Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii mechi tulicheza vizuri kiasi kutokana na mpinzani kuwa dhaifu asiye na pace ila still timu inafanya mashambulizi very slow tukikutana na mpinzani anajielewa bado hatuna cha maana tutamfanya

Ule ugonjwa wa kufunga goli 1 na kurelax bado upo jana bahati yalipatikana magoli 2 ya haraka na timu ikaanza kucheza kama mazoezi kama kawaida na wakati rotation ilikuwa zaidi ya wachezaji wasiopungua 7
Bado najiuliza hivi team nyingine zinawezaje kuwa na high tempo ya mchezo kwa dak 90 sisi ni wazee wa kupoza mashambulizi
 
Hii mechi tulicheza vizuri kiasi kutokana na mpinzani kuwa dhaifu asiye na pace ila still timu inafanya mashambulizi very slow tukikutana na mpinzani anajielewa bado hatuna cha maana tutamfanya

Ule ugonjwa wa kufunga goli 1 na kurelax bado upo jana bahati yalipatikana magoli 2 ya haraka na timu ikaanza kucheza kama mazoezi kama kawaida na wakati rotation ilikuwa zaidi ya wachezaji wasiopungua 7
Bado najiuliza hivi team nyingine zinawezaje kuwa na high tempo ya mchezo kwa dak 90 sisi ni wazee wa kupoza mashambulizi
Wanacheza kama wazee. UEFA tutaenda kutia aibu.
 
We una mtu kma Badiashile unataka timu iwe na kasi
Badiashile ana improve taratibu, Kijana anatoa pasi kama ndio kazaliwa nayo. Akiweza kuimprove kwenye mbinu za kuuzoma mchezo kama beki na kuongeza kasi kwenye kukaba bado ni mdogo atakuja kuwa beki mzuri sana
 
Badiashile ana improve taratibu, Kijana anatoa pasi kama ndio kazaliwa nayo. Akiweza kuimprove kwenye mbinu za kuuzoma mchezo kama beki na kuongeza kasi kwenye kukaba bado ni mdogo atakuja kuwa beki mzuri sana
Watu wakishamchukia mtu ndo mazima yaan mpk sijui afanye nn 😂 ila kwenye swala la kupiga risk passes..za kubreak line badiashile mtu aisee
 
Badiashile ana improve taratibu, Kijana anatoa pasi kama ndio kazaliwa nayo. Akiweza kuimprove kwenye mbinu za kuuzoma mchezo kama beki na kuongeza kasi kwenye kukaba bado ni mdogo atakuja kuwa beki mzuri sana
Shida anacheza vizuri leo mechi ijayo anakuwa wa hovyo, halaf hawa waarabu bado sio kipimo
 
Nadhani nusu fainali itakuwa njia ngumu kuelekea fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu la FIFA. Chelsea huenda ikakutana na Man City.
1751006798099.png
 
Shida anacheza vizuri leo mechi ijayo anakuwa wa hovyo, halaf hawa waarabu bado sio kipimo
Checlsea inatengeneza timu ya ligi tatu

FA na Carabao
UCL
EPL

Wale aina ya Badiashile watacheza Carabao na FA hasa zile mechi za Championship. Watakaoonyesha consistency watahamia Starting XI ya UCL na EPL
 
Saa 5 juu ya alama tunakiwasha lazima twende nusu fainali piga uwa afe kipa afe beki lazima tushinde
 
Estavio ameachia bullet hapa, kipa akapangua. Mechi iko live Palmeiras vs Botafogo
Uhamisho wa Estevao Willian wa kwenda Chelsea ulizua wasiwasi kiasi kwamba alikiri mapema wiki hii kwamba alihisi "kutotulia" kwa sababu ya kuhusu kuondoka kwake Palmeiras na kwamba imekuwa vigumu kutulia "asilimia 100 mchezoni"
Kiojana anayo mawewe ya kuja kuichezea Chelsea
 
Benfica vs Chelsea
4-2-3-1
Lineup

----Delap----

Neto-Enzo-Palmer

---Lavia----Caicedo---

Cucurella-Colwill-Badiashile-James

-----Sanchez------

Bench
1) Penders
2 Slonina
3) Gusto
4) Acheampong
5) Chalobah
6) Anselmino
7) Tosin
8) Sarr
9) Essugo
10) Santos
11) Dewsbury-Hall
12) Madueke
13) George
14) Nkunku
15) Guiu
 
Benfica vs Chelsea
4-2-3-1
Lineup

----Delap----

Neto-Enzo-Palmer

---Lavia----Caicedo---

Cucurella-Colwill-Badiashile-James

-----Sanchez------

Bench
1) Penders
2 Slonina
3) Gusto
4) Acheampong
5) Chalobah
6) Anselmino
7) Tosin
8) Sarr
9) Essugo
10) Santos
11) Dewsbury-Hall
12) Madueke
13) George
14) Nkunku
15) Guiu
Mimi sijaelewa kitu kimoja hapo kwanini kaanza na center backs wanaotumia mguu wa kushoto? But overall kikosi nikizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom