Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nipo naangalia hapa marudio y PSG na Bayern, itoshe kusema kwenye mpira bahati pia ina nafasi yake, aisee hii PSG inafungika kirahis sana. Ule upande wa Pedro akiamka vizuri siku hiyo magoli yatapitia huko.
Bayern Munich walifanya makosa ya kutokuwa makini baada ya PSG kupungua Bayern wakabweteka wakawa wanashambulia tu bila kujali kuwa nyuma wameach nafasi. Kama Chelsea wakiweza kutotoa nafasi na muda. wakaamua kuwapress mwanzo mwisho. PSG inafungwa kirahisi. Kwa morali waliyo nayo wachezaji naamini wanawajua vizuri PSG na wataweza kuwamudu. Uzuri mwingine ni kuwa PSG hawapaki mabasi, wanacheza open football kama Chelsea. Atakayedhibiti kiungo na kupress kwa akili ndie atakayeshinda. Naamini Caicedo na Enzo an Santos wataweza hiyo kazi
 
20250711_205632.jpg
 
Bayern Munich walifanya makosa ya kutokuwa makini baada ya PSG kupungua Bayern wakabweteka wakawa wanashambulia tu bila kujali kuwa nyuma wameach nafasi. Kama Chelsea wakiweza kutotoa nafasi na muda. wakaamua kuwapress mwanzo mwisho. PSG inafungwa kirahisi. Kwa morali waliyo nayo wachezaji naamini wanawajua vizuri PSG na wataweza kuwamudu. Uzuri mwingine ni kuwa PSG hawapaki mabasi, wanacheza ope football kama Chelsea. Atakayedhibiti kiungo na kupress kwa akili ndie atakayeshinda. Naamini Caicedo na Enzo an Santos wataweza hiyo kazi
Kitu ambacho nawasiwasi nacho unaweza kukuta James akaanza kwenye midfielder sijui kwanini kocha hamuamini Santos
 
Enzo Maresca: "Mafanikio makubwa ya msimu huu ni kwamba mwaka mmoja uliopita, hakuna mtu ambaye alikuwa akiizungumzia Chelsea, kuhusu soka. Kila mtu alikuwa akizungumzia kuhusu Chelsea, kuhusu kikosi kikubwa, pesa nyingi, vitu vya aina hii."

Sasa hakuna mtu anayezungumza juu ya hii. Sasa kila mtu anazungumza kuhusu Chelsea, jinsi tunavyocheza, jinsi tunavyoshinda michezo. Na haya ndio mafanikio makubwa zaidi ya msimu huu."
 
Kitu ambacho nawasiwasi nacho unaweza kukuta James akaanza kwenye midfielder sijui kwanini kocha hamuamini Santos
Yuko Enzo na Caicedo, hawezi kumuanzisha

Nina wasiwasi atakuja hivi

Formation: 4-2-3-1

--------------Joao Pedro--------------

Nkunku -----------Palmer----------Neto

-----Enzo -------------Caicedo-----

Cucurella --Colwil --Tosin --James

---------------Sanchez-----------------

AU

Formation: 4-2-3-1

--------------Delap--------------

Joao Pedro-----------Palmer----------Neto

-----Enzo -------------Caicedo-----

Cucurella --Colwill --Chalobah --James

---------------Sanchez-----------------
 
Jana kwenye mazoezi ya PSG kuelekea fainali na Chelsea kumetokea ugomvi kati ya Dembele na Doue.

Wamebwatukiana sana nusra kutupiana ngumi wakigombea kufunga goli la 8 dhidi ya Chelsea.

Dembele anataka kufunga yeye huku Doue nae akitaka.
 
Jana kwenye mazoezi ya PSG kuelekea fainali na Chelsea kumetokea ugomvi kati ya Dembele na Doue.

Wamebwatukiana sana nusra kutupiana ngumi wakigombea kufunga goli la 8 dhidi ya Chelsea.

Dembele anataka kufunga yeye huku Doue nae akitaka.
Watanyimana pass
 
John Jackson journalist kutoka Tanzania akimuuliza Reece James kama Chelsea ikiifunga PSG Jumapili je itachukuliwa kwamba Chelsea ni timu kubwa, ngumu zaidi duniani?
Majibu ya Reece James
Kweli tukishinda hiyo fainali itakuwa ni Tamko Kuu na pia labda tutakuwa timu bora ya siku lakini ahitufanyi kuwa timu bora ulaya sina uhakika, tunadhamiria sana kuelekea huko, iwe mechi moja itaamua hiyo, sijui ni jukumu lenu kuamua

 
Yuko Enzo na Caicedo, hawezi kumuanzisha

Nina wasiwasi atakuja hivi

Formation: 4-2-3-1

--------------Joao Pedro--------------

Nkunku -----------Palmer----------Neto

-----Enzo -------------Caicedo-----

Cucurella --Colwil --Tosin --James

---------------Sanchez-----------------

AU

Formation: 4-2-3-1

--------------Delap--------------

Joao Pedro-----------Palmer----------Neto

-----Enzo -------------Caicedo-----

Cucurella --Colwill --Chalobah --James

---------------Sanchez-----------------
Kwa aina ya mpira wa PSG tunahitaji tuwe na viungo wawili wakabaji Caicedo na Santos kwangu wanafaa kabisa kukamata dimba la Kati Enzo sio mzuri sana kwenye ukabaji Enzo anafaa kucheza mbele ya Santos na Caicedo tuwe na no 10 wawili Palmer na Enzo, huu ndio mfumo utakaoiangamiza PSG hakuna haja ya kuweka left wing cos Joao anauwezo wakucheza hiyo position na wakati huo anaweza kuwa 9 na pale atapokuwa left wing Enzo ataingia Kama 9 ya uongo
 
Kwa aina ya mpira wa PSG tunahitaji tuwe na viungo wawili wakabaji Caicedo na Santos kwangu wanafaa kabisa kukamata dimba la Kati Enzo sio mzuri sana kwenye ukabaji Enzo anafaa kucheza mbele ya Santos na Caicedo tuwe na no 10 wawili Palmer na Enzo
Nina wasiwasi Santos akicheza Delap hatacheza na Plamer itabidi acheze pembeni

Formation: 4-2-3-1

--------------Joao Pedro--------------

Palmer -----------Enzo----------Neto

-----Santos -------------Caicedo-----

Cucurella --Colwil --Chalobah --James

---------------Sanchez-----------------
 
John Jackson journalist kutoka Tanzania akimuuliza Reece James kama Chelsea ikiifunga PSG Jumapili je itachukuliwa kwamba Chelsea ni timu kubwa, ngumu zaidi duniani?
Majibu ya Reece James
Kweli tukishinda hiyo fainali itakuwa ni Tamko Kuu na pia labda tutakuwa timu bora ya siku lakini ahitufanyi kuwa timu bora ulaya sina uhakika, tunadhamiria sana kuelekea huko, iwe mechi moja itaamua hiyo, sijui ni jukumu lenu kuamua

View attachment 3403275
Swali lake ni la kijinga unapata nafasi Kama hiyo adimu alafu unauliza utumbo
 
Nina wasiwasi Santos akicheza Delap hatacheza na Plamer itabidi acheze pembeni

Formation: 4-2-3-1

--------------Joao Pedro--------------

Palmer -----------Enzo----------Neto

-----Santos -------------Caicedo-----

Cucurella --Colwil --Chalobah --James

---------------Sanchez-----------------
Kama ataweka kikosi hichi itakuwa unyama mwingi
 
Ila mwamba umezidisha kulalamika aisee hivi uoni hata utofauti kuanzia kipindi team ipo chini ya Lampard, Graham Potter na pochentino na kipindi hichi ipo chini ya Enzo Maresca au umesahau msoto tulikuwa tunapitia ilikuwa hatuingii big 4, team ilikuwa haieleweki inavyocheza.Huyo kocha wetu wa Sasa huu ni msimu wake wa Kwanza team imeingia big 4, tumechukua conference cup na now tumeingia fainal wewe uoni ni kwamba tumepiga hatua kubwa?
Uko sahihi kabisa, ila mi nazungumzia philosophies za Wadhamini wa kimarekani ni tofauti kabisa na Waarabu au zama za Abrahamovich.

Wamarekani wanaweka pesa ila kwa mikataba mirefu kufidia pesa walizonunua nazo Wachezaji sokoni.

Mfano; Mudriyk £ 100 M kwa miaka 8.5.

Hapo pia nimelalamika au nimeongea uhalisia Mkuu?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Yuko Enzo na Caicedo, hawezi kumuanzisha

Nina wasiwasi atakuja hivi

Formation: 4-2-3-1

--------------Joao Pedro--------------

Nkunku -----------Palmer----------Neto

-----Enzo -------------Caicedo-----

Cucurella --Colwil --Tosin --James

---------------Sanchez-----------------

AU

Formation: 4-2-3-1

--------------Delap--------------

Joao Pedro-----------Palmer----------Neto

-----Enzo -------------Caicedo-----

Cucurella --Colwill --Chalobah --James

---------------Sanchez-----------------
Tukicheza mfumo huu ili tuweze kuwakabili psg ni lazima ule utamaduni wa kufanya beki mbili kuingia katikati na kuja kusaidia kiungo kocha aachane nao kwenye mechi tumeona kwa inter milani na RMA walitumia mfumo wa 343 na sisi mfumo wetu huo beki namba mbili akiingia hapo kati uwa unakuwa 343 ambako huu mfumo psg anaufunga magoli anavyotaka endapo kiuchezaji ukibadilika na kuwa hivyo tutafungwa nyingi ili tuweze kwenda nao sambamba maana wao wanatumia 433 attacking sisi tutumie 433 hold hapo tutawamudu ata huo mfumo ni mzr ila tu beki mbili asiende hapo kati
 
Nina wasiwasi Santos akicheza Delap hatacheza na Plamer itabidi acheze pembeni

Formation: 4-2-3-1

--------------Joao Pedro--------------

Palmer -----------Enzo----------Neto

-----Santos -------------Caicedo-----

Cucurella --Colwil --Chalobah --James

---------------Sanchez-----------------
Hii nzuri
 
Watu wana ufala sana 😂

 
Hv hawa watu wanaotutania kwenye hii fainali, tukishinda wataiweka wapi sura zao 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom