Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama sijakosea uongozi wa kina kichwa hewa Todd ulikumkuta Tuchel ndo ametoka kuwapa UEFA, wakamla kichwa,,,,

Since then akaja Potter G,
Super Frankie,
Pochettino
Maresca


Mmegundua nini wanetu ? Hii ni siri yenu ! Amkeni
Acha habari za kufikirika
 
Tuseme ukweli, Fillipe Luiz kwenye ukocha ni mzuri, Flamengo kwenye mechi 9 hajapoteza mechi hata moja ila bado Chelse tungekuwa na serious coach kama Enrique ile mechi tungeshinda
Kiukweli kabisa Flamengo hawajatufunga kwakua ni bora kuliko sisi, wametufunga kwakua sisi tulionesha udhaifu sana kwenye mcgezo mzima kuanzia nyuma mpaka mbele
 
Kiukweli kabisa Flamengo hawajatufunga kwakua ni bora kuliko sisi, wametufunga kwakua sisi tulionesha udhaifu sana kwenye mcgezo mzima kuanzia nyuma mpaka mbele
Nakuunga mkono ni Kama ile game ya Real Betis kipindi cha Kwanza walikuwa Bora mpaka ikaonekani ni prime Madrid dhidi ya wigani ila ya kocha wetu kusawazisha makosa yake the end Nini kilitokea
 
chelsea ikiwa chini ya huyu bwege Todd na kocha wake siwezi kujisumbua kwa lolote. TUPIGWEEE TYUUU. chelsea ya Roman Abromavich sio hii hata kidogo
 
chelsea ikiwa chini ya huyu bwege Todd na kocha wake siwezi kujisumbua kwa lolote. TUPIGWEEE TYUUU. chelsea ya Roman Abromavich sio hii hata kidogo
THE BLUES YA ROMAN

1. Usajili wa Matured/World class players ambao wanasaka mafanikio

2. Usajili wa world class coaches

3. Chelsea ya lengo moja tuu kubeba makombe kila msimu

4. Faida kwa tajiri ilikuwa makombe na sio pesa.

5. Management bora kwenye mipango na kufanya maamuzi.

THE BLUES YA TODDY

1. Usajili wa vijana wadogo, wanaohitaji kufungwa pampas, kulelewa, kukuzwa kipaji na uzoefu

2. Usajili wa makocha ambao wanachipukia, rahisi kwa tajiri kuwacontroll kwenye maamuzi.

3. Ni Chelsea ya project phase 1, 2, 3, 5, 6, 7, 8, 9...... 100. kununua wachezaji wadogo, kuwakuza, matured, kubeba makombe.

4. Faida ya tajiri ni pesa kununua wachezaji wadogo kuwakuza kisha kuwauza kwa faida kubwa.

5. Management bomu, inakosea kufanya maamuzi kwenye kila idara. Usajili wa wachezaji mazagazaga, makocha vilaza.
 
Chelsea representatives have just landed in Guinea to formally begin negotiations to sign prolific CF grand P, decision was made to sign him after delaps horror show againist Flamengo, grand P says he's a dwarf and that will give him an advantage, he'll be passing between EPL defenders legs like a snake and will score thousands of goals for Chelsea
1750605971909.jpg
 
Kiukweli kabisa Flamengo hawajatufunga kwakua ni bora kuliko sisi, wametufunga kwakua sisi tulionesha udhaifu sana kwenye mcgezo mzima kuanzia nyuma mpaka mbele
Kuanzia upangaji wa timu pia ulikosewa na nimelisemea hili sana. Huwezi kumuweka James kuwa CM wakati majaribio yote ya nyuma ilishindwa kuleta matokeo mazuri. James yeye ni RB bora akicheza kwenye nafasi yake. Unamuweka kiungo wakati kiungo inao wachezaji bora kabisa kwenye benchi na hawako majeruhi. Unamuweka Gusto ambaye ameshadhihirika kuwa ni flop kwenye mfumo wa Maresca

Ila mimi sikuwa huko, hata kama Chelsea ingetoa droo au kuwafunga Flamengo ila wanacheza vizuri. Tukumbuke pia kuwa hawaongozi ligi ya Brazili kwa bahati
 
THE BLUES YA ROMAN

1. Usajili wa Matured/World class players ambao wanasaka mafanikio

2. Usajili wa world class coaches

3. Chelsea ya lengo moja tuu kubeba makombe kila msimu

4. Faida kwa tajiri ilikuwa makombe na sio pesa.

5. Management bora kwenye mipango na kufanya maamuzi.

THE BLUES YA TODDY

1. Usajili wa vijana wadogo, wanaohitaji kufungwa pampas, kulelewa, kukuzwa kipaji na uzoefu

2. Usajili wa makocha ambao wanachipukia, rahisi kwa tajiri kuwacontroll kwenye maamuzi.

3. Ni Chelsea ya project phase 1, 2, 3, 5, 6, 7, 8, 9...... 100. kununua wachezaji wadogo, kuwakuza, matured, kubeba makombe.

4. Faida ya tajiri ni pesa kununua wachezaji wadogo kuwakuza kisha kuwauza kwa faida kubwa.

5. Management bomu, inakosea kufanya maamuzi kwenye kila idara. Usajili wa wachezaji mazagazaga, makocha vilaza.
😂Kubarini kimove on ...huu umiliki mpya hamna namna yaani mnavyolalamika utafikiri kina morata, shevnchenko, Torres, mwamba bakayoko , Drinkwater kina falcao n higuain n.k hawakuletwa kipindi Cha roman..Hawa jamaa mbona idea yao ni nzuri wanaletwa vijana wengi potential wanapelekwa kwa mkopo Strasbourg kwa mkopo wakifanya vizuri na kuwa ready kwa epl wanaletwa the blues au wanauzwa kwa faida mbona project nzuri tu...au mnapenda yajitokee kama ya Salah, kdb
 
😂Kubarini kimove on ...huu umiliki mpya hamna namna yaani mnavyolalamika utafikiri kina morata, shevnchenko, Torres, mwamba bakayoko , Drinkwater kina falcao n higuain n.k hawakuletwa kipindi Cha roman..Hawa jamaa mbona idea yao ni nzuri wanaletwa vijana wengi potential wanapelekwa kwa mkopo Strasbourg kwa mkopo wakifanya vizuri na kuwa ready kwa epl wanaletwa the blues au wanauzwa kwa faida mbona project nzuri tu...au mnapenda yajitokee kama ya Salah, kdb
Hata hao wachezaji wakija huku wanakuwa mizgo wakati walipotolewa eiza kwa mkopo walifanya vzri ila wakija huku wanafanya vibaya huoni tatzo hapo mwalimu je kupanga nje na nafasi zao za asili je huoni hilo mkuuu
 
Hata hao wachezaji wakija huku wanakuwa mizgo wakati walipotolewa eiza kwa mkopo walifanya vzri ila wakija huku wanafanya vibaya huoni tatzo hapo mwalimu je kupanga nje na nafasi zao za asili je huoni hilo mkuuu
Weakness ya maresca ndo hyo ana ubishi na kitu anachokiamini ....hiki kitu walisema pia mashabiki wa Leicester wakati anaondoka kwao ....Hilo swala la wachezaji mizigo unatuongopea ...Msimu huu wameletwa Andrey Santos Moja ya midfielder Bora Msimu uliopita Toka Ligue 1 na kaletwa mkata umeme essugo asaidiane na caicedo....hapo ishu n kwa kocha kuwachezesha wachezaji out of position ilihali una kina Santos benchi...yaan mnavyolalamika kama vile Chelsea kipindi Cha roman ilikuwa invincible inashinda mechi zote za ligi wakati tulikuwa tunafungwa mpk goli 4 na kina Watford na Bournemouth hazard ndani!
 
Kwa hawa wachezaji waliopo tungepata kocha mwenye uwezo, alikua anahitaji msimu mmoja tu kusuka timu tuanze kushinda mataji, lakini kwa uyu kenge maresca siioni Chelsea ikishinda kombe lolote kubwa hata ndani ya misimu minne ijayo!
 
#MICHEZO Kutana na dogo Janja Camden Schaper, mtoto mwenye umri wa miaka 13 kutoka nchini Afrika kusini, mchezaji mtoto mwenye thamani kubwa zaidi kuliko hata wachezaji wa ligi kuu nchini Tanzania, ambapo ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mtoto ghali zaidi duniani mara baada ya kusajiliwa na klabu ya chelsea kwa takribani pauni 700,000 sawa na Bilioni 2 (2,176,174,000 za Tanzania) akitokea klabu ya Blackburn Rovers ya nchini Uingereza

Kwa mujibu wa ripoti mbalimbali zinaeleza kulingana na kiwango cha juu cha mtoto huyu sio Chelsea pekee tu ambao walikuwa wanamuwinda, bali pia klabu kubwa duniani kama Manchester City, Manchester United, Arsenal, na Liverpool zote zilikuwa zikimtazama kwa ukaribu, lakini dakika za jioooni Chelsea wakafanikiwa kumnasa mchezaji huyo.

