Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

🚨🚨🚨BREAKING: Mazoezi ya PSG yalikatizwa kwa muda mfupi leo baada ya mabishano makali kati ya Dembélé na Désiré Doué kuhusu nani afunge bao la ,6 dhidi ya Chelsea siku ya Jumapili
Hahahahahahahahaaaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

IMG-20250712-WA0372.jpg
 
Viungo wamejaa sanaaaa, wengine hawatumiki wamekuwa kama mapambo tu, wengine wanatolewa kwa mikopo. Kocha ni la hovyo kupindukia
Na pia mbadala wa Caicedo. Hawa jamaa wanatumika sana; wanahitaji kupumzika.
 
🚨🚨🚨BREAKING: Mazoezi ya PSG yalikatizwa kwa muda mfupi leo baada ya mabishano makali kati ya Dembélé na Désiré Doué kuhusu nani afunge bao la ,6 dhidi ya Chelsea siku ya Jumapili
Hahahahahahahahaaaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

View attachment 3403642
Huyu Dembele alizimwa vizuri na cucurella mechi za UEFA nations league Spain na ufaransa....lkn mnavyomtaja km vile atakutana na Jamal mambeleko
 
Siku 353 zilizopita Chelsea walichukuana na Wrexham katika mchezo wa kwanza wa Maresca, ambao uliishia 2-2.

Siku 328 zilizopita Chelsea ilifungwa 2-0 nyumbani na Man City kwenye mechi ya ligi.

Siku 324 zilizopita Chelsea ilizomewa nyumbani HT katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Servette katika mechi za kufuzu kwa UECL.

Siku 45 zilizopita Chelsea ilipata UCL na kushinda UECL huko Wroclaw.

Baada ya siku 354 msimu wetu unamalizika leo. Inaweza kuisha kwa sisi kuwa Mabingwa wa Dunia au inaweza kumalizika kwa kama ishara ya maendeleo makubwa kwa Maresca kuiwezesha timu kufikia fainali za kombe la dunia kwa kucheza na mabingwa wa Ulaya, PSG.

Hakuna hata mtu mmoja aliyetabiri haya miezi 12 iliyopita kwamba tungekutana na Mabingwa wa UEFA Tujivunie haya mafanikio ya Chelsea.

1752360025367.png
 
Kwa mbaali,leo
 

Attachments

  • Screenshot_20250713_101538_Facebook.jpg
    Screenshot_20250713_101538_Facebook.jpg
    105.4 KB · Views: 12
🚨🚨🚨BREAKING: Mazoezi ya PSG yalikatizwa kwa muda mfupi leo baada ya mabishano makali kati ya Dembélé na Désiré Doué kuhusu nani afunge bao la ,6 dhidi ya Chelsea siku ya Jumapili
Hahahahahahahahaaaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

View attachment 3403642
BREAKING: Mazoezi ya Chelsea yalikatishwa jana kwa muda baada ya mabishano makali kati ya Cole Palmer na Joao Pedro kuhusu nani afunge bao la 7 dhidi ya PSG Jumapili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom