Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Next mechi ni dhidi Flamengo siku ya Ijumaa sa 3 usiku. Hawa Flamengo unaweza kuwabeza ila jamaa wanawachezaji mmoja mmoja wenye vipaji sana.
Kucheza kw3a kasi au slow pia inaendana na game plan. Nilichokiona jana ni kuwa wachezaji sasa wana ball control ya hali ya juu na pia pass acuracy ni kubea. wana pass mpira kwa haraka na kwa kutumia mguiu wowote kuondo predicability ya pasi.HAuwezi kucheza with the same momentum katika dakika 90. Kuna muda mnatoka mchezoni ila kuna muda ndio kama ivyo. Nadhani ni kati ya vitu kocha anayohaja kuvifanyia kazi. Ukikutana na timu kama Flamengo inakuadhibu
Flamengo anaongoza group kwa kigezo gani?Jana niliwacheki Flamengo sio size ya Chelsea, hata tukitaka kuwafunga goli tano tunaweza. Watatushinmda tu kama tutakuwa careless
Kwa sababu ina kadi za njano chache kuliko Chelsea😡Flamengo anaongoza group kwa kigezo gani?
Mkuu umecheki PSG wanavyocheza? Wale jamaa sijui fame plan yao ikoje ila muda wote wanapeleka moto tu. Wachezaji wao wako active sana ni mara chache sana unakuta wanasinzia ila zaidi ya dakika 85 wana press, sharp pass, wanakimbia na ni wepesi sana kwenye transition.Kucheza kw3a kasi au slow pia inaendana na game plan. Nilichokiona jana ni kuwa wachezaji sasa wana ball control ya hali ya juu na pia pass acuracy ni kubea. wana pass mpira kwa haraka na kwa kutumia mguiu wowote kuondo predicability ya pasi.
Madueke japo sio kwa umuhimu.Mkuu umecheki PSG wanavyocheza? Wale jamaa sijui fame plan yao ikoje ila muda wote wanapeleka moto tu. Wachezaji wao wako active sana ni mara chache sana unakuta wanasinzia ila zaidi ya dakika 85 wana press, sharp pass, wanakimbia na ni wepesi sana kwenye transition.
Hiki kitu sisi hatuna kuna muda wa kushambulia halafu Madueke anapewa pasi unapiga TV kama una hasira.
Jackson - Delap - NetoIle nafasi ya Madueke anahitajika Adeyemi au Gittens.
Kwangu naprefer zaidi fofana ndio namuona anstufaa ana Kasi, jicho la pasi alafu anajua kuscoreIle nafasi ya Madueke anahitajika Adeyemi au Gittens.
Fofana yupi? David auKwangu naprefer zaidi fofana ndio namuona anstufaa ana Kasi, jicho la pasi alafu anajua kuscore
Noni Madueke mchezaji asiye serious kabisa. Anacheza kama vile yeye ndie mungu wa ile nafasiIle nafasi ya Madueke anahitajika Adeyemi au Gittens.
UmefanyajeNaona fixtures leo imetoka na tutaanza na Crystal Palace.
Sasa kitu nilichokiona leo n kwamba unaweza kuunganisha ratiba ya timu yako au timu zote za EPL ziwe kwenye kalenda yako ya simu.
Mfano timu yako ikiwa inacheza leo, bc utaiona kwenye calendar yako na utakuwa unapata notification kuwa leo kuna mechi yako 🔥
Sijajua kama hii ishu imeanza lini ila binafsi nimeiona leo na nimeipenda sana.
View attachment 3374313
Ingia Kwenye web ya EPL ila ukiwa na app yao itakuwa poa sana (Mm nna app mana nacheza fantasy league)Umefanyaje
Fofana yupi?Kwangu naprefer zaidi fofana ndio namuona anstufaa ana Kasi, jicho la pasi alafu anajua kuscore
Mwezi wa 8 tutakuwa London tuRatiba ya EPL Chelsea mechi 5 za mwanzo:
Sun Aug 17 - Crystal Palace (h)
Sat Aug 23 - West Ham United (a)
Sat Aug 30 - Fulham (h)
Sat Sep 13 - Brentford (a)
Sat Sep 20 - Manchester United (a).
View attachment 3374323
Atleast kidogo.Jackson - Delap - Neto