Shuka chini kuona balaa lake👇

Je, wewe ulipokuwa na miaka 13 ulikuwa na thamani kiasi gani?
 

Attachments

  • 20250624_094549.jpg
    20250624_094549.jpg
    342.6 KB · Views: 8
Kwa hawa wachezaji waliopo tungepata kocha mwenye uwezo, alikua anahitaji msimu mmoja tu kusuka timu tuanze kushinda mataji, lakini kwa uyu kenge maresca siioni Chelsea ikishinda kombe lolote kubwa hata ndani ya misimu minne ijayo!
Mfano mzuri pale Barcelona Xavi aliwaaminisha hana timu kabisa ila amekuja Flick vitoto vya under 20 vimetoa upinzani kama senior player

Sasa huku shida project nzuri ila inasimamiwa na kocha ambaye bado anajitafuta kwenye career yake Hatuna kikosi kibaya kiasi cha kuwa timu average kiasi hiki
 
Mfano mzuri pale Barcelona Xavi aliwaaminisha hana timu kabisa ila amekuja Flick vitoto vya under 20 vimetoa upinzani kama senior player

Sasa huku shida project nzuri ila inasimamiwa na kocha ambaye bado anajitafuta kwenye career yake Hatuna kikosi kibaya kiasi cha kuwa timu average kiasi hiki
Hii ni mifano hai kabisa
Hata pale PSG, walisema baada ya kuondoak Mbape pale hakuna timu sasa ameenda ENrique kageuza kila kitu
Maresca ni kocha mzuri ila hafikii hata punje ya elite coach. NI average coach tu anayejitahidi kufanya vizuri
 
Mashabiki wa Chelsea wanafurahia sasa kupoteza mechi ya Flamengo kwa sababu sasa route ya kufika nusu fainali ni nafuu kuliko tungekuwa wa kwanza kwenye group
Tungekuwa wa kwanza tunge kabiliana na Bayern Mun ich na PSG lakini sasa route yetu ni Benefica round of 16 na Botafogo au Palmeiras kwenye robo fainali.
Nusu fainali tunaweza kukutana na Real MAdrid, man city au Juventus
 
Chelsea vs Espérance Sportive de Tunis
4-2-3-1
Lineup

----Delap----

Nkunku-KDH-Madueke

---Enzo----Lavia---

Gusto -Badiashile-Tosin- Acheampong

-----Jorgensen------

Bench
1) Sanchez
2) Penders
3) Chalobah
4) Colwill
5) Anselmino
6) James
7) Cucurella
8) Sarr
9) Essugo
10) Caicedo
11) Palmer
12) Santos
13) George
14) Neto
15) Guiu
 
⚽️💥 Tosin na bao zuri la kichwa!
🧊🥶 Delap alifunga bao lake la kwanza Chelsea kwa urahisi sana; Mabeki wa E. Tunis bado wanashangaa!
🎯🎁 Enzo alitoa assists 2 za hariri—yeye kimsingi ni Santa mwenye mpira wa miguu.
🏆🟦 Chelsea tayari wamefika nusu fainali ya FIFA CWC-London inatabasamu!
Karibuni Arsenal

1750817520922.png
 
⚽️💥 Tosin na bao zuri la kichwa!
🧊🥶 Delap alifunga bao lake la kwanza Chelsea kwa urahisi sana; Mabeki wa E. Tunis bado wanakinga!
🎯🎁 Enzo alitoa pasi 2 za hariri—yeye kimsingi ni Santa mwenye mpira wa miguu.
🏆🟦 Chelsea tayari wamefika nusu fainali ya FIFA CWC-London inatabasamu!
Karibuni Arsenal

View attachment 3382062
Mkuu, ni nusu fainali au robo?
 
Chelsea vs E. Tunis
3-0
⚽️Tosin
⚽️Delap
⚽️George
Enzo 2 assist
Santos assist
Chelsea imetinga round of 16 na itacheza na Benefica siku ya Jumamosi tarehe 28 katika uwanja wa Bank of America Stadium kule North Carolina saa 5 usiku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom