Jibu hapa ni dogo sana kama team haiwezi kushinda moja bila haiwezi kuchukuwa ubingwa,zipo mechi hakuna nafasi ya kufunga magoli mengi,chelsea haiwezi kushinda mechi hizo kwa sababu itafunga goli na sanchez na mabeki wayafanya makosa ya ki senge watafungwa goli .Pia team ya ubingwa kuna wakati unashinda ugly ,city na ubora wa wachezaji kuna wakati alifanya hivyo spurs vs city 2023/2024 1-0.Sisi chelsea tuna shinda na decorations za kutosha , maana yake tukikutana na team yenye quality na maturity inatuzidi hatuwezi kushinda hiyo mechi.