Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,779
- 9,145
Badiashile muda si mrefu atatuchoma kwenye kikaango.
Gittens £55M? Dortmund wamepata faida kweli? Kutoka £80M mpaka £55M mtaji umekata. Dortmund walienda sokoni wamelewa pombe.Gittens tena ? £55m ? Mtakuja kumkataa hapa hapa,,,, hizi ni version za kina garnacho, madueke, Martineli
Sajili zote hazina guarantee ya kufanya vizuri unaweza ukamsajili hata huyo unayemuona Bora na akaja kuflop Wacha tumuoneGittens tena ? £55m ? Mtakuja kumkataa hapa hapa,,,, hizi ni version za kina garnacho, madueke, Martineli
Mbupu ushaziachia au bado umezishikilia..So far naona tupo vzr, tunashambulia, hatupotezi mpira ovyo, tunalinda vzr n.k ngoja tuone dkk 90 zitaisha vp
Test halisi ya kumpima tukutane na team zitakazotupa pressure goliniBadiashile kama ananiprove wrong hivi. Naona anakautulivu na nimeona amepiga pasi vizuri sana
Bado nimezishika, blues hatuchelewi kupuyangaMbupu ushaziachia au bado umezishikilia..
HatutatoboaTest halisi ya kumpima tukutane na team zitakazotupa pressure golini
Jana tu nilimjibu jamaa kuwa Badiashile kaimprove sana, Leo katuokelea goli ila akaumia na sasa yuko majeruhi tenaBadiashile kama ananiprove wrong hivi. Naona anakautulivu na nimeona amepiga pasi vizuri sana
Mechi za mtoano zinakuwaga hivi ndg, kosa moaj tu uko nje ya ulingoHii mechi bora ningelala mechi ya hovyo sana.