua Santos ni kiungo mshambuliaji anaweza kucheza namba 8 au 10 sio defensive, ile mechi amecheza ni kwa sababu tu kiungo alikua ameumia ndio maana akacheza defensive.

Pili ulichoeleza timu itakosa balance mostly kwenye transition kwasababu ya kuwa na wachezaji wawili wenye defensive mind ni mara chache kukuta wanapanda au wakapanda wote tukapigwa kaunta. Tukipokonya mipira tunahitaji watu wanaoweza kumiliki mpira sio kubutua butua tu
 
Kumchezesha James kiungo wakati Santos yuko bana. Yaani ukishakuw akocha lazima uwe na tatizo la akili naona
Gusto simuamini sana. James angecgheza nafasi yake na Santos angewekwa hiyo nafasi ya James
Hiki ndicho huwa nalalamika kuhusiana na Enzo Maresca. Yan huwa haoni utofauti kabisa tunavyohangaika James akicheza Mid, viungo wapo kwa nini ulazimishe kumchezesha James mid.

Maresca anakera hapo tu
 
Vipi kama approach ikawa ni tofauti na kwamba mnavyohisi James anacheza midfield na ikawa wakati wa kushambulia James, colwill na chalobah wanatengeneza back 3...cucurella anaenda kuungana na caicedo kati ...wakati huo Enzo anaenda kuungana na palmer kwenye no. 10 huku gusto anasogea mbele kwenye wing ya Julia na wakati wa kujilinda inakuwa back 5 ?
James chalobah colwill
Caicedo cucurella
Gusto palmer Enzo Fernandez Pedro
Joao Pedro

Wakati wa kujilinda (5-2-3)
Gusto James chalobah colwill cucurella
Caicedo Enzo Fernandez
Palmer Joao Pedro Pedro neto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom