Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 720
- 1,314
๐จ ๐๐
๐
๐๐๐๐๐: Chelsea to face Benfica.
Benfica wazuri sana aisee tujipange kisawasawa, niliangalia mechi yao na bayern jamaa wanakaba sio kitoto halafu wana kasi sanaChelsea vs E. Tunis
3-0
โฝ๏ธTosin
โฝ๏ธDelap
โฝ๏ธGeorge
Enzo 2 assist
Santos assist
Chelsea imetinga round of 16 na itacheza na Benefica siku ya Jumamosi tarehe 28 katika uwanja wa Bank of America Stadium kule North Carolina saa 5 usiku
Umeikatia tamaa timu yako. Mi nilishtuka nikakuta 2 - 0. Nikamalizia kuangalia dk 7 za nyongeza.Nilishtuka sa 10 usiku nikasema kabla sijawasha niangalie kikosi kwanza. Baada ya kuona kikosi nikaamua kurudi kulala tu.
Hongera blues kwa hatua inayofuata mtoano dhidi ya Benfica.
Majigambo hayoMkuu, ni nusu fainali au robo?
Hata mimi nilipokiona kikosi nililaani ila kusema ukweli walicheza vizuri kuliko kmikosi kile kilichokutana na FlamengoNilishtuka sa 10 usiku nikasema kabla sijawasha niangalie kikosi kwanza. Baada ya kuona kikosi nikaamua kurudi kulala tu.
Hongera blues kwa hatua inayofuata mtoano dhidi ya Benfica.
Hahahaaa sawa chief nimekusoma, twende nusu fainali arsenal wakishangilia tunawawakilisha vyemaMajigambo hayo
Sasa tunakutana na Bnfica watatuweza hao? Mara zote tulipocheza nao tuliwafunga
Bayern waliwadharau, sis tutawatuliza na kuwafundisha sokaBenfica wazuri sana aisee tujipange kisawasawa, niliangalia mechi yao na bayern jamaa wanakaba sio kitoto halafu wana kasi sana
Ni kweli kikosi walichoanza nacho kulikuwa cha hovyo sanaBayern waliwadharau, sis tutawatuliza na kuwafundisha soka
Hatuna kocha wa kuwafundisha soka Benefica labda Gadiola amsaidie kupanga kikosi na kumpa mbinu.Bayern waliwadharau, sis tutawatuliza na kuwafundisha soka
Tulia kijana wewe unakata tamaa mapema mno, usije tu ukapata magonjwa ya wazee ungali kijana. Furahia maisha hatuna maisha mengineHatuna kocha wa kuwafundisha soka Benefica labda Gadiola amsaidie kupanga kikosi na kumpa mbinu.
Mkuu wangu unajipa matumaini hewa, mechi ya Benefica utasaga meno na kulia kama Sikamona kwenye kitabu cha zawadi ya Ushindi.Tulia kijana wewe unakata tamaa mapema mno, usije tu ukapata magonjwa ya wazee ungali kijana. Furahia maisha hatuna maisha mengine
Chelsea wanafika Nusu Fainali pale ndio tutaelewana kwa sababu kutakuwa na Man City au Real Madrid kama hawataboronga na kutusafishgia njia kama Flamengo walivyoboronga. Wao wanatufunga wakidhani wametuweza kumbe tumewaweza
Ila ukiangalia rotation ilikuwa inahitajika sana mzee wachezaji wametoka Msimu mrefu wa ligi ukijumlisha na Hali ya hewa ya huko mashindano yanapofanyika... ingeleta uchovu sana au ingeleta impact mbaya michezo inayofuata....naona hata delap alimtoa mapema tu dakika ya 57 na kuwaingiza kina guiu.. kina caicedo , cuculera hawakuingia kabisa Jana ..ilikuwa ni big move kwa maresca shukrani kwa kukutana na esperanceNilishtuka sa 10 usiku nikasema kabla sijawasha niangalie kikosi kwanza. Baada ya kuona kikosi nikaamua kurudi kulala tu.
Hongera blues kwa hatua inayofuata mtoano dhidi ya Benfica.
Hajafunga goal rahisi sema ufundi wake imeonekana ionekane ni rahisiโฝ๏ธ๐ฅ Tosin na bao zuri la kichwa!
๐ง๐ฅถ Delap alifunga bao lake la kwanza Chelsea kwa urahisi sana; Mabeki wa E. Tunis bado wanashangaa!
๐ฏ๐ Enzo alitoa assists 2 za haririโyeye kimsingi ni Santa mwenye mpira wa miguu.
๐๐ฆ Chelsea tayari wamefika nusu fainali ya FIFA CWC-London inatabasamu!
Karibuni Arsenal
View attachment 3382062
Tunapotumia hiyo lugha tunamaanisha akili iliyotumiak imelifanya bao kuwa easy, hii ni misemo ya mjini ndgHajafunga goal rahisi sema ufundi wake imeonekana ionekane ni rahisi
Mpira uko hivyo, bado utahitajika kuacha woga kwa afya yakoMkuu wangu unajipa matumaini hewa, mechi ya Benefica utasaga meno na kulia kama Sikamona kwenye kitabu cha zawadi ya Ushindi.
BOFLO calibre yake ni mashindano ya Conference. UWC amekayakanyaga.
Daah vijana waliopewa nafasi wamejitahidi kuonesha uhai na wanaweza kupewa nafasi. Nachofurahi Santos kapewa nafasi na hajazinguaIla ukiangalia rotation ilikuwa inahitajika sana mzee wachezaji wametoka Msimu mrefu wa ligi ukijumlisha na Hali ya hewa ya huko mashindano yanapofanyika... ingeleta uchovu sana au ingeleta impact mbaya michezo inayofuata....naona hata delap alimtoa mapema tu dakika ya 57 na kuwaingiza kina guiu.. kina caicedo , cuculera hawakuingia kabisa Jana ..ilikuwa ni big move kwa maresca shukrani kwa kukutana na esperance
Jamani mwaka huu wachezaji watatumika sana. Hakuna kupumua. Wakitoka kwa chizi Trump wanaingia mzigoni kama kawaida. Kazj wanayo.Mwezi wa 8 tutakuwa London tu