Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lakini hapa amepata matokeo mazuri hadi sasa
Sometimes uwezo binafsi wa Wachezaji huwafichia madhaifu ya uwezo makocha, hususani ktk vilabu vikubwa kama Chelsea FC.

Muda utatusahihisha mimi na wewe yupi yuko sahihi kihoja.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Striker anatakiwa kuwa hivyo yaani mpira ukijaa mguuni ni shuti zito sio kama kale ka shuti mtoto alikopiga Nkunku
Matakataka kwenye first eleven yanazidi kupungua amebaki Sanchez

Nkunku, Madueke, Jackson, Sanchez wakitokea wanunuzi ni kuchukua hela

Jackson asipopata mshauri wa kumtuliza mapepe anaishia kucheza carabao na FA
Kwa akili za Msimamizi mkuu wa mazoezi ya Chelsea FC "Maresca" unadhani hao uliowataja kama Kipaji Sanchez si kipaumbele chake kuwapanga kikosi cha kwanza?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Kocha apewe muda angalau kwa timu zinazocheza defensively kama 5 tunaweza kuwa na uhakika wa hiki unenacho ila si kwa mechi 1 tu Mkuu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Mpaka kusema hivyo nimeona kuanzia ile team tulicheza nayo robo fainal lakini aina ya uchezaji wanacheza Chelsea umenifanya niamini hivyo
 
Unafeli mkuu
OllaChuga hujanisoma tu miaka yote nipo Chelsea FC, mbona akina Cash Money Forever, Lembu, E Hazard, Hziyech, Mkohoti, Enzo, Jose, Carleen na wengine wengi huwa tunaenda nao sawa tu humu?

Tuangalie kesho zaidi si tu kisa tumeshinda hizi mechi chache basi tusiangalie madhaifu ya timu kwa upande wa pili.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Mpaka kusema hivyo nimeona kuanzia ile team tulicheza nayo robo fainal lakini aina ya uchezaji wanacheza Chelsea umenifanya niamini hivyo
Naheshimu mawazo yako ila mimi bado nasubiri kwa mechi zingine maana timu zinaweza kucheza kiulinzi zaidi ila zikatofautiana mbinu na hapo ndipo penye changamoto kubwa kwa Kocha mzuri kuwa na plan B kuvunja ukuta na kupata matokeo mazuri kisoka

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Ollachuga hujanisoma tu miaka yote nipo Chelsea FC, mbona akina Cash money forever, Lembu, Hazard, Hziyech, Mkohoti, Enzo, Jose, Carleen na wengine wengi huwa tunaenda nao sawa tu humu?

Tuangalie kesho zaidi si tu kisa tumeshinda hizi mechi chache basi tusiangalie madhaifu ya timu kwa upande wa pili.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Acha negativity mkuu itakuua wewe mwenyewe, huu ni ushabiki tu wa mpira lengo kuu ni kufurahi, Timu inafanya vizuri na kocha anaenda vizuri. Hakuna kocha asiye na mapungufu na huyu ni mchanga. Anaweza kuja kuwa bonge la kocha kupitia hii timu akiwa na chemistry nzuri nayo
 
Mkono wa Chalobah kiufundi ulikuwa katika mkao wa kawaida kwa sababu ulikuwa ukisogea kwenye nafasi yake ya asili wakati mpira ukiwa kwenye mwendo na hivyo kuwa tukio la "mpira kwenda kwenye mkono" na si faulu ya mikono.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